residentura
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 8,146
- 11,434
"...michawi, mijambazi, mijizi, mipapeti, mifisadi, mira rushwa, misaliti, miuza madawa ya kulevya..."mzee alikua na maadui wengi sanaa, amejitahidi sana. Hili li nchi sio kazi ndogo kulifumua, kuna mijitu mchanganyiko, michawi, mijambazi, mijizi, mipapeti, mifisadi, mira rushwa, misaliti, miuza madawa ya kulevya yote huyo iuiguse Itakua inakutafuta kwa njia mbalimbali ili kumalize.
Tena wewe ni mmojawapo uliyefanya hayo."...michawi, mijambazi, mijizi, mipapeti, mifisadi, mira rushwa, misaliti, miuza madawa ya kulevya..."
Asilimia 78 ya hayo uliyoyaandika hapo juu ndio sifa za mwenda futi sita chini.
Ni kweli kabisa. Huyu zezeta hafai kushika nafasi yoyote ya uongozi, hata ubalozi. Kipengele cha sheria kinachosema mgombea 'awe na akili timamu' lazima kifatiliwe kwa njia ya upimajiKwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Wewe unaiona afya ya akili ya Tundu Lisu ni buheri kweli?..najua umemlenga Magufuli.
..unaogopa nini kumtaja?
Wewe Tundu Lisu unamuonaje?Unataka useme NEC hawana kitengo Cha afya ya akili? Unamaanisha hata kichaa anaweza gombea uongozi akapitishwa?
Anapotezwaje na ulinzi wote huo+mzee wangu kuna watu wamempoteza mimi ndivyo navyoamini.
Nimekuelewa bwashee!Hoja yako ina ukweli, lakini inaweza kuwa inavunja katiba! Halafu tukiangalia mtu kama Magufuli, aligundulika kuwa na ugonjwa wa moyo mwaka 1993 kabla hajagombea nafasi yoyote ya kisiasa. Baada ya hapo aliendelea kufanya siasa kwa miaka takriban 30 ( precicely 28) bila kuteteleka. Nafikiri kinachotakiwa ni kuimarisha institution ya uraisi halafu katiba iandikwe upya kuwa na uwazi zaidi hasa katika muundo serikali baada rais aliyepo madarakani kufariki.
Kuna tatizo kuwa viongozi wasiokubaliana na rais aliyepo wanaweza kuplot na Makamu wa rais kumwua rais huyo kusudi wafanye mabadiliko ya muundo wa serikali wanayotaka wao; itakuwa ni vizuri sana katiba ikaweka wazi kuwa serikali iliyoachwa na rais aliyefariki akiwa madarakani itamilizia muhuua wake mpaka uchaguzi ujao ila kuwa na mechanism nzuri ya kuwadhibiti wateule walioachwa na rais aliyefariki wasitumie nafasi zao vibaya.
Hii ya kusema rais amekufa hivyo sasa watu wake wote ondokeni tuunde serikali yetu mpya inaweza kuwa na unintended consequences. Katiba ya zamani ilikuwa inasema rais akifa basi uchaguzi mpya unafanyika. Sasa kwa vile hakuna makamu wa rais aliyekuwa ana uhakika kuwa uchaguzi mwingine ukifanyika atashinda, ilikuwa ni vigumu sana ku-collude naye kuhusu kumwua rais aliyeko madarakani. Sasa hivi makamu wa rais anajua kuwa rais akifa basi mimi nitachukua kiti na hilo siyo jambo zuri kwenye uhusiano kati ya rais na makamu wake.
Mlisema Lowasa hawezi kumaliza miaka miwili ikulu mpk leo anadunda, Jiwe chali, Sitta, sijui nani?Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Hata mzee Lowassa 2015 alikuwa hawezi kuhutubia aliishia kupunga mkono tu kisha Freeman Mbowe ndio anahutubia na Mbatia.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Aliyepigwa risasi 32 bado yupo hai aliyeagiza apigwe ni hayatiAliekuwa anapiga pushapu jina lake linaanza na hayati , aliekuwa anapunga mkono bado Yupo. Haya ni maajabu
Nafikiri yule mwingine alie jipima Afya kwa push up matokeo yake akapigwa short kwenye moyo kutoka na hitilafu ya umeme kwenye kifaa kilichofungwa ndani ya moyo wake.Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Waliosema Lowasa ni mgonjwa wametangulia Hadi walipiga push up Kumdhihaki, wengine walienda chekup nje kwa kukaa sitini wakarudi kwenye buti ya mizigo ya ndege kama kifurushi.Aliyepigwa risasi 32 bado yupo hai aliyeagiza apigwe ni hayati
Mitano inamuhusu mama aongezewe mda atawale milele kuendeleza sloganAtake asitake mitano tena...Development has no party au nasema uongo ndugu zangu?
Mwanri amechagua fungu jema!Waanze kupimwa Madishi kwanza, kwa maana kama tunamuona Mwanri kuwa ni mzima basi hatari.
Wacha porojo zako bwasheeNaelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Hata mzee Lowassa 2015 alikuwa hawezi kuhutubia aliishia kupunga mkono tu kisha Freeman Mbowe ndio anahutubia na Mbatia.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Waumini wanaenda kupigwa visadaka vyaoMwanri amechagua fungu jema!
Wakati anazidi kuwa furusha MATAGA wa lumumba.Mitano inamuhusu mama aongezewe mda atawale milele kuendeleza slogan
π π π π akikujibu ni TAG.Lakini ngoyai bado ana dunda buheri wa afya kuliko wapiga push ups maana wameenda kutuandalia makao