Uchaguzi 2020 Wagombea wengine mkienda kuhojiwa na Media msifanye kosa kama la Tundu Lissu, hakwenda na sera na hakuomba kura

Kipindi sio cha leo(live).kipindi kimehaririwa!
 
Waliomsikiliza walimuelewa. Mada waliielewa. Kukosoa ni haki yako na haipunguzi kitu hapo

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Wanasiasa mediocre Kama magufuli ndo wanatembea na mavitabu, lissu ni bright, vitu viko kichwani ,
Magufuli alishindwa kwenda university straight fresh from school ilibidi apitie"mature entry"
 
Naskia yule wa Kijani Kibichi Alipigiwa Simu ahudhurie hicho kipindi, amewatolea Nje
 
Vijana Wa Lumumba ni mizigo ya misumari! Haibebeki bila kata kichwani. Akili hizi haziwezi kujua lipi linafaa na lipi halifai. Yupi anafaa na yupi hafai! Wapo kimazoea. Ndio maana dereva wao anawaamrisha wamchagulie wasaidizi wake hata kama si bora, ili mradi watokee tu"Ukijanini" ili wapitishe sheria za kipuuzi zinazowaumiza hao aliowabatiza jina la unyonge!
 
Ha ha ha haaaaaa;; hayooo kumbe jana yamemfuatilia pumbavuuu!! Dada una kichwa cha panzi, unafikri Lissu ni debe tupu kama lile guduria lenu? Jana kamwaga madini kama yalivyo kwenye ilani ya uchaguzi!!
 
Milioni 29 waliojiandikisha kupiga kura ni CCM?
Nusu ya Watanzania ni CCM?
 
hataki kura labda
 
kweli kabisa, yaani tatizo la Lissu haongei sera zake yeye kazi yake ni kulalamika tu
Hivi nyie mna vichwa gaaani? Hivi mtu unaposema atabadili mfumo wa elimu iwe elimu ya kumwongezea mtu maarifa, hiyo siyo sera hapo analalamika? Kazi kweli kweli! Ukweli CCM mmekamatika!
 
andaa mdahalo umwalike na mgombea wenu wa CCM tuwapime sisi wananchi
 
Mahojiano yalifanyika kipindi anatafuta wazamini sio kipindi hiki cha kampeni
 
Hivi nyie mna vichwa gaaani? Hivi mtu unaposema atabadili mfumo wa elimu iwe elimu ya kumwongezea mtu maarifa, hiyo siyo sera hapo analalamika? Kazi kweli kweli! Ukweli CCM mmekamatika!
Hebu aeleze huo mfumo anaubadilishaje?
alfu elimu inatolewa na wataalamu wa elimu yeye anajuaje elimu inayofaa na ambayo haifai? au ataleta wataalamu wengine wa elimu wa sasa hawafai?
 
Hebu aeleze huo mfumo anaubadilishaje?
alfu elimu inatolewa na wataalamu wa elimu yeye anajuaje elimu inayofaa na ambayo haifai? au ataleta wataalamu wengine wa elimu wa sasa hawafai?
Hiyo ni sera siyo sera?
 
Wewe ulimsikiliza Lissu kweli?
Kama ulimsikiliza basi unamatatizo ya ufahamu, na hii ndio shida ya wana CCM wengi sasa, kama sio wote. Poleni
Mkuu,nimetoka kuyaangalia hayo mahojiano muda mfupi uliopita,nimeona jinsi mtangazaji Farhia akitikisa kichwa na tabasamu tele kuonyesha kukubaliana na kile anachokisema Mh. Lissu.
Binafsi naamini kile kipindi kimeonyesha dhahiri shahiri jinsi gani Tanzania ilivyo na ombwe la kiongozi mkuu.
Lissu kaonyesha uwezo wake mkubwa wa uongozi kwa kuweza kuyaelezea kwa ufanisi matatizo ya msingi ya nchi yetu na jinsi ya kuyatatua kimaarifa na kiufanisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…