Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

Wagonjwa wa Corona wadaiwa kuvunja geti hospitali ya Amana na kutoroka. Mwananyamala waleta vurugu wakitaka waruhusiwe

Hizi ni propaganda nyingine tu zisizo na tija kwa jamii, Haiingilii akilini habari kama hii ikose hata uthibitisho wa Picha ya geti lililovunjwa...

Habari kama hizi ni za kupuuza, maana zimejaa chuki na kutia hofu watanzania..

Sent using Jamii Forums mobile app
IMG-20200423-WA0018.jpg
 
Hizi ni propaganda nyingine tu zisizo na tija kwa jamii, Haiingilii akilini habari kama hii ikose hata uthibitisho wa Picha ya geti lililovunjwa...

Habari kama hizi ni za kupuuza, maana zimejaa chuki na kutia hofu watanzania..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui....hutuba ya jana ya PJM imewatibua sana wabaya wa Taifa! .....sijui.....kama wagonjwa wamekimbia hospitali, mbona hata hakuna picha ya udhibitisho, bali tunaona picha za majengo tu!!
 
Hizi ni propaganda nyingine tu zisizo na tija kwa jamii, Haiingilii akilini habari kama hii ikose hata uthibitisho wa Picha ya geti lililovunjwa...

Habari kama hizi ni za kupuuza, maana zimejaa chuki na kutia hofu watanzania..

Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui....hutuba ya jana ya PJM imewatibua sana wabaya wa Taifa! .....sijui.....wagonjwa wamekimbia hospitali hata hakuna picha ya udhibitisho, bali tunaona picha za majengo tu!!
 
Na jamaa yangu yupo karibu na Amana anasema wagonjwa hakuna kilichokua kinaendelea walio kua taaban hakuna oxygen manesi wanawapea dawa dirishani wengine wanaombwa pesa wakanunuliwe dawa wameona bora wakajitibu nyumbani hakuna kinachoendelea hospital

Wamefika getini walinzi wakataka kuwazui wakawaambia tunawaambukiza walinzi wakakimbia na wao wakatoka

Ukweli ni aibu kwa serekali mi najiuliza inamana hawa wahudumu wa afya wakati wenzetu wanahangaika huku hawakuwekwa semina namana ya kuwahudumia hawa wagonjwa

Mpaka inafikia hatua ya wagonjwa kutoroka walikua wananyanyapaliwa wanaogopwa na wahudumu ukweli sielewi kama serekali walijipanga

Najiuliza Wazir mwenye zamana anatosha kweli kwa haya yanayotokea
Ninacho fikir ni kwamba inawezekana hata wahudum wa afya wakawa hawana vitendea kazi inatisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
dah. hii ni hatari..
 
Kuna kitu kinaendelea sio bure, ila najua kila jambo linalofanywa kwa siri kuna siku litawekwa hadharani
 
Hiyo ni kweli na wanalalamika wagonjwa wanajifia tu hakuna huduma aisee


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Safi sana. Wanarudi nyumbani kujivukiza kwa maelekezo ya bichwa baya
 
kwani watu wakifa wewe unadhurika nini?
ACHA WAFE .
WEWE JILINDE..
Mbona unaumia na vitu ambavyo viko natural.
yaani lazma watu lwazaliwe na lazma watu WAFE.
Kwa wehu wa hii nchi, na hapo bado. Maiti zitapanga msululu barabarani maana hata wanajeshi anaojivunia watapukutika na kuogopa kuziokota. UNLESS TUNABADILISHA HUU UHUNI WA KU HANDLE HII CATASTROPHE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi vyeo vya DC na RC vimekuwa takataka kabisa sasa hivi.

Hana taarifa maana yake? Hajatafuta, hajapewa au hataki kujua? DC ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa wilaya, anakosaje taarifa? Mbona CHADEMA wakitaka kuandamana, wanapata taarifa za "intelejensia", wameshindwa kujua kama wagonjwa wametoroka?
 
Back
Top Bottom