Wagombea vyeo vya kisiasa wawe wanapimwa afya zao

Wagombea vyeo vya kisiasa wawe wanapimwa afya zao

mzee alikua na maadui wengi sanaa, amejitahidi sana. Hili li nchi sio kazi ndogo kulifumua, kuna mijitu mchanganyiko, michawi, mijambazi, mijizi, mipapeti, mifisadi, mira rushwa, misaliti, miuza madawa ya kulevya yote huyo iuiguse Itakua inakutafuta kwa njia mbalimbali ili kumalize.
"...michawi, mijambazi, mijizi, mipapeti, mifisadi, mira rushwa, misaliti, miuza madawa ya kulevya..."
Asilimia 78 ya hayo uliyoyaandika hapo juu ndio sifa za mwenda futi sita chini.
 
"...michawi, mijambazi, mijizi, mipapeti, mifisadi, mira rushwa, misaliti, miuza madawa ya kulevya..."
Asilimia 78 ya hayo uliyoyaandika hapo juu ndio sifa za mwenda futi sita chini.
Tena wewe ni mmojawapo uliyefanya hayo.
 
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni kweli kabisa. Huyu zezeta hafai kushika nafasi yoyote ya uongozi, hata ubalozi. Kipengele cha sheria kinachosema mgombea 'awe na akili timamu' lazima kifatiliwe kwa njia ya upimaji
 
Hoja yako ina ukweli, lakini inaweza kuwa inavunja katiba! Halafu tukiangalia mtu kama Magufuli, aligundulika kuwa na ugonjwa wa moyo mwaka 1993 kabla hajagombea nafasi yoyote ya kisiasa. Baada ya hapo aliendelea kufanya siasa kwa miaka takriban 30 ( precicely 28) bila kuteteleka. Nafikiri kinachotakiwa ni kuimarisha institution ya uraisi halafu katiba iandikwe upya kuwa na uwazi zaidi hasa katika muundo serikali baada rais aliyepo madarakani kufariki.

Kuna tatizo kuwa viongozi wasiokubaliana na rais aliyepo wanaweza kuplot na Makamu wa rais kumwua rais huyo kusudi wafanye mabadiliko ya muundo wa serikali wanayotaka wao; itakuwa ni vizuri sana katiba ikaweka wazi kuwa serikali iliyoachwa na rais aliyefariki akiwa madarakani itamilizia muhuua wake mpaka uchaguzi ujao ila kuwa na mechanism nzuri ya kuwadhibiti wateule walioachwa na rais aliyefariki wasitumie nafasi zao vibaya.

Hii ya kusema rais amekufa hivyo sasa watu wake wote ondokeni tuunde serikali yetu mpya inaweza kuwa na unintended consequences. Katiba ya zamani ilikuwa inasema rais akifa basi uchaguzi mpya unafanyika. Sasa kwa vile hakuna makamu wa rais aliyekuwa ana uhakika kuwa uchaguzi mwingine ukifanyika atashinda, ilikuwa ni vigumu sana ku-collude naye kuhusu kumwua rais aliyeko madarakani. Sasa hivi makamu wa rais anajua kuwa rais akifa basi mimi nitachukua kiti na hilo siyo jambo zuri kwenye uhusiano kati ya rais na makamu wake.
Nimekuelewa bwashee!
 
Hayo Mambo ya ugonjwa mmeyaleta tena hamuoni mnakufuru?

Lissu angeweza kufanya mikutano non-stop bila kuletewa mizengwe!

Ila mgombea fulani alikua anapiga kampeni siku 2 mapumziko siku 6! Na kila atembeapo anakuwa na kipooza hewa sasa NEC hawakuyaona haya au wewe hukuona haya?
 
Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.

Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.

Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.

Hata mzee Lowassa 2015 alikuwa hawezi kuhutubia aliishia kupunga mkono tu kisha Freeman Mbowe ndio anahutubia na Mbatia.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
Mlisema Lowasa hawezi kumaliza miaka miwili ikulu mpk leo anadunda, Jiwe chali, Sitta, sijui nani?
 
Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.

Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.

Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
Nafikiri yule mwingine alie jipima Afya kwa push up matokeo yake akapigwa short kwenye moyo kutoka na hitilafu ya umeme kwenye kifaa kilichofungwa ndani ya moyo wake.

Pengine asingefanikiwa kabisa kugombea japo kwa nafasi ya ubunge pengine nafikiri saivi angekua hajafa labda angekua anafundisha Kemia huko Ilemela
 
Wapime afya,wachunguze uraia, wachunguze tabia zilizojificha tusipate tabia zisizo za kitanzania.
 
Aliyepigwa risasi 32 bado yupo hai aliyeagiza apigwe ni hayati
Waliosema Lowasa ni mgonjwa wametangulia Hadi walipiga push up Kumdhihaki, wengine walienda chekup nje kwa kukaa sitini wakarudi kwenye buti ya mizigo ya ndege kama kifurushi.
Usiringie afya, utajiri, madaraka pia kuwa navyo sio ujanja au una akili Sana ni wakati tu Mungu kakupa.
 
Waanze kupimwa Madishi kwanza, kwa maana kama tunamuona Mwanri kuwa ni mzima basi hatari.
 
Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.

Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.

Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.

Hata mzee Lowassa 2015 alikuwa hawezi kuhutubia aliishia kupunga mkono tu kisha Freeman Mbowe ndio anahutubia na Mbatia.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
Wacha porojo zako bwashee
 
Back
Top Bottom