johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Sema ina Vijana wengi wenye vyetiCCM ina hazina kubwa mno ya vijanaa wasomi wa kada mbalimbali waliohitimu vyuo vikuu mbalimbali nchini ndiyo hao leo hii maeneo mbalimbali nchini wanazindua kampeni za uchaguzi wa serikali za mitaa na vijijini, kwa nafasi za uongozi wanazogombea..
kwani kuna ubaya wowote gentleman ?π
IQ yako ndogo.We ni mjinga sn dada angu, yule wa CCM aliyezaliwa tarehe 24-12-2024 mbona hajaenguliwI
Tetetete kwa vile mumeo kagombea aseeIQ yako ndogo.
Kenge wewe.
Mtapigwa safari hadi mgalagazwe chali kama mende.
gentleman,Sema ina Vijana wengi wenye vyeti
Usomi ni Kitu kingine kabisa bwashee ππ
anyway huenda ukawa sahihi gentleman,Napitia fomu za hao unaowaita wasomi kwenye Mkoa X kuandika tu shida..... Errors kibaooo.....
Na endapo mngekaziwa kulinganisha majina ya Nida na fomu zenu nyie wasomi 50% msingetoboa.
Kabla ya hapo walikuwa wanafanya ninianyway huenda ukawa sahihi gentleman,
kakini pia shukrani sana kwa kuwatambua vijana wasomi wa ccm licha ya dosari na kasoro unazodai kuzibaini kwenye fomu zao.
kwa kifupi tu ukiachilia mbali usomo wao, ccm imewapa fursa vijana kwenye uchaguzi huu kwa 100%.
na wazee wachache wa ccm, miongoni mwao ambao nao wamepata fursa ya kugombea uongozi katika maeneo machache sana mchuni, ni makini sana na wanaungwa mkono mno katika maeneo yao.
ccm ilijipanga vizuri sana gentleman
sasa wewe uko field na watu nyomi kama lote nchi nzima wanazindua kampeni za ccm, si utakuta kila kitu kimekwisha nov.27, gentleman?Man watu wako field wanaona, hakuna mgombea mwenye nafuu, unless kama wa ccm wanatoea mbinguni ila kama wanatokea kwneye jamii zetu hali ni mbaya ni wale wale tofauti ni vyma
Nani mgeni nchi hii, we all know vile wagombe ndio wana reflect wanapotokasasa wewe uko field na watu nyomi kama lote nchi nzima wanazindua kampeni za ccm, si utakuta kila kitu kimekwisha nov.27, gentleman?
ccm ina vijana wasomi wazalendo amabao kwa kutumia elimu walizopata huko vyuo vikuu, hutumia kila fursa mijini na vijijini kwao,Katiba inasema awe anajua kusoma na kuandika, wasomi wanaenda huko vijijini kufanya nini, hayo ni matumizi mabaya ya rasmali watu.
Usicho kijua ni kuwa NINA KUFAHAMU VIZURI SANA,Mpaka ukoo wako wote.Ninafahamu Elimu yako (Huna degree mbili) ninajua vizuri kwanini uko CCM na nafasi yako uliyoahidiwa ninaijua.Ulifungua Kodi mwenyewe kwenye ule Uzi wa kugombea ubungegentleman,
mie nina digrii zaidi ya moja Lazima uniheshimu kidogo sawa muungwana?
halafu wasomi huwa hatuna mihemko wala makasiriko dhidi yauwa wasomi wenye maoni na mitazamo mingine dhidi yetwau. So, ua jitafakari kwenye hilo.
Jukumu kubwa na la maana la kisomi ni kuibua mawazo mapya na fikra mbadala bora zaidi kuliko zilizoibuliwa na wasomi wenAgine kale.
a
Msomi mwenye dhihaka na mihemko ni sawa na mshirikina tu.
Na kwahivyo ungana na washirikina wenzio kudai kisichohitajika nchi, lakini sio mimi gentleman π€£
ndiyo gentleman,Usicho kijua ni kuwa NINA KUFAHAMU VIZURI SANA,Mpaka ukoo wako wote.Ninafahamu Elimu yako (Huna degree mbili) ninajua vizuri kwanini uko CCM na nafasi yako uliyoahidiwa ninaijua.Ulifungua Kodi mwenyewe kwenye ule Uzi wa kugombea ubunge
HUNA LOLOTE NI NJAA TU NA UCHAWA .UKIZINGUA NAKUAABISHA SASA HIVI
Gentleman,
nazungumzia uchaguzi wa Nov 27,ambao kampeni zake tayari zimeanza leo na si vinginevyo π
Mwaka 2019 na 2020 baada ya kuwaengua wapinzani mlijitangaza "tumepata ushindi wa kishindo." Nadhani baada ya kuwaengua wapinzani wengi hata mwaka huu na pia mwakani mtajitangaza tena "tumepata ushindi wa kishindo". Lakini kwenye 'fair play' hammo kabisa!Gentleman,
nazungumzia uchaguzi wa Nov 27,ambao kampeni zake tayari zimeanza leo na si vinginevyo π
Kumbe "usomi tupu" haukukusaidia? Na he, utawasaidia kweli hao "wasomi tupu" mliowaweka mwaka huu?ndiyo gentleman,
nilionekana kichaa kwenda kugombea ubunge kwa mara ya kwanza, mara tu baada ya kumaliza paper ya mwisho mwaka mwaka wa tatu chuo kikuu, huku nikiwa na laki5 tu mfukoni
uliza sasa ilikua mwaka gani? nilifaulu au sikufaulu mtanange huo?
niliowakuta humu JF tena ambao ndio mathink tank kwenye vyama vyao wakaishia kuniignore tu,
kwasababu wanashangaa huyu mujamaa amefanyafanyaje na laki tano tu, mpaka akakua poweful individual namna hii?
My friend ni kujipanga tu,
tafiti zangu zote zaidi ya mbili za kitaaluma kwa kiasi kikubwa kwa Neema na Baraka za Mungu, nimefanikiwa kupitia JF
Yaani hana degrees mbili, halafu anasema ana zaidi ya degrees mbili? Watu bwana, ila "when theory doesn't fit the theory, ignore the theory".Usicho kijua ni kuwa NINA KUFAHAMU VIZURI SANA,Mpaka ukoo wako wote.Ninafahamu Elimu yako (Huna degree mbili) ninajua vizuri kwanini uko CCM na nafasi yako uliyoahidiwa ninaijua.Ulifungua Kodi mwenyewe kwenye ule Uzi wa kugombea ubunge
HUNA LOLOTE NI NJAA TU NA UCHAWA .UKIZINGUA NAKUAABISHA SASA HIVI
Leo inakupa ugali utaongea yote. Kuna siku utasimama peke yako. Hakuna ugali lakini utakua na kilio. Chanzo Cha kilio kitakua CCM isiyo simamia haki. Utaikumbuka hii comment na namna mlivyoshinda chaguzi mbalimbali na mchango wako kwenye wizi. Utakua yupo Mungu aonae!Haya ni matokeo ya succession plan ndani ya Chama Cha Mapinduzi. Hawa wote ndio baadae watakuja kua madiwani, wabunge, mawaziri na Marais wanaoitambua jamii tangu ground.
Kuhitimisha hoja hii makini na ya ukweli, ni dhahiri mpaka sasa ushindi wa kishindo kwa CCM ni wa uhakika, wa wawazi kabisa na usio na mawaa, mpaka hata kwenye ule wa udiwani, ubunge na urais 2025 ndivyo itakavyokua.π
Mungu Ibariki Tanzania