Bwana Jela
Senior Member
- Nov 25, 2019
- 131
- 655
Kweli kabisa
1.Aliwaua watu na kuwa tesa baadhi kikatili
2.Aliwafukuza watu kazi kikatili
3.Alikula pesa la rambirambi
4.Amewanyima watu ajira kwa miaka mitano
5.Hajaongeza mishahara kwa wafanyakazi
6.Amefanya maisha kuwa magumu
7.Wajawazito sikuhizi wanalipia
Anahuruma sana huyu Baba anasaidia sana!Ana mwaga pesa Barabarani
Endelea kujidanganya, mdanganye na m. Kiti vizuri.Mimi sina chama ila naona wagombea wa CCM wana nafasi kubwa ya kushinda
hata wasipopiga kampeni kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais Magufuli
Ukiangalia wapi?...... au ni nafsi yako!.....Mimi sina chama ila nikiangalia CCM inapendwa sana
Ukiangalia wapi?...... au ni nafsi yako!.....
Nenda Kanda ya ziwa. Nenda Kaskazini. nenda Nyanda za juu then uje Dar. Wananchi wamwchoka balaaaaaa... Wanahitaji maendeleo yao sio maendeleo ya vitu.... ujenzi wa Stiglers na SGR miradi miwili tu ni trillion 15. hujakopa then unajisifia eti tunajenga kwa pesa za ndani. How can you service those project?... Means mambo yote ya kwame kwa miaka 10 kisa unajenga Stiglers na SGR.... No way maisha yanaendelea... Walioko 45 years og age huyu ndio rais wao wa mwisho wakiwa na nguvu ya kutafuta pesa. after that they will be out of mfumo.
Endelea kujidanganya, mdanganye na m. Kiti vizuri.
Wagombea wengi wa chama cha Mbowe kuanzia Ubunge, na udiwani hali mbaya. Wengi wanaomba omba michango kwenye ma group ya whatsap ili kumalizia kampeni zao. Mbowe fungua pochi uokoe jahazi..Wagombea Ubunge wengi wa CCM wamekwama kufanya kampeni kwa kuzingatia ratiba ya tume huku sababu zifuatazo zikitajwa
1. Kukosekana kwa fedha na chama, wabunge wengi wanakwama baada ya bajeti kubwa kuelekezwa kwa wasanii waandishi, watangazaji, viongozi wa umma wanaoratibu uchaguzi kwenye majimbo.
2. Baadhi ya wagombea wameelekezwa kutotumia gharama nyingi kwa sababu tayari Wana uhakika watapita hata wasipoomba kura, Hawa Ni wale wanaotoka majimbo ya mkoa wa Tabora, Lindi, Ruvuma na Dodoma ambapo wananchi hawana mwamko wakulinda na kusimamia kura
3. Idadi ya wananchi wanaokwenda kwenye kampeni zao Ni ndogo hivyo wakiendelea na kampeni wakati wagombea wa vyama vingine Wana wafuasi mkubwa kunawakatisha tamaa wapenzi wao kuona wameshindwa.
4. Dharau ya wagombea kwa wananchi.
Duniani kote wagombea huomba michango kutoka kwa wananchi na wanachama wao isipokuwa hapa Tanzania ambako CCM inachota tu kodi zetu huko hazina kama wanavyotaka kufanyia kampeni. Wezi wakubwa...mwaka huu wananchi waliochoka kuibiwa watahakikisha mnafungasha virago.agombea wengi wa chama cha Mbowe kuanzia Ubunge, na udiwani hali mbaya. Wengi wanaomba omba michango kwenye ma group ya whatsap ili kumalizia kampeni zao. Mbowe fungua pochi uokoe jahazi..
Wagombea Ubunge wengi wa CCM wamekwama kufanya kampeni kwa kuzingatia ratiba ya tume huku sababu zifuatazo zikitajwa
1. Kukosekana kwa fedha na chama, wabunge wengi wanakwama baada ya bajeti kubwa kuelekezwa kwa wasanii waandishi, watangazaji, viongozi wa umma wanaoratibu uchaguzi kwenye majimbo.
2. Baadhi ya wagombea wameelekezwa kutotumia gharama nyingi kwa sababu tayari Wana uhakika watapita hata wasipoomba kura, Hawa Ni wale wanaotoka majimbo ya mkoa wa Tabora, Lindi, Ruvuma na Dodoma ambapo wananchi hawana mwamko wakulinda na kusimamia kura
3. Idadi ya wananchi wanaokwenda kwenye kampeni zao Ni ndogo hivyo wakiendelea na kampeni wakati wagombea wa vyama vingine Wana wafuasi mkubwa kunawakatisha tamaa wapenzi wao kuona wameshindwa.
4. Dharau ya wagombea kwa wananchi.
Mimi ni Mwana CCM, kwa hizi taarifa za uongo uongo wanazotoa Wana Chadema ili kujiliwaza na kujiona wajuaji zitawatokea puani Oktoba 28!Mimi sina chama ila naona wagombea wa CCM wana nafasi kubwa ya kushinda
hata wasipopiga kampeni kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais Magufuli
CCM ina"DANGA" kwa Serikali. Chama hovyooo kabisa.Wagombea Ubunge wengi wa CCM wamekwama kufanya kampeni kwa kuzingatia ratiba ya tume huku sababu zifuatazo zikitajwa
1. Kukosekana kwa fedha na chama, wabunge wengi wanakwama baada ya bajeti kubwa kuelekezwa kwa wasanii waandishi, watangazaji, viongozi wa umma wanaoratibu uchaguzi kwenye majimbo.
2. Baadhi ya wagombea wameelekezwa kutotumia gharama nyingi kwa sababu tayari Wana uhakika watapita hata wasipoomba kura, Hawa Ni wale wanaotoka majimbo ya mkoa wa Tabora, Lindi, Ruvuma na Dodoma ambapo wananchi hawana mwamko wakulinda na kusimamia kura
3. Idadi ya wananchi wanaokwenda kwenye kampeni zao Ni ndogo hivyo wakiendelea na kampeni wakati wagombea wa vyama vingine Wana wafuasi mkubwa kunawakatisha tamaa wapenzi wao kuona wameshindwa.
4. Dharau ya wagombea kwa wananchi.
Maana ya Tume Huru popote ulimwenguni ni kwamba haiteuliwi na serikali au rais, bali huchaguliwa na wanumbe mchanganyiko waliopitia usaili. Wewe ungeng'ang'ania tu kuwa Katiba hii inampa mamlaka rais kuiteua Tume, lakini si huru hata tukiipenda mimi na wewe.Wewe ndiyo Popoma kabisa unataka uteue wewe!? Hujui hilo ni takwa la Kikatiba?
Na kwa kujibu swali lako hakuna nchi hata moja na hata Tanzania Mmoja wa Wagombea Urais hateuwi wajumbe wa Tume ya Uchaguzi, anayeteua ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na anafanya hivyo kwa mujibu wa Katiba ya JMT.
Kwa nyongeza tu Tume ya uchaguzi ya JMT ni huru kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu na uzuri zaidi inatambuliwa na kukubaliwa na vyama vyote vya siasa vyenye usajili hapa nchini, ndio maana unaona hata kwa mwaka huu kuna zaidi ya vyama vya siasa 15 vinavyoshiriki kwa moyo mmoja kabisa uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu ulioandaliwa na Tume huru ya uchaguzi ya JMT.
Wewe ndiyo Popoma kabisa unataka uteue wewe!? Hujui hilo ni takwa la Kikatiba?
Na kwa kujibu swali lako hakuna nchi hata moja na hata Tanzania Mmoja wa Wagombea Urais hateuwi wajumbe wa Tume ya Uchaguzi, anayeteua ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na anafanya hivyo kwa mujibu wa Katiba ya JMT.
Kwa nyongeza tu Tume ya uchaguzi ya JMT ni huru kwa mujibu wa Katiba ya nchi yetu na uzuri zaidi inatambuliwa na kukubaliwa na vyama vyote vya siasa vyenye usajili hapa nchini, ndio maana unaona hata kwa mwaka huu kuna zaidi ya vyama vya siasa 15 vinavyoshiriki kwa moyo mmoja kabisa uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu ulioandaliwa na Tume huru ya uchaguzi ya JMT.
Kazi gani ya kufukarisha watu?Mimi sina chama ila naona wagombea wa CCM wana nafasi kubwa ya kushinda
hata wasipopiga kampeni kutokana na kazi kubwa aliyofanya Rais Magufuli
Yaani wanasaccos kwa kujibaguza hamjambo!Wagombea Ubunge wengi wa CCM wamekwama kufanya kampeni kwa kuzingatia ratiba ya tume huku sababu zifuatazo zikitajwa
1. Kukosekana kwa fedha na chama, wabunge wengi wanakwama baada ya bajeti kubwa kuelekezwa kwa wasanii waandishi, watangazaji, viongozi wa umma wanaoratibu uchaguzi kwenye majimbo.
2. Baadhi ya wagombea wameelekezwa kutotumia gharama nyingi kwa sababu tayari Wana uhakika watapita hata wasipoomba kura, Hawa Ni wale wanaotoka majimbo ya mkoa wa Tabora, Lindi, Ruvuma na Dodoma ambapo wananchi hawana mwamko wakulinda na kusimamia kura
3. Idadi ya wananchi wanaokwenda kwenye kampeni zao Ni ndogo hivyo wakiendelea na kampeni wakati wagombea wa vyama vingine Wana wafuasi mkubwa kunawakatisha tamaa wapenzi wao kuona wameshindwa.
4. Dharau ya wagombea kwa wananchi.
Kwa nini mnashiriki uchaguzi basi? Wanasaccos lazima mtakuwa na matatizo ya kiakili kama mgombea wenu wa urais.Unadanganya. Kenya ni Rais anateua NEC? No. Wewe labda ni uoga umekuingia hata udanganye? Huoni kuwa ni UJINGA sana kwenye mashindano mmoja wa washindani peke yake ateue wasimamizi?
CCM ingekuwa inapenda uchaguzi wa haki ingelazimisha sheria kwamba mgombea wa Urais akishindwa hana haki ya kwenda mahakamani? Inajua inaiba kura na kutawala kwa nguvu.
Wewe bila shaka ni nyapara wa CCM. We are, I submit, a colony of CCM. Unaona watu wanaweza kujikomboa kutoka utumwa huu wa CCM na hicho kinaogopesha sana nyapara wa CCM, yaani watu wa aina yako.
Unadanganya. Kenya ni Rais anateua NEC? No. Wewe labda ni uoga umekuingia hata udanganye? Huoni kuwa ni UJINGA sana kwenye mashindano mmoja wa washindani peke yake ateue wasimamizi?
CCM ingekuwa inapenda uchaguzi wa haki ingelazimisha sheria kwamba mgombea wa Urais akishindwa hana haki ya kwenda mahakamani? Inajua inaiba kura na kutawala kwa nguvu.
Wewe bila shaka ni nyapara wa CCM. We are, I submit, a colony of CCM. Unaona watu wanaweza kujikomboa kutoka utumwa huu wa CCM na hicho kinaogopesha sana nyapara wa CCM, yaani watu wa aina yako.
Maana ya Tume Huru popote ulimwenguni ni kwamba haiteuliwi na serikali au rais, bali huchaguliwa na wanumbe mchanganyiko waliopitia usaili. Wewe ungeng'ang'ania tu kuwa Katiba hii inampa mamlaka rais kuiteua Tume, lakini si huru hata tukiipenda mimi na wewe.
Hukutaja Kenya. Nimekupa mfano wa nchi ambayo Tume ya Uchaguzi haiteuliwi na Rais peke yake. Nilifanya hivyo kwani ulidanganya kila nchi ni Rais tu ndiye anateua Tume ya Uchaguzi. Unatetea ujinga. Don't you know what a counter-example is? Kama kuna malalamiko bado ni beside the point.We
Wewe kweli ndondo.cha katika maelezo yangu hapo kuna sehemu nimetaja Kenya?
Nikichoongea chote kinahusu Tanzania na Katiba yake.
Halafu huko Kenya ambako Rais hateuwi Tume kuna mabadiliko gani? Mbona hali ni ile ile Tume hiyo ya Kenya nayo inalalamikiwa tu kila uchaguzi na wanauana tu!
Hatuna la kujifunza kutoka kwao