Wahadhiri waliostaafu na kuajiriwa kwa mikataba ni kero vyuoni

Wahadhiri waliostaafu na kuajiriwa kwa mikataba ni kero vyuoni

Vina uhusiano gani na vibabu kuongezewa muda kwani vijana hamna? Mbona serikalini madaktari wanastaafu na kuondoka, iweje mwalimu wa history isistaafu na kuondoka chuoni
Soma wewe acha ujinga, humo darasani uko peke yako? Hao retired wako vizuri hata Mimi nilifunishwa na mmoja retired alikuwa anamwaga madini kwelikweli.
 
Kuna kimoja pale chuo cha usafirishaji kiliwekewa mtego na takikuru kikanaswa kikipapasa kalio
 
Kwani wote wenye PhD Ni ma lecturer? Wengine Wana PhD Ni wachungaji masheikh wakurugenzi nk. Siyo Kila PhD ana gualify kuwa lecturer.
Kwahiyo wakistaafu waendelee tu, wamekuwa makadinali
 
Kuna vibabu vilishastaafu vikavuta mafao vikala vikamaliza bado vikarudi kupiga lecture jamani ni kero, sio kutisha watu huko vinatumia mifumo ya zamani. Kuna vingine haviingii darasani hadi TA akibebee vitabu, vingine vinajigamba eti katika somo lake hawajawahi kugraduate watano, wakijitahidi sana watatu. Kama sio kuvunjana moyo ni nini?

Ukweli, hivi vibabu ndio vikwazo vya uimara wa elimu yetu, basi vikikutana na wanafunzi wa masters ni shida kina hakikisha akigraduate hana hamu yakuendelea kukaa chuoni. Uwekwe utaratibu mtu akistaafu akalime sio kubaki chuoni kurandaranda.

Aliye kwambia kwamba kusoma Chuo kikuu ni lelemama ni nani? Wewe unataka upewe shahada on a silver platter bila ya kuenya - kama akili zako zinakutuma hivyo basi suruba ya Chuo Kikuu haikufahi tafuta shughuri nyingine mbadala - uvivu wako unakufanya uanze kuwasema vibaya walimu wako eti ni vibabu, akili gani hizi?

Reading between the lines unaonekana wazi wazi unakuwa driven na rabid hatred ya lika hili, may I know why?

Comments zenyewe ni too childish - labda nikuhoji swali dogo - wewe unatakaje? Watimuliwe wote ili wewe upate ajira au? Any idea how long it takes for a lecturer 2 become a Professor, sasa kama Vyuo Vikuu wanaona kuna ombwe kubwa la Walimu wenye uzoefu - wewe unataka Vyuo Vikuu vifanye nini? Labda tuanzie hapo.
 
Usomi wako nautilia shaka hata kama una machapisho. Iweje umuamini huyo dogo kirahisi ati watu wanafelishwa. Usitutishe na vyuo vya nje kwani hata sisi tumesoma huko bwana ebo!
Umejuaje ni dogo na kwanini niunge au kupinga mtu kwa sababu ya umri? Tuangalie ukweli. Je vijana hawafelishwi? Namkumbuka mmoja aitwaye Josephat Kanywanyi alitaka kunifelisha kwenye mtihani wa evidence simply because alisikia wanafunzi wenzangu wakiniita professor wakati nilikuwa mwanafunzi.
 
Kuna vibabu vilishastaafu vikavuta mafao vikala vikamaliza bado vikarudi kupiga lecture jamani ni kero, sio kutisha watu huko vinatumia mifumo ya zamani. Kuna vingine haviingii darasani hadi TA akibebee vitabu, vingine vinajigamba eti katika somo lake hawajawahi kugraduate watano, wakijitahidi sana watatu. Kama sio kuvunjana moyo ni nini?

Ukweli, hivi vibabu ndio vikwazo vya uimara wa elimu yetu, basi vikikutana na wanafunzi wa masters ni shida kina hakikisha akigraduate hana hamu yakuendelea kukaa chuoni. Uwekwe utaratibu mtu akistaafu akalime sio kubaki chuoni kurandaranda.
Kazi kubwa za wahadhiri wa vyuo vya juu ambavyo vinatoa stashahada na shahada ni kufanya 'lecture, research & consultation". Mimi nafikiri wahadhiri waliokwisha kustaafu uzoefu na umahiri wao ungetumika katika eneo la utafiti na ushauri zaidi ya kuendesha mafunzo ya kitaaluma.

Ni ukweli usiopingika kuwa matakwa ya elimu ya kisiasa yaani "the state of art" hubadilika kila siku iitwayo leo kutokana na mabadiliko ya "lifestyles". Na hii wala si kwa wahadhiri tu, bali hata katika maeneo mengine yenye "interaction" ya watu wenye umri tofauti.

Huwa siku zote kuna mitazamo tofauti kubwa kati ya vijana na wazee na hata uthubutu wa kufanya maamuzi. Wakati wazee huwa ni wagumu kukubaliana na mabadiliko kwa sababu za kuhofia hasara, kwa upande wa vijana huwa tayari kufanya na kupokea mabadiliko yoyote kwa msukumo wa kutafuta fursa zaidi.

Kwa hiyo basi kazi ya kutoa mafunzo kwa njia ya kuendesha mijadala ya kitaaluma inapaswa kufanywa na watu ambao wapo tayari kupokea mabadiliko yenye kuchochea fursa mpya. Katika hali ya kawaida huwezi kutegemea mzee wa miaka 60 na zaidi akaendana na matakwa ya wakati.
 
Kuna vibabu vilishastaafu vikavuta mafao vikala vikamaliza bado vikarudi kupiga lecture jamani ni kero, sio kutisha watu huko vinatumia mifumo ya zamani. Kuna vingine haviingii darasani hadi TA akibebee vitabu, vingine vinajigamba eti katika somo lake hawajawahi kugraduate watano, wakijitahidi sana watatu. Kama sio kuvunjana moyo ni nini?

Ukweli, hivi vibabu ndio vikwazo vya uimara wa elimu yetu, basi vikikutana na wanafunzi wa masters ni shida kina hakikisha akigraduate hana hamu yakuendelea kukaa chuoni. Uwekwe utaratibu mtu akistaafu akalime sio kubaki chuoni kurandaranda.
Ha ha hakika nimecheka sana

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Aliye kwambia kwamba kusoma Chuo kikuu ni lelemama ni nani? Wewe unataka upewe shahada on a silver platter bila ya kuenya - kama akili zako zinakutuma hivyo basi suruba ya Chuo Kikuu haikufahi tafuta shughuri nyingine mbadala - uvivu wako unakufanya uanze kuwasema vibaya walimu wako eti ni vibabu, akili gani hizi?

Reading between the lines unaonekana wazi wazi unakuwa driven na rabid hatred ya lika hili, may I know why?

Comments zenyewe ni too childish - labda nikuhoji swali dogo - wewe unatakaje? Watimuliwe wote ili wewe upate ajira au? Any idea how long it takes for a lecturer 2 become a Professor, sasa kama Vyuo Vikuu wanaona kuna ombwe kubwa la Walimu wenye uzoefu - wewe unataka Vyuo Vikuu vifanye nini? Labda tuanzie hapo.
Havard wao wanafanyaje? Kwanini tusiende kujifunza huko, mbona wao hawana vibabu
 
Niko ndani ya taasisi hizi mleta mada ana hoja hata kama kaongeza chumvi.
Hawa wastaafu hawafai kurudi kufundisha wanafaa kuwa washauri zaidi.
Kwanza wengi sio wote hawamalizi courses unakuta topic 2 au 3 hazijafundishwa.
Pili hawasahihishi in detail. Siku hizi kuna appeals mkiremark unakuta mara
Nyingine swali zima hakusahihisha May be hakuliona.
Tatu kutumia systems hawajui mfano ARIS utakuta anachelewesha matokeo hata wiki au zaidi mpaka asaidiwe.
Tatizo wanadamu hatukubali tuna mwisho wetu na tuwaachie wengine. Mfumo wa kukaa Na wastaafu ni kujilemaza kama Taifa na kunyima damu mpya kuchangia maendeleo.
 
Back
Top Bottom