LGE2024 Wagombea wasio na kazi wanaenguliwa! Huu ni ujinga. Wapiga kura wasio na ajira wasishiriki, huu ni werevu.

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Wewe baba yako kiwete?
Ushaambiwa wale ambao Baba au Mama zao ni Viwete, Marehemu na wapo kwenye mfuko wa mchongo wa kuitwa TASAF ndio wanaopewa mkopo, sasa wewe jitathmini km wewe huna hivyo vigezo na sio kiwete sahau kuhusu mkopo wa Bodi ya mikopo
 
Utata wa kanuni za uchaguzi wa serikali za mitaa, utata huu unatokana na kutotumia ubongo kuweka sawa kanuni huku wahusika wataka wasioridhika wakate rufaa! upotezaji muda.
Kuwa na kazi inayoeleweka ni kigezo muhimu,wapiga kura wasio na kazi watatafutiwa kazi na hao wanaoomba Uongozi.

Wacha ujinga hatutaki wahuni
 
Ushaambiwa wale ambao Baba au Mama zao ni Viwete, Marehemu na wapo kwenye mfuko wa mchongo wa kuitwa TASAF ndio wanaopewa mkopo, sasa wewe jitathmini km wewe huna hivyo vigezo na sio kiwete sahau kuhusu mkopo wa Bodi ya mikopo
Usiongee vitu huvijui wengi sana walipata mkopo na hawana hizo sifa ulizozitaja
 
Kuwa na kazi inayoeleweka ni kigezo muhimu,wapiga kura wasio na kazi watatafutiwa kazi na hao wanaoomba Uongozi.

Wacha ujinga hatutaki wahuni
Kwahiyo mama na babu yako wasio na kazi ni wahuni! Baba yako umri qake si wakujiajiri wala kuajiriwa japo anahekima za kushika uongozi kwenye serikali ya mtaa ni muhuni! Na huko vijijini ambako wanawake na wsnaume wengi hawana ajira ni wahuni! Mimi nadhani wewe mwenyedharau ya kujiona umefanikiwa kimaisha ni muhuni, sasa na mimi mpigakura nisiye na ajira ni muhuni ila kura yangu si ya kihuni!
Mwisho niseme tu kuwa huyo muhuni aliyekifundisha kuwa utakaowachagua wayakitafutia kazi wakati yeye naye hana kazi, wote mlaaniwe.
 
Chadema hawakulijua hili au ujinga wao tu

USSR
Chadema walishapewa jina la nyumbu kwa sababu ya matendo yao halafu eti wanajifanya wajuaji wakati uelewa wao ni zero kabisa.
 
Lazima utaje unajasilia nn
 
Tusio na ajira hatuna sababu ya kupiga kura, huu uchaguzi ni kwa ajili ya wenye ajira tu, katiba ya nchi inasema, aliyetimiza umri wa miaka 18 anayohaki ya kichagua na kuchaguliwa, hakuna sehemu inayosema sharti awe ameajiriwa au amejiajiri. Tusio na ajira tuwapishe wenye ajira wachaguane.
 
Lazima utaje unajasilia nn
Ukiwa na haki ya kupiga kura kwa kutimiza sharti la kikatiba la umri basi unayo haki ya kuchaguliwa, vinginevyo uchaguzi unaokwenda kinyume na katiba ya nchi ni batili.
 
Kama hauna ajira maalumu hauwezi kugombea.
Hata siasa si ajira maalum, mbona wao wanagombea, wanapigiwa kura na wanatunga hizo kanuni? maana yake ni kwamba na wao waenguliwe maana siasa si ajira au kazi rasmi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…