LGE2024 Wagombea wa CCM kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na vijiji ni vijana wasomi ukilinganisha na vyama vingine

LGE2024 Wagombea wa CCM kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa na vijiji ni vijana wasomi ukilinganisha na vyama vingine

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kua madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.

Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Vijana wasomi ndio wanaotakiwa. Hienda chama kimeona hilo hitaki na kimelifanyia kazi.
 
Acha unaa hata yule asiyejua kuandika tarehe yake ya kuzaliwa ni msomi?
yule ambae mmeokota picha sijui wapi huko, mkabandika kwenye fomu ya kugombea na kuanza kupotosha umma kupitia mitandao ya kijamii nchi nzima 🤣

CCM haina mgombea Mzee kama yule gentleman 🐒
 
for sure inakera sana,
wagombeaji wa chama tawala wote ni vijanaa wasomi dah🤣

huku wa vyama vingine ni wazee sana halafu wafuasi wao wengi hawajajiandikisha 🤣

huna watu, halafu hukubaliki wala huaminiki. Kuparara kisiasa ni kitu mbaya sana aise 🤣
Wagombea gani bosa, kwenye hizi chaguzi za kishenzi unaweza kuongelea wagombea?
 
Vijana wasomi ndio wanaotakiwa. Hienda chama kimeona hilo hitaki na kimelifanyia kazi.
sure gentleman,
vyama vyenye maono ya mbali hutumia fursa zote ku utilize na kuacomodate kila resource iliyopo kama msingi wa maandalizi ya kuitumia kwenye majukumu mazito na makubwa zaidi in future 🐒
 
Wagombea gani bosa, kwenye hizi chaguzi za kishenzi unaweza kuongelea wagombea?
wewe una yako moyoni na si vinginevyo gentleman.

maana ni mkali kwenye kuambiwa ukweli 🤣
 
Hivi wewe degree yako ya pale UDSM imekusaaidia nini?Mbona bado CHAWA ?Mbona bado ni Malaya .Msomi wa UDSM ungana na vijana wenye Elimu nzuri kama yako ya kutoka chuo bora Africa Mashariki kupata Katiba mpya !Acha kuidhalilisha UDSM kwa uchawa Ili uweze kula ??

Kulikuwa na haja gani ya wewe kwenda shule ?
gentleman,
mie nina digrii zaidi ya moja Lazima uniheshimu kidogo sawa muungwana?

halafu wasomi huwa hatuna mihemko wala makasiriko dhidi ya wasomi wenye maoni na mitazamo mingine dhidi yetu. So, jitafakari kwenye hilo.

Jukumu kubwa na la maana la kisomi ni kuibua mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi kuliko zilizoibuliwa na wasomi wengine kale.

Msomi mwenye dhihaka na mihemko ni sawa na mshirikina tu.
Na kwahivyo ungana na washirikina wenzio kudai kisichohitajika nchi, lakini sio mimi gentleman 🤣
 
Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kua madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.

Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
20241108_210622.jpg

Na amini mnawasomi wazuri sana
 
Wasomi wa Kitu gani hapa Tanganyika? 😂
CCM ina hazina kubwa mno ya vijanaa wasomi wa kada mbalimbali waliohitimu vyuo vikuu mbalimbali nchini ndiyo hao leo hii maeneo mbalimbali nchini wanazindua kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa na vijijini, kwa nafasi za uongozi wanazogombea..

kwani kuna ubaya wowote gentleman ?🐒
 
We ni mjinga sn dada angu, yule wa CCM aliyezaliwa tarehe 24-12-2024 mbona hajaenguliwa?
huyo si mgombea wa CCM popote nchini gentleman,

huyo ni kiki fake ya upinzani kutafuta huruma kwa wananchi. Ndiyo maana ni hiyo hiyo tu inazurura mitandaoni 🤣
 
View attachment 3156861
Na amini mnawasomi wazuri sana
huyo sio mgombea uongozi wa CCM popote nchini .

ni kiki ya upinzani wanayoitumia kutafuta huruma ambayo mpaka sasa wamepuuzwa tu ingwa bado mnazurura na hiyo kiki ya upotoshaji 🐒

vijanaa wasomi wa CCM wanakwenda kubadili hali ya maendeleo na mitaa kote nchini 🐒
 
Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kua madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.
Unaposema wasomi una maana gani?
Wasomi kwenye level gani?
Ulifanya utafiti kabla ya kuropoka haya?
Au kwa sababu wao walijaza FOMU bila "kukosea"?
 
Unaposema wasomi una maana gani?
Wasomi kwenye level gani?
Ulifanya utafiti kabla ya kuropoka haya?
Au kwa sababu wao walijaza FOMU bila "kukosea"?
namaanisha vijana makini wa CCM, wahitimu wa vyuo vikuu mbalimbali nchini na wenye maono na mipango mbadala ya kuleta mageuzi na mabadiliko katika maisha ya mitaa na vijiji mbalimbali kote nchini.

ingekua ni aibu kwa CCM, kwa msomi wa chuo kikuu kukosea kujaza fomu ya kugombea uongozi 🐒
 
Back
Top Bottom