Wahadhiri waliostaafu na kuajiriwa kwa mikataba ni kero vyuoni

Wahadhiri waliostaafu na kuajiriwa kwa mikataba ni kero vyuoni

Hii naungana nawe. Japo si wote,wengi ni wajinga tena wenye roho mbaya. Nakumbuka wenzetu Makerere huwaita PhD or Pull Him/Her Down profs. Hata hivyo, msikonde, vitakufa kimoja hadi kingine. Hivi ndivyo vinakwamisha vijana wetu. Utajifisiaje kufelisha wakati Ulaya au Marekani ikitokea hivyo unachunguzwa na kupewa onyo. Nadhani vyuo vyetu vijenge utaratibu wa kutathminiana ambapo wanafunzi, anonymously wanamuevaluate prof na prof anawaevaluate.
Usifananishe mfumo wa elimu wa ulaya na marekani, huko mfumo wao ni wa elimu bora wakati sisi mfumo wetu ni wa bora elimu. Waliosoma kabla na mpaka miaka michache baada ya uhuru waliuonja mfumo wa elimu ya ulaya ambapo mwanafunzi aliyemaliza darasa la nne alikuwa na uwezo wa kuajiriwa! Hii ilitokana na elimu kuzingatia sana mwanafunzi kujua kusoma, kuandika na kuhesabu, bila kujua kimojawapo utarudia darasa, wao wamewekeza sana elimu ya msingi wakati sisi tunawekeza elimu ya sekondari! Ni vigumu mtu mzima kuelewa masomo kuliko mtoto. Kutokana na hali hiyo ya mfumo wa elimu bora mwanafunzi anamaliza kidato cha sita anauwezo mkubwa sana kielimu hivyo anaingia chuo akiwa na uwezo wa kujitawala binafsi kielimu ndiyo maana wenzetu wakotayari kuishi popote duniani ili afanye utafiti hata kusiko na umeme wakati sisi ikifika saa kumi jioni tunaanza kustarehe! Pia hayupo anayeweza kwenda kijijini peke yake kwa ajili ya kufanya utafiti. Nakushauri mleta mada na wenzako wa aina yako kwanza mjue huko ulaya kuna wahadhiri wazee zaidi ya hao mnaowatukana na wanaheshimika sana kuliko nyie vikaragosi vinanyokesha kwenye mitandao vikichati na mademu. Wewe ulidisko sasa unatapatapa kujihami, it is too late, tafuta bodaboda ili maisha yaendelee.
 
Havard wao wanafanyaje? Kwanini tusiende kujifunza huko, mbona wao hawana vibabu
Ungekuwa uliwahi kusoma vyuo vikuu vya nchi za nje,akangalia kwa macho yako nini kinaendelea kwenye Vyuo Vikuu vya Mataifa ya Magharibi na Mashariki wala husinge yasema yote haya.
 
Ungekuwa uliwahi kusoma vyuo vikuu vya nchi za nje,akangalia kwa macho yako nini kinaendelea kwenye Vyuo Vikuu vya Mataifa ya Magharibi na Mashariki wala husinge yasema yote haya.
Mbona mwandiko wako haufanani na mtu wa chuo kikuu! Rejea ulivyoandika utaona makosa yako ya kiuandishi, utaweza kufundisha kiswahili Afrika Kusini wewe!
 
Kuna vibabu vilishastaafu vikavuta mafao vikala vikamaliza bado vikarudi kupiga lecture jamani ni kero, sio kutisha watu huko vinatumia mifumo ya zamani. Kuna vingine haviingii darasani hadi TA akibebee vitabu, vingine vinajigamba eti katika somo lake hawajawahi kugraduate watano, wakijitahidi sana watatu. Kama sio kuvunjana moyo ni nini?

Ukweli, hivi vibabu ndio vikwazo vya uimara wa elimu yetu, basi vikikutana na wanafunzi wa masters ni shida kina hakikisha akigraduate hana hamu yakuendelea kukaa chuoni. Uwekwe utaratibu mtu akistaafu akalime sio kubaki chuoni kurandaranda.
Utadhani hatuna wasomi
 
Mbona mwandiko wako haufanani na mtu wa chuo kikuu! Rejea ulivyoandika utaona makosa yako ya kiuandishi, utaweza kufundisha kiswahili Afrika Kusini wewe!
Look, we're not writing white paper here - are we? Pick picking small errors and trying to build mountains out of mole hills - speaks volume about your persona!! Nani amekwambia 'am dying kwenda kufundisha lugha ya kiswahili Afrika Kusini - I hope this serves you right - Good day Amigo.
 
Kwahiyo vijana wakajiajiri na PhD zao?
Hivi hawa wenye level ya PhD kama ma lecturer wanalipwa sh ngapi? Huwa naona kama wanaminywa sana. Mwanasiasa bungeni anapokea hela ya maana kuliko.wasomi wetu vyuoni? Take home wanafikisha hata mil 3 hawa kweli?
 
Vyuo vikuu vyetu,viwe na utaratibu wa kuandaa wataalaam /vijana watakaochukua Majukumu ya maprofesa wanao tarajiwa kustasfu (Succession plan).
Maprofesa wameongezewa umri wa kustaafu.kutoka miaka 60 mpaka 65 lakini bado,wanashindwa kuwatayarisha vijana wa kuwakabidhi Majukumu yao muda wa kustaafu unapofika,wanajiumiza na kazi au la wanatumia notes za kizamani,zilizopitwa na wakati kufundishia
He bado wapo....Kuna mmoja enzi zetu,late 1990s alikuwa anatumia notes za Mwaka 1977...
Sio utani niliziona mwenyewe live.
Prof.Ka....Mu....🤭🤭🤭
 
Hao wazee wengine walikuwa wanawabania vijana ufaulu kwenye masomo yao ili wasipatikane watu wa kubaki kama tutorial assistants ambao wangeendelea hadi kuwa maprofesa, hivyo kupunguza ombwe la upungufu wao. Ni ubinafsi waliouendekeza kwa kujifanya wajuaji kuliko kila mtu na sasa wanaongezewa umri wa kustaafu hadi miaka 65. Hivi inakuwaje nchi za wenzetu hizi nafasi za wahadhiri zinatolewa kwa mkataba, kiasi kwamba hata kama ni professa mkataba wako ukiisha unaweza usipate mkataba mpya baada ya kutathmini output yako........huku kwetu ukishakuwa na title ya professa unataka kila mtu akuone mungu mtu...
 
Alafu ndio wakwanza kusema vijana wajiajiri [emoji23][emoji23][emoji23] sijui hayo mamlaka yakusema hivyo huwa wanapewa na nani
 
Kuna vibabu vilishastaafu vikavuta mafao vikala vikamaliza bado vikarudi kupiga lecture jamani ni kero, sio kutisha watu huko vinatumia mifumo ya zamani. Kuna vingine haviingii darasani hadi TA akibebee vitabu, vingine vinajigamba eti katika somo lake hawajawahi kugraduate watano, wakijitahidi sana watatu. Kama sio kuvunjana moyo ni nini?

Ukweli, hivi vibabu ndio vikwazo vya uimara wa elimu yetu, basi vikikutana na wanafunzi wa masters ni shida kina hakikisha akigraduate hana hamu yakuendelea kukaa chuoni. Uwekwe utaratibu mtu akistaafu akalime sio kubaki chuoni kurandaranda.
Ndugu yangu Lecturer(s) wa namna hii hawafai katika karne hii. Successful Customer Outcome ya kila mwanafunzi wa University au college yoyote ni mwisho wa masomo kufuzu na kupata certificate yake. Kwa nchi za wenzetu ni SCO ya kila Lecturer kuhakikisha anamuwezesha mwanafunzi wake anapata certificate yake mwisho wa masomo. Lakini cha kusikitisha wakufunzi wengi wa nchi kama zetu ni kuwatisha wanafunzi wao kwa kuwafelisha! Pathetic
 
Kuna vibabu vilishastaafu vikavuta mafao vikala vikamaliza bado vikarudi kupiga lecture jamani ni kero, sio kutisha watu huko vinatumia mifumo ya zamani. Kuna vingine haviingii darasani hadi TA akibebee vitabu, vingine vinajigamba eti katika somo lake hawajawahi kugraduate watano, wakijitahidi sana watatu. Kama sio kuvunjana moyo ni nini?

Ukweli, hivi vibabu ndio vikwazo vya uimara wa elimu yetu, basi vikikutana na wanafunzi wa masters ni shida kina hakikisha akigraduate hana hamu yakuendelea kukaa chuoni. Uwekwe utaratibu mtu akistaafu akalime sio kubaki chuoni kurandaranda.
UTASHINDWA CHUO- ACHA UBAGUZI
 
Kuna vibabu vilishastaafu vikavuta mafao vikala vikamaliza bado vikarudi kupiga lecture jamani ni kero, sio kutisha watu huko vinatumia mifumo ya zamani. Kuna vingine haviingii darasani hadi TA akibebee vitabu, vingine vinajigamba eti katika somo lake hawajawahi kugraduate watano, wakijitahidi sana watatu. Kama sio kuvunjana moyo ni nini?

Ukweli, hivi vibabu ndio vikwazo vya uimara wa elimu yetu, basi vikikutana na wanafunzi wa masters ni shida kina hakikisha akigraduate hana hamu yakuendelea kukaa chuoni. Uwekwe utaratibu mtu akistaafu akalime sio kubaki chuoni kurandaranda.
Uzi Tayari,Unajua shida ni mfumo wetu wa elimu.
 
Vyuo vikuu vyetu,viwe na utaratibu wa kuandaa wataalaam /vijana watakaochukua Majukumu ya maprofesa wanao tarajiwa kustasfu (Succession plan).
Maprofesa wameongezewa umri wa kustaafu.kutoka miaka 60 mpaka 65 lakini bado,wanashindwa kuwatayarisha vijana wa kuwakabidhi Majukumu yao muda wa kustaafu unapofika,wanajiumiza na kazi au la wanatumia notes za kizamani,zilizopitwa na wakati kufundishia
Alizokwishakariri zinamuwia vyepesi. Alikuwepo mmoja hapo CoET idara ya civil kwa Mambo ya udongo. Mitihani yake ni kukopi na kupesti ni Prof kyll
 
Njaa mbaya sana.fikiria amefanya kazi tangu ujana wake lakini bado hajajipanga.ahhhhhhhk!!!!!!!
wewe dhania kujipanga ni kuiba na kudai rushwa kwa nguvu- utaishia jela.
 
Wewe ni kilaza. Kwenye uhaba huu wa wahadhiri unadiriki kusema hayo.
Tumepoteza watu wengi sana kwa UVIKO. Rasilimali watu ni muhimu sana. Wale wanapaswa kufanya kazi maisha yao yote. Ndio maana kwa wamarekani they never retire
 
Back
Top Bottom