Zanzibar 2020 Wagombea wa CCM Pemba wana haya ya kunena

Zanzibar 2020 Wagombea wa CCM Pemba wana haya ya kunena

Shocker

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
1,958
Reaction score
3,890
Kwa maandishi wamejibu hawakumuekea pingamizi mgombea yeyote yule wa ACT wazalendo,huo au hayo yaliyojiri ni mzigo wao tume ya Taifa ya uchaguzi na sio wagombea wa CCM.

Sasa ninaloliona ni CCM kukimbia mauti maana Pemba hawacheki na mtu katika kutafuta haki yao,hawaogopi kauli za Tanzania ni nchi ya amani wala kauli za Baba wataifa alituachia nchi yenye utulivu na amani na inahitaji kulindwa zinazopendwa sana kutumiwa na wakuu wa polisi na wakuu wa CCM,wanasema wanaojificha chini ya kauli hizo watafute pa kwenda kuzitumia sio Pemba. kauli hizo zitafaa pale ambapo haki inatendeka.

Imekuwa ni kawaida wakuu wa polisi kumtaja Mwalimu Nyerere kwa kisingizio cha kulinda amani hawamsemi wala kumtaja kwa ajili ya kulinda haki,huyo Mwalimu Nyerere yupi wanaemtaja ?

Hivi hawa wakuu wa polisi huko kulinda kwao haki ndio wanaona wayafanyayo CCM ni sawa ? Kuenguliwa na kuondolewa wagombea kwa visa kama hivyo hapo wanategemea wananchi watulie kwa kuogopa kuvunja amani ? Tanzania nzima hakuna hata CCM mmoja alienguliwa na tume ya uchaguzi na zaidi utasikia Polisi mnatumika kusaidia kuengua na mnawaogopa CCM kama miungu yenu,inawezekana mkawaogopa kwa sababu ndio wanaowashusha na kuwapandisha vyeo,mmesahau kuwa nyinyi ni kwa ajili ya wananchi wote bila ya kujali itikadi zao za vyama kama kuetetea muwatetee wote. Kama hilo hamuliwezi basi hamfai kuwemo katika jeshi hilo,kinachosomeka ni kuwa nyinyi ni mapandikizi ya CCM ndani ya Jeshi hilo.

Watu kama nyinyi linapotokea la kutokea ndio wa mwanzo kukamatwa kwa kuwa ndio asasi inayotoa sapoti kubwa kwa CCM katika kipindi hiki cha uchaguzi,mnawasaidia bila kificho,ijapokuwa sio wote,kuna vipenzi vya Mungu hao hawana muhali na wanatekeleza majukumu yao ipasavyo,ingawa mwisho wake hukutwa na matatizo ya fitna.

Polisi haswa wakuu wa Polisi na iwe wapo hapo kama mapandikizi ya CCM au wamefikia hapo kwa weledi wao,ni bora muelewe sio polisi wote,wala usalama wote wala majeshi yote yanaishobokea CCM,wako wengine ni wapenzi wa vyama vingine na wapo wasio na upande wowote,wapo ndugu zao wapo upinzani na wao wanaliangalia zoezi hili la uchaguzi kwa kina na wanafuatilia kwa ukaribu kama walivyo wananchi wengine. Inakuwaje polisi anaefyetua risasi kwenye maandamano ya vyama vya upinzani inafikia anajulikana kwa jina ?

CCM walioandika barua kukana kuwa hayo mapingamizi yaliyotumia majina yao kuwa wao ndio walioandika na kuweka mapingamizi hayo wanastahili pongezi kubwa sana sana,wameonyesha uungwana wa kiwango cha juu na imani yao katika kupata haki kwa ridhaa za wananchi bila ya kusaidiwa na Chama kufanya udanganyifu.Wamekataa ushindi wa haramu maana mshahara atakaopata atakula yeye na familia yake kwa ushindi wa haramu itakuwa wanakula haramu kwa muda wote,sasa uharamu unawarudia waliotayarisha mapingamizi ya uwongo
Pemba will not surrender to CCM never.
 
Kuhusiana na mpingamizi na rufaa yake sheria inasema hivi

1598833406047.png


(1) walioenguliwa walipewa taarifa za kusudio la kuenguliwa kwao kabla hawajaenguliwa. Baada ya kupewa taarifa hizo walipea nafasi ya kujitetea- Kuna kifungu huko nyuma kinasema hivyo sikukiweka.

(2) baada ya kuenguliwa taaruifa ilipelekwa kwenye tume: kama aliyeengulia haridhiki, anatakiwa akate rufaa kwenye tume. Ubaya ni huo wa njano kuwa uamuzi wa tume haupingwi. Sasa je wamshakata rufaa kwenye tume/ au wamaishia kupiga kelele tu bila kwenda ngazi za juu.
 
Kuhusiana na mpingamizi na rufaa yake sheria inasema hivi

View attachment 1553730

(1) walioenguliwa walipewa taarifa za kusudio la kuenguliwa kwao kabla hawajaenguliwa. Baada ya kupewa taarifa hizo walipea nafasi ya kujitetea- Kuna kifungu huko nyuma kinasema hivyo sikukiweka.

(2) baada ya kuenguliwa taaruifa ilipelekwa kwenye tume: kama aliyeengulia haridhiki, anatakiwa akate rufaa kwenye tume. Ubaya ni huo wa njano kuwa uamuzi wa tume haupingwi. Sasa je wamshakata rufaa kwenye tume/ au wamaishia kupiga kelele tu bila kwenda ngazi za juu.

Unakatia rufaa kitu batili? Wanaodaiwa kuweka pingamizi wamekana kwamba hawakuweka pingamizi kwa mgombea yeyote.

Muda utasema ikiwa ni kelele tu au wanamaanisha.
 
Unadhani ni kwanini Mkapa hakuwa na imani na hiyo tumeccm?

1598834393009.jpeg


Kuhusiana na mpingamizi na rufaa yake sheria inasema hivi

View attachment 1553730

(1) walioenguliwa walipewa taarifa za kusudio la kuenguliwa kwao kabla hawajaenguliwa. Baada ya kupewa taarifa hizo walipea nafasi ya kujitetea- Kuna kifungu huko nyuma kinasema hivyo sikukiweka.

(2) baada ya kuenguliwa taaruifa ilipelekwa kwenye tume: kama aliyeengulia haridhiki, anatakiwa akate rufaa kwenye tume. Ubaya ni huo wa njano kuwa uamuzi wa tume haupingwi. Sasa je wamshakata rufaa kwenye tume/ au wamaishia kupiga kelele tu bila kwenda ngazi za juu.
 
Kwa maandishi wamejibu hawakumuekea pingamizi mgombea yeyote yule wa ACT wazalendo,huo au hayo yaliyojiri ni mzigo wao tume ya Taifa ya uchaguzi na sio wagombea wa CCM.

Sasa ninaloliona ni CCM kukimbia mauti maana Pemba hawacheki na mtu katika kutafuta haki yao,hawaogopi kauli za Tanzania ni nchi ya amani wala kauli za Baba wataifa alituachia nchi yenye utulivu na amani na inahitaji kulindwa zinazopendwa sana kutumiwa na wakuu wa polisi na wakuu wa CCM,wanasema wanaojificha chini ya kauli hizo watafute pa kwenda kuzitumia sio Pemba. kauli hizo zitafaa pale ambapo haki inatendeka.

Imekuwa ni kawaida wakuu wa polisi kumtaja Mwalimu Nyerere kwa kisingizio cha kulinda amani hawamsemi wala kumtaja kwa ajili ya kulinda haki,huyo Mwalimu Nyerere yupi wanaemtaja ?

Hivi hawa wakuu wa polisi huko kulinda kwao haki ndio wanaona wayafanyayo CCM ni sawa ? Kuenguliwa na kuondolewa wagombea kwa visa kama hivyo hapo wanategemea wananchi watulie kwa kuogopa kuvunja amani ? Tanzania nzima hakuna hata CCM mmoja alienguliwa na tume ya uchaguzi na zaidi utasikia Polisi mnatumika kusaidia kuengua na mnawaogopa CCM kama miungu yenu,inawezekana mkawaogopa kwa sababu ndio wanaowashusha na kuwapandisha vyeo,mmesahau kuwa nyinyi ni kwa ajili ya wananchi wote bila ya kujali itikadi zao za vyama kama kuetetea muwatetee wote. Kama hilo hamuliwezi basi hamfai kuwemo katika jeshi hilo,kinachosomeka ni kuwa nyinyi ni mapandikizi ya CCM ndani ya Jeshi hilo.

Watu kama nyinyi linapotokea la kutokea ndio wa mwanzo kukamatwa kwa kuwa ndio asasi inayotoa sapoti kubwa kwa CCM katika kipindi hiki cha uchaguzi,mnawasaidia bila kificho,ijapokuwa sio wote,kuna vipenzi vya Mungu hao hawana muhali na wanatekeleza majukumu yao ipasavyo,ingawa mwisho wake hukutwa na matatizo ya fitna.

Polisi haswa wakuu wa Polisi na iwe wapo hapo kama mapandikizi ya CCM au wamefikia hapo kwa weledi wao,ni bora muelewe sio polisi wote,wala usalama wote wala majeshi yote yanaishobokea CCM,wako wengine ni wapenzi wa vyama vingine na wapo wasio na upande wowote,wapo ndugu zao wapo upinzani na wao wanaliangalia zoezi hili la uchaguzi kwa kina na wanafuatilia kwa ukaribu kama walivyo wananchi wengine. Inakuwaje polisi anaefyetua risasi kwenye maandamano ya vyama vya upinzani inafikia anajulikana kwa jina ?

CCM walioandika barua kukana kuwa hayo mapingamizi yaliyotumia majina yao kuwa wao ndio walioandika na kuweka mapingamizi hayo wanastahili pongezi kubwa sana sana,wameonyesha uungwana wa kiwango cha juu na imani yao katika kupata haki kwa ridhaa za wananchi bila ya kusaidiwa na Chama kufanya udanganyifu.Wamekataa ushindi wa haramu maana mshahara atakaopata atakula yeye na familia yake kwa ushindi wa haramu itakuwa wanakula haramu kwa muda wote,sasa uharamu unawarudia waliotayarisha mapingamizi ya uwongo
Pemba will not surrender to CCM never.

Ndiyo maana Maalim Seif kasema "ukhanithi"huu sasa basi.
 
Kuhusiana na mpingamizi na rufaa yake sheria inasema hivi

View attachment 1553730

(1) walioenguliwa walipewa taarifa za kusudio la kuenguliwa kwao kabla hawajaenguliwa. Baada ya kupewa taarifa hizo walipea nafasi ya kujitetea- Kuna kifungu huko nyuma kinasema hivyo sikukiweka.

(2) baada ya kuenguliwa taaruifa ilipelekwa kwenye tume: kama aliyeengulia haridhiki, anatakiwa akate rufaa kwenye tume. Ubaya ni huo wa njano kuwa uamuzi wa tume haupingwi. Sasa je wamshakata rufaa kwenye tume/ au wamaishia kupiga kelele tu bila kwenda ngazi za juu.
Lakini waliodhaniwa kuweka mapingamizi wamekanusha tena kwa maandishi rasmi..hili nalo limekaaje!?
 
Unakatia rufaa kitu batili? Wanaodaiwa kuweka pingamizi wamekana kwamba hawakuweka pingamizi kwa mgombea yeyote.

Muda utasema ikiwa ni kelele tu au wanamaanisha.

Kwa hiyo wana sababu halali ya wao kukata rufaa kwenye Tume; kwa nini wasifanye hivyo kwanza, na baada ya hapo ndipo walalamike? Sheria inasemwa kuwa mtu anaweza kuwekewa pingamizi na (1) Mgombea mwenzake, (2) Mkurugenzi wa Uchaguzi, (3) msajili wa Vyama, (4) Msimamizi wa Uchaguzi, (5) Mwanasheria mkuu. Na pingamizi linafanywa kwa maandishi kwenye formu maalum inyotolewa na tume. Mweka pingamizi anaweka sahihi yake kwenye pingamizi hilo.

1598835016263.png


Kama walipewa fomu hiyo ya pingamizi ikionyesha sahihi ambazo ni forgery basi kuna mtu achukuliwe hatia za kisheria. Ni makosa kuona hakuna haki imefanyika halafu unalalamika tu kuwa ni sababu za kipuuzi bila kuchukua hatua za kisheria wakati nafasi bado ipo.

Kile kifungu cha tano hapo juu ni pale tu yule msimamizi wa uchaguzi ameona labda kuna makosa kwenye fomu. Masharti ya ubunge chini ya Katiba kifungu cha 67 ni mepesi mno ukiachilia kufungwa tu, sighani kama hmsimamizi w a uchaguzi anaweza kusema mtu hakidhi matakwa kikatiba kugombea ubunge, utakuwa ni uonevu tu.

Halafu ningependa pia ACT-Wazalendo waonyeshe kwa uwazi sababu za kuenguliwa kwani wakati mwingine unaweza kukuta kweli kuna sababu halali za kisheria, lakini sao wakasema ni sababu za kipuuzi na kutaja kuwa ni mapingamizi kumbe haikuwa sababu ya mapingamizi. Nimescan sehemu mbalimbali kuatafuta sababu za kuenguliwa kwao sijaziona. Kama kuna mtu anazijua, naomba anipe link
 
Lakini waliodhaniwa kuweka mapingamizi wamekanusha tena kwa maandishi rasmi..hili nalo limekaaje!?

kama ulivyosema ni kuwa "imedhaniwa kuwa wamewekewa mapingamizi na wagombea wenzao." Huenda hawakuwekewa mapingamizi na wagombea wenzao bali kuna sababu nyingine za kisheria ambazo hawakukidhi na hizo ndizo hatujaambiwa. Kwanza kukiwa na mapingamizi huwa wanaambiwa kuwa kuna pingamizi hili kutoka kwa mgombea fulani, hebu tlitolee melezo yako; siyo kwama unakatwa tu.
 
Lakini waliodhaniwa kuweka mapingamizi wamekanusha tena kwa maandishi rasmi..hili nalo limekaaje!?


Hii nimeipata hapo kwenye Gazeti la ZanzibarLeo online. Huyu mzee anaposema kuwa wasimamizi wametoka bara ni usalama wa Taifa na wametumwa na Magufuli wakati mwingine ni kusensitize watu kutaka machafuko ya bure tu; halafu ndiyo ile ila ya ubaguzi wa watu wa bara. Aisha Nahboub Juma na Abuubakar Hassan Chumu ni wazenji pure. Anasema kuwa kumi wamenguliwa kwa kutotimiza masharti, ila kuna mmoja tu aliyekuwa amewekewa pingamizi na ameweza kuyapangua pingamizi hilo.

Taarifa zilizoanza kuja hapa nyingi zilikuwa siyo za ukweli; Zito alianza eti wagombea wote 18 wa ACT huko Pemba wameenguliwa wakati taarifa rasmi haisemi hivyo. Ndiyo maana nimekuwa nasisitiza tupatiwe taarifa rasmi siyo kudakia maneno ya wanasiasa tu.




1598837421990.png
 
Kwa hiyo wana sababu halali ya wao kukata rufaa kwenye Tume; kwa nini wasifanye hivyo kwanza, na baada ya hapo ndipo walalamike? Sheria inasemwa kuwa mtu anaweza kuwekewa pingamizi na (1) Mgombea mwenzake, (2) Mkurugenzi wa Uchaguzi, (3) msajili wa Vyama, (4) Msimamizi wa Uchaguzi, (5) Mwanasheria mkuu. Na pingamizi linafanywa kwa maandishi kwenye formu maalum inyotolewa na tume. Mweka pingamizi anaweka sahihi yake kwenye pingamizi hilo.

View attachment 1553733

Kama walipewa fomu hiyo ya pingamizi ikionyesha sahihi ambazo ni forgery basi kuna mtu achukuliwe hatia za kisheria. Ni makosa kuona hakuna haki imefanyika halafu unalalamika tu kuwa ni sababu za kipuuzi bila kuchukua hatua za kisheria wakati nafasi bado ipo.

Kile kifungu cha tano hapo juu ni pale tu yule msimamizi wa uchaguzi ameona labda kuna makosa kwenye fomu. Masharti ya ubunge chini ya Katiba kifungu cha 67 ni mepesi mno ukiachilia kufungwa tu, sighani kama hmsimamizi w a uchaguzi anaweza kusema mtu hakidhi matakwa kikatiba kugombea ubunge, utakuwa ni uonevu tu.

Halafu ningependa pia ACT-Wazalendo waonyeshe kwa uwazi sababu za kuenguliwa kwani wakati mwingine unaweza kukuta kweli kuna sababu halali za kisheria, lakini sao wakasema ni sababu za kipuuzi na kutaja kuwa ni mapingamizi kumbe haikuwa sababu ya mapingamizi. Nimescan sehemu mbalimbali kuatafuta sababu za kuenguliwa kwao sijaziona. Kama kuna mtu anazijua, naomba anipe link


Unaijua vizuri tume tunayoijadili au basi tu unataka tuumize vidole kuandika? Huo wote ni mpango wao na walitaka iwe hivyo ndio maana wapemba hawataki kusokotwa.

Tume hii hii uchaguzi uliopita hesabu ziligoma ukijumlisha waliojiandikisha, waliopiga kura vyama vyote, kura zilizoharibika hazikuendana na bado mshindi akatangazwa.

Naelewa unajaribu kuelezea jinsi mambo yalivyotakiwa kwenda lakini sio kwa hii tume.
 
Unaijua vizuri tume tunayoijadili au basi tu unataka tuumize vidole kuandika? Huo wote ni mpango wao na walitaka iwe hivyo ndio maana wapemba hawataki kusokotwa.

Tume hii hii uchaguzi uliopita hesabu ziligoma ukijumlisha waliojiandikisha, waliopiga kura vyama vyote, kura zilizoharibika hazikuendana na bado mshindi akatangazwa.

Naelewa unajaribu kuelezea jinsi mambo yalivyotakiwa kwenda lakini sio kwa hii tume.
Mpaka sasa malalamiko hayajaweza kuthibitishwa kama kweli ni uonevu wa kusukwa na Magufuli; angalia taarifa niliyoleta kutoka gazeti la ZanzibarLeo hapo juu kama kweli nawe utasapoti malalamiko ya Zitto na Sheriff Hamad waliyoanza kutoa tangu jana. Taarifa rasmi ni hizo.; mmoja tu ndiye aliyewekea pingamizi, ankalipangua, wengine 10 hawakukidhi haja kisheria. wasimamizi wa Uchaguzi wote ni wazenj, hakuna mtu wa bara hapo.
 
Mpaka sasa malalamiko hayajaweza kuthibitishwa kama kweli ni uonevu wa kusukwa na Magufuli; angalia taarifa niliyoleta kutoka gazeti la ZanzibarLeo hapo juu kama kweli nawe utasapoti malalamiko ya Zitto na Sheriff Hamad waliyoanza kutoa tangu jana. Taarifa rasmi ni hizo.; mmoja tu ndiye aliyewekea pingamizi, ankalipangua, wengine 10 hawakukidhi haja kisheria. wasimamizi wa Uchaguzi wote ni wazenj, hakuna mtu wa bara hapo.

Kwahiyo tume unaijua vizuri na hizo habari za Zanzibar Leo ndio unazisimamia? Kwamba mapungufu ya kisheria yamejitokeza kwa wagombea upinzani tu kama ilivyokua bara?
 
Kuhusiana na mpingamizi na rufaa yake sheria inasema hivi

View attachment 1553730

(1) walioenguliwa walipewa taarifa za kusudio la kuenguliwa kwao kabla hawajaenguliwa. Baada ya kupewa taarifa hizo walipea nafasi ya kujitetea- Kuna kifungu huko nyuma kinasema hivyo sikukiweka.

(2) baada ya kuenguliwa taaruifa ilipelekwa kwenye tume: kama aliyeengulia haridhiki, anatakiwa akate rufaa kwenye tume. Ubaya ni huo wa njano kuwa uamuzi wa tume haupingwi. Sasa je wamshakata rufaa kwenye tume/ au wamaishia kupiga kelele tu bila kwenda ngazi za juu.
Kwanini iwe upinzani tuu ?
 
Mi nadhani kwakuwa dola imeamua kutotenda haki mchana kweupee basi walioonewa wadili na ndugu za watesi wao ndio suluhisho ili kuliponya taifa kuliko kumwaga damu ya maelfu wasio na hatia mnamtafuta mke/mume/mtoto wa afisa wa nec mnamalizana nae wakifanyiwa hata watatu tuu huu upumbavu utakoma punde.
 
Kwanini iwe upinzani tuu ?

Mbona Magufuli naye aliwekewa pingamizi; mgombea anawekewa pingamizi, anapewa taarifa ya maandishi kuhusu pingamizi lile, analijibu, na uamuzi kutolewa. Halafu tafuta habari vizuri utagundua kuwa Zanzibar kulikuwa na pingamizi moja tu na lilijibiwa na aliyewekewa likapangulia. Hao wengine ni kwa sababu hawakukidhi masharti ya kisheria, lakini wanakuja kudanganya kuwa eti waliwekewa mapingamizi hewa, badala ya kutaja mapungufu ya kisheria waliyosababisha waenguliwe.
 
Unaijua vizuri tume tunayoijadili au basi tu unataka tuumize vidole kuandika? Huo wote ni mpango wao na walitaka iwe hivyo ndio maana wapemba hawataki kusokotwa.

Tume hii hii uchaguzi uliopita hesabu ziligoma ukijumlisha waliojiandikisha, waliopiga kura vyama vyote, kura zilizoharibika hazikuendana na bado mshindi akatangazwa.

Naelewa unajaribu kuelezea jinsi mambo yalivyotakiwa kwenda lakini sio kwa hii tume.
Tume ina mapungufu yake, lakini mapungufu hayo siyo yanayoletwa hapa na Zitto pamoja na Hamad. Mtu kutolewa kwa madai ya kushindwa kukidhi sheria ni jambo linalotakiwa lilalamikiwe tofauti kabisa na wanavyolileta wenyewe hapa. Kwa mfano waje na sentensi kama "Msimamizi wa Uchaguzi amesema mgombea wetu si raia wakati ni raia halali" siyo kusema wamewekewa pingamizi ambavyo siyo kweli, au kusema wametolewa kwa sababu za kipuuzi bila kuzitaja.
 
Mpaka sasa malalamiko hayajaweza kuthibitishwa kama kweli ni uonevu wa kusukwa na Magufuli; angalia taarifa niliyoleta kutoka gazeti la ZanzibarLeo hapo juu kama kweli nawe utasapoti malalamiko ya Zitto na Sheriff Hamad waliyoanza kutoa tangu jana. Taarifa rasmi ni hizo.; mmoja tu ndiye aliyewekea pingamizi, ankalipangua, wengine 10 hawakukidhi haja kisheria. wasimamizi wa Uchaguzi wote ni wazenj, hakuna mtu wa bara hapo.
Hawa ni wagumu kuelewa sana .
 
Back
Top Bottom