Wahalifu wengi wakubwa duniani hujificha kwenye kivuli cha dini na siasa

Wahalifu wengi wakubwa duniani hujificha kwenye kivuli cha dini na siasa

Bujibuji Simba Nyamaume

JF-Expert Member
Joined
Feb 4, 2009
Posts
76,107
Reaction score
160,001
Halafu wengi wakubwa hujificha kwenye kivuli cha eidha dini ama siasa, na wahalifu wengine konki hujificha kotekote.

Hufanya hivyo hivyo ili kuuhadaa umma usihangaike na kuuchunguza upande wao wa pili wa shilingi.

Pia kwa kufanya hivyo huwapa ukaribu wa kukutana na viongozi mbalimbali wa kitaifa, polisi nk na kufanya nao urafiki.

Kuna tukio moja limetokea Dar es Salaam, mwanasiasa wa chama tawala, ambaye pia ni kiongozi wa dini amefiwa na muumini wake inayesemekana alijinyonga.

Mchungaji huyu ana utajiri mkubwa sana kuliko investments zake.

Polisi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimchunguze kwa kina, vitagundua mengi yaliyofichika nyuma ya pazia.
 
Yule bwana katokea kwenye ufukara mkubwa, kafanya shughuli zake akapata umaarufu mkubwa na fedha ndio kajiingiza siasani na kwenye dini.

Yaani from no where niibuke niwe maarufu na nipate fedha nyingi kwa shughuli zangu ndio nichunguzwe? Si ningechunguzwa tangu sina kitu? Huu ni wivu
 
yule bwana katokea kwenye ufukara mkubwa, kafanya shughuli zake akapata umaarufu mkubwa na fedha ndio kajiingiza siasani na kwenye dini.

Yaani from no where niibuke niwe maarufu na nipate fedha nyingi kwa shughuli zangu ndio nichunguzwe? Si ningechunguzwa tangu sina kitu? Huu ni wivu
Unaelewa ulichokiandika
 
Halafu wengi wakubwa hujificha kwenye kivuli cha eidha dini ama siasa, na wahalifu wengine konki hujificha kotekote...
Kuna uhalifu unapangwa vizuri kama ziraeli kafanya yake, yapo mambo ya uhalifu yamenyooka mpaka FBI, CIA nk wanaambulia vumbi tu.

Tukio la kaka mchungaji nalo limekaa vizuri sana kwake kubaki salama japo kwa aibu ya kupigiwa kipepeo chake cha kisukuma.
 
Kwanini watu wajisadili kuhusu yeye kuchapiwa mke,sababu ya jamaa kujinyonga

Ova
 
Dogo alishatonywa kwamba, kwa utajiri huu, utastukiwa Sasa fungua kanisa kwasababu mapato ya kanisa hayawi audited na MTU yoyote.

Hii itakupa justification ya kua na hizi pesa chafu hata Kama Biblia hujawahi kuisoma Wala hata Kama huijui.

Lima mtama Sana kwani TRA hawakagui mapato ya wakulima hivyo mapato yako hayawezi kujulikana.
Pia upasta utakusaidia kutokaguliwa 100% pale eapoti.

Walisahau kumwambia atafute mchumba mwenye maadili.
 
Bujibujinyanaume mbna unamshambulia sna huyu kijan mwezetu mkandamizaji huu Ni Uzi wa tano kma sikoze ukiandika kuhusu hili tukio

Umecommet Mara 100 Bado haitoshi unampandishia Uzi wenye kutaka apelekwe jela

Mkuu nyanaume kesi za mauaji Ni Siri nzito Sana

Mm Sina shida na utajiri wa masanja mnk kweli anatafuta pesa zake kwa halali kbsa Ana madili kibao na mishe kibao hvyo pesa kwako mm Wala Sina shida

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yule bwana katokea kwenye ufukara mkubwa, kafanya shughuli zake akapata umaarufu mkubwa na fedha ndio kajiingiza siasani na kwenye dini.

Yaani from no where niibuke niwe maarufu na nipate fedha nyingi kwa shughuli zangu ndio nichunguzwe? Si ningechunguzwa tangu sina kitu? Huu ni wivu
Hujamuelewa mtoa mada. Huyu jamaa mwenye kanisa kuna kipindi alikuwa ni panda wa mama mmoja ambaye ni marehemu kwa sasa. Alikuwa anambebea sembe kupeleka sehemu mbalimbali duniani, ndiko jamaa alipopatia hela huko. Huyo mama mtoto wake ni diwani na siku sio nyingi alifichwa kwa Ashura Tabata
 
Dogo alishatonywa kwamba, kwa utajiri huu, utastukiwa Sasa fungua kanisa kwasababu mapato ya kanisa hayawi audited na MTU yoyote. Hii itakupa justification ya kua na hizi pesa chafu hata Kama Biblia hujawahi kuisoma Wala hata Kama huijui.
Lima mtama Sana kwani TRA hawakagui mapato ya wakulima hivyo mapato yako hayawezi kujulikana.
Pia upasta utakusaidia kutokaguliwa 100% pale eapoti.
Walisahau kumwambia atafute mchumba mwenye maadili.
Yule bwana katokea kwenye ufukara mkubwa, kafanya shughuli zake akapata umaarufu mkubwa na fedha ndio kajiingiza siasani na kwenye dini.

Yaani from no where niibuke niwe maarufu na nipate fedha nyingi kwa shughuli zangu ndio nichunguzwe? Si ningechunguzwa tangu sina kitu? Huu ni wivu
LOTH HEMA wewe ni mgeni Dar, kaa kwa kutulia
 
Bujibujinyanaume mbna unamshambulia sna huyu kijan mwezetu mkandamizaji huu Ni Uzi wa tano kma sikoze ukiandika kuhusu hili tukio

Umecommet Mara 100 Bado haitoshi unampandishia Uzi wenye kutaka apelekwe jela

Mkuu nyanaume kesi za mauaji Ni Siri nzito Sana

Mm Sina shida na utajiri wa masanja mnk kweli anatafuta pesa zake kwa halali kbsa Ana madili kibao na mishe kibao hvyo pesa kwako mm Wala Sina shida

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Una uhakika?
 
Nadhani mmemsikia jumanne muliro ametoa ufafanuz kuhusu katibu wa kina so kausha tu

Kumbe mke wa masanja maskin wa mungu alimchukuwa mam mtu zima Kisha kwa katibu kwenda mkukanya katibu juu za tabia zake mbay za kutongoza wake za watu ndio akaamua kujiua baada ya kukataliwa penzi

Tuache chuki jmn masanja hausiki na mauaji ya kijana yule amejijonga mwenyewe

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Yah, siunaona muhammad alivyoua maelfu ya watu wasio na hatia kwa kigezo cha ukafiri...ila leo anaimbwa kama mtu bora kuwahi kutokea duniani.
 
Back
Top Bottom