Zezeta ni familia yako yooteNi kweli kabisa. Huyu zezeta hafai kushika nafasi yoyote ya uongozi, hata ubalozi. Kipengele cha sheria kinachosema mgombea 'awe na akili timamu' lazima kifatiliwe kwa njia ya upimaji
Yeye ni Mwinjilisti wa KKKT kwa askofu Shoo!Waumini wanaenda kupigwa visadaka vyao
Tokea lini Kifutu akamtumikia MunguYeye ni Mwinjilisti wa KKKT kwa askofu Shoo!
Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Hata mzee Lowassa 2015 alikuwa hawezi kuhutubia aliishia kupunga mkono tu kisha Freeman Mbowe ndio anahutubia na Mbatia.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Sure tunakopeshwa na MUNGUWaliosema Lowasa ni mgonjwa wametangulia Hadi walipiga push up Kumdhihaki, wengine walienda chekup nje kwa kukaa sitini wakarudi kwenye buti ya mizigo ya ndege kama kifurushi.
Usiringie afya, utajiri, madaraka pia kuwa navyo sio ujanja au una akili Sana ni wakati tu Mungu kakupa.
Wewe bora uolewe na huyu Tundu Lissu,na umzalie mapacha watatu ili kiherehere chako kitulie. Wewe kuna mtu ulilenga kumtaja ila ukaona utumie jina la mumeo mtarajiwa kufikisha ujumbe.Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Hata mzee Lowassa 2015 alikuwa hawezi kuhutubia aliishia kupunga mkono tu kisha Freeman Mbowe ndio anahutubia na Mbatia.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Ni kweli na hukumu yake haichelewi kama tulivyoshuhudiaWakati mwingine wizi wa kura unamanufaa kwa umma.
Mwishowe tutakuja kusema wanaotoa maoni au kuandika kwenye mtandao wa kijamii wa JF wapimwe akili zao.Naelewa ajira za umma ni lazima muombaji apimwe afya yake baada ya kukidhi vigezo vingine vya ajira ndipo ataruhusiwa kuingia ofisini.
Ni vema zoezi kama hili likawa linafanywa kwa wagombea wa nafasi za kisiasa wakiwemo wabunge na madiwani.
Kwa mfano ukisikiliza mijadala ya Tundu Lissu na maandishi yake mitandaoni kuhusu taifa letu utabaini kabisa NEC wangekuwa na kitengo cha afya ya mwili na akili basi TAL asingepitishwa.
Hata mzee Lowassa 2015 alikuwa hawezi kuhutubia aliishia kupunga mkono tu kisha Freeman Mbowe ndio anahutubia na Mbatia.
Ni hayo machache.
Maendeleo hayana vyama!
Kwani wanajulikana?Mwishowe tutakuja kusema wanaotoa maoni au kuandika kwenye mtandao wa kijamii wa JF wapimwe akili zao.
Lisu huyu huyu wa Robert Amsterdam?!!Wewe bora uolewe na huyu Tundu Lissu,na umzalie mapacha watatu ili kiherehere chako kitulie. Wewe kuna mtu ulilenga kumtaja ila ukaona utumie jina la mumeo mtarajiwa kufikisha ujumbe.
KILA mtu upewa kwa wakati but usiache kupambana kusubiria wakati.Sure tunakopeshwa na MUNGU
SawaKILA mtu upewa kwa wakati but usiache kupambana kusubiria wakati.
Ukifika wakati utotumia nguvu kupata