Wagombea vyeo vya kisiasa wawe wanapimwa afya zao

Wagombea vyeo vya kisiasa wawe wanapimwa afya zao

Ni kweli kabisa. Huyu zezeta hafai kushika nafasi yoyote ya uongozi, hata ubalozi. Kipengele cha sheria kinachosema mgombea 'awe na akili timamu' lazima kifatiliwe kwa njia ya upimaji
Zezeta ni familia yako yoote
 
Mifumo yetu ya AFYA ni mibovu Sana unampatia RUSHWA daktari na unaandikiwa upo FIT!
Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.

Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.

Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.

Hata mzee Lowassa 2015 alikuwa hawezi kuhutubia aliishia kupunga mkono tu kisha Freeman Mbowe ndio anahutubia na Mbatia.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
 
Waliosema Lowasa ni mgonjwa wametangulia Hadi walipiga push up Kumdhihaki, wengine walienda chekup nje kwa kukaa sitini wakarudi kwenye buti ya mizigo ya ndege kama kifurushi.
Usiringie afya, utajiri, madaraka pia kuwa navyo sio ujanja au una akili Sana ni wakati tu Mungu kakupa.
Sure tunakopeshwa na MUNGU
 
Kazi ya Urais ilivyo ngumu na mikikimikiki mingi imagine jitu linagombea Urais wakati linajua kuwa lina moyo wa bandia!
 
Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.

Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.

Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.

Hata mzee Lowassa 2015 alikuwa hawezi kuhutubia aliishia kupunga mkono tu kisha Freeman Mbowe ndio anahutubia na Mbatia.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe bora uolewe na huyu Tundu Lissu,na umzalie mapacha watatu ili kiherehere chako kitulie. Wewe kuna mtu ulilenga kumtaja ila ukaona utumie jina la mumeo mtarajiwa kufikisha ujumbe.
 
Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.

Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.

Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.

Hata mzee Lowassa 2015 alikuwa hawezi kuhutubia aliishia kupunga mkono tu kisha Freeman Mbowe ndio anahutubia na Mbatia.

Ni hayo machache.

Maendeleo hayana vyama!
Mwishowe tutakuja kusema wanaotoa maoni au kuandika kwenye mtandao wa kijamii wa JF wapimwe akili zao.
 
Wewe bora uolewe na huyu Tundu Lissu,na umzalie mapacha watatu ili kiherehere chako kitulie. Wewe kuna mtu ulilenga kumtaja ila ukaona utumie jina la mumeo mtarajiwa kufikisha ujumbe.
Lisu huyu huyu wa Robert Amsterdam?!!
 
Back
Top Bottom