EllySkyWilly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2020
- 2,204
- 2,085
mzee wangu kuna watu wamempoteza mimi ndivyo navyoamini.Aliekuwa anapiga pushapu jina lake linaanza na hayati , aliekuwa anapunga mkono bado Yupo. Haya ni maajabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mzee wangu kuna watu wamempoteza mimi ndivyo navyoamini.Aliekuwa anapiga pushapu jina lake linaanza na hayati , aliekuwa anapunga mkono bado Yupo. Haya ni maajabu
Wewe na kundi lako nasikia ndio mmemuua Magufuli. Nasikia mmekula njama za kumpoteza mzee wetuWalio mpitisha magufuli, mzoga ulio kuwa unatembea na magonjwa kibao yasio tibika kugombea urais, wanapaswa kuwajibika
Atake asitake mitano tena...Development has no party au nasema uongo ndugu zangu?
Mimi naamini ni maradhi, Nani ana uwezo WA kupenya ule ulinzi kwenda kumdhuru Amiri Jeshi? Tanzania hii hakuna ni mipango ya MUNGU.mzee wangu kuna watu wamempoteza mimi ndivyo navyoamini.
mzee alikua na maadui wengi sanaa, amejitahidi sana. Hili li nchi sio kazi ndogo kulifumua, kuna mijitu mchanganyiko, michawi, mijambazi, mijizi, mipapeti, mifisadi, mira rushwa, misaliti, miuza madawa ya kulevya yote huyo iuiguse Itakua inakutafuta kwa njia mbalimbali ili kumalize.Mimi naamini ni maradhi, Nani ana uwezo WA kupenya ule ulinzi kwenda kumdhuru Amiri Jeshi? Tanzania hii hakuna ni mipango ya MUNGU.
Ingekuwa hivyo mbona hata HAYATI asingefaa kuwa prezda rejea alionekana SAMUNGE KWA BABU KWENYE KIKOMBE.Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lisu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Usisahau na yule malaika alishajitaja kuwa yeye ni kichaaNaelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Unatisha sanaLakini ngoyai bado ana dunda buheri wa afya kuliko wapiga push ups maana wameenda kutuandalia makao
Akimtaja atapata wapi sehemu ya kujiingizia kipato?..najua umemlenga Magufuli.
..unaogopa nini kumtaja?
Huku akipiga mahindi ya kuchomaMagu yupo wapi aliyekuwa anapiga pushups na kuhutubia Masaa mengi...
Au naongopa ndugu zangu?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ni kweli kuwa TAL amefariki dunia na kwa hakika kama angepita kuwa Rais wa Tanzania basi angetugharimu kurudi kwenye uchaguzi mkuu kabla ya muda. Mungu alituepusha kwa kweli! Bora tulijiongeza na kuchagua vyuma watupu.
Lengo lako mabulla apimwe akili au nimeelewa tofautiNaelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Huyo ni mgonjwa sana tuRudia kusoma ulichoandika mara mbili tatu hivi kwa makini, utagundua wewe ndio mwenye matatizo ya akili.
Kwiiishaaaaaa habari zaoMitano tena
Mbona una base kwa lissu. Zungumzia yule mgombea wa chama fulani aliytangulia maana na yeye hakuwa vizuri sana kiafya.Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Hoja yako ina ukweli, lakini inaweza kuwa inavunja katiba! Halafu tukiangalia mtu kama Magufuli, aligundulika kuwa na ugonjwa wa moyo mwaka 1993 kabla hajagombea nafasi yoyote ya kisiasa. Baada ya hapo aliendelea kufanya siasa kwa miaka takriban 30 ( precicely 28) bila kuteteleka. Nafikiri kinachotakiwa ni kuimarisha institution ya uraisi halafu katiba iandikwe upya kuwa na uwazi zaidi hasa katika muundo serikali baada rais aliyepo madarakani kufariki.Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!