Wahalifu wengi wakubwa duniani hujificha kwenye kivuli cha dini na siasa

Wahalifu wengi wakubwa duniani hujificha kwenye kivuli cha dini na siasa

Acha upuuz na wivu masanja hajiuzishi na ishu hzi za kipuuzi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Mimi pia sishabikii jamaa yamkute mabaya ingawa naomba nikuulize mkuu, unapata wapi guts za kumtetea namna hii mtu usiyemjua wala kumfahamu undani wake.? simaanishi kwamba jamaa amenyooka au ana mitikas zake sizo hapana ila kwakwel mi siwezi kumsimamia namna hii mtu nisiyemfaham kwa 100%

nitolee mfano tu.
Binafsi mimi ni mtu straight sana kimaadili na hata kimwonekano wa nje.Very decent.Mke wangu anani trust na hata kwenye nyumba ya ibada wananiamini sana kiasi kwamba hata nimeanywa kuwa kiongozi katika nyumba ya ibada. Na kwa neema za Mungu tu hata pale ninapopewa jukumu la kusimamia huduma za kiroho matokeo huwa mazuri sana kwa wanafanyiwa huduma hizo (hapa niseme ni huruma za Mungu tu kwa watu wake huwa zinafanya kazi wala si kwakua nina vigezo hivyo).


LAKINI SASA..

Kimaadili yaani mimi ni Mungu tu ananijua brother. Nishagonga sana njee. sanaaa tu na ni kwa kulinda identity yangu huwa nachukua precautions za hali ya juu sana nisije nika compromise my cover. Yani mbususu huko nje nazitafuna haswaaaa ila tu kuna nina rules zangu to maintain my covet operations zisijulikane (siwezi kuzitaja) ila huu ni mwaka wa 10 am living this double faced life.

Kuna time time huwa nakaa chini namweleza Mungu anisaidie kutoka niache haya mambo maana najua yeye Mungu hakuna naloweza kumficha . Nitamficha wife na watu wengine but mimi siko kama wengine wanavyonijua niko.

KWAHIYO BASI,
binafsi huwa one of my theories ni kwamba, YOU SHOULD NOT TRUST ANYBODY just by considering how much you think you know them.It is not enough. Na huwa nafikiri kwamba pengine mimi nina afadhali usikute hawa jamaa around me ni level zingine.

Kikubwa huwa naamini kwamba maisha ya mtu anayajua mwenyewe. Huwa naamini kabisaa kwamba I DO NOT KNOW ENOUGH about people around me..My friends, my wife, my blood relattives, my parents..everybody.

yale unayoyajua kumuhusu mtu ni vile ameamua kujifunua hivyo ili umjue .there is probably another side (good or bad) bado hujamfaham.

MWISHO
nakumbuka 2005 nikiwa Kidato cha Pili, kuna soo liliwahi tokea shule likinihusisha mimi na rafik zangu.Kesi hii ilipofika nyumbani mzee wangu katika maongez mengi na mareefu akaniuliza jambo moja, Je una waamini kwa asilimia ngapi rafiki zako?

Nikamjibua, asililia 50 (lengo likiwa ni kwamba siwaamini sana), baba akacheka sana akanambia, hzo 50% hata mimi baba yako hupaswi kuniamizi nazo.Mimi kama baba yako ukizidi sana niamini kwa 15% tu.


BROTHER DUNIA INA MENGI SANAA
 
Kuna uhalifu unapangwa vizuri kama ziraeli kafanya yake, yapo mambo ya uhalifu yamenyooka mpaka FBI, CIA nk wanaambulia vumbi tu.
Haipo CRIME MISSION duniani ambayo inaweza ikafanyika halafu ikawa iko 1100% FOOL PROOF, haipo.

Ukiona watu wajanja kama vile FBI au CIA wamenyoosha mikono kwenye tukio fulani , hapo ujue fika kabisa kuwa kuna intervention ya nature kwenye CRIME husika; kwamba baada ya crime kufanyika, kulifuatia NATURAL EVENT nyingine kwenye eneo hilo iliyopelekea ushahidi muhimu wa CRIME iliyotendeka kabla ya event hiyo, kufichika

FICTION CRIME STORY WRITER James Hardley Chase alishakiri kabisa kuwa haipo CRIME MIISSION duniani ambayo ni 100% FOOL PROOF
 
Halafu wengi wakubwa hujificha kwenye kivuli cha eidha dini ama siasa, na wahalifu wengine konki hujificha kotekote.

Hufanya hivyo hivyo ili kuuhadaa umma usihangaike na kuuchunguza upande wao wa pili wa shilingi.

Pia kwa kufanya hivyo huwapa ukaribu wa kukutana na viongozi mbalimbali wa kitaifa, polisi nk na kufanya nao urafiki.

Kuna tukio moja limetokea Dar es Salaam, mwanasiasa wa chama tawala, ambaye pia ni kiongozi wa dini amefiwa na muumini wake inayesemekana alijinyonga.

Mchungaji huyu ana utajiri mkubwa sana kuliko investments zake.

Polisi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimchunguze kwa kina, vitagundua mengi yaliyofichika nyuma ya pazia.
WACHAFU WENGI UVAA NGUO SAFI
 
WACHAFU WENGI UVAA NGUO SAFI
Ikitokea ukawaomba watu wawe waaminifu kabisa kila mmoja awe wazi na aseme kile ambacho kimeujaza moyo wake, unaweza ukashangaa kukuta kuwa zaidi ya asilimia 90 ya watu tunaweza kuwa ni wahalifu au tuna mawazo ya kihalifu! Wazungu wana msemo unasema kuwa

" a man real character iis what he would do if he knew he wouldn't be found"

Kwa hiyo katika mazingira tunayoishi, yawezekana kabisa kuwa watu wasiozidi asilimia 10 ndiyo wako sawa halafu sisi wengine tuliobaki huwa tunawaigiza hao kwa nje tu, ila ndani tuko tofauti
 
Mimi pia sishabikii jamaa yamkute mabaya ingawa naomba nikuulize mkuu, unapata wapi guts za kumtetea namna hii mtu usiyemjua wala kumfahamu undani wake.? simaanishi kwamba jamaa amenyooka au ana mitikas zake sizo hapana ila kwakwel mi siwezi kumsimamia namna hii mtu nisiyemfaham kwa 100%

nitolee mfano tu.
Binafsi mimi ni mtu straight sana kimaadili na hata kimwonekano wa nje.Very decent.Mke wangu anani trust na hata kwenye nyumba ya ibada wananiamini sana kiasi kwamba hata nimeanywa kuwa kiongozi katika nyumba ya ibada. Na kwa neema za Mungu tu hata pale ninapopewa jukumu la kusimamia huduma za kiroho matokeo huwa mazuri sana kwa wanafanyiwa huduma hizo (hapa niseme ni huruma za Mungu tu kwa watu wake huwa zinafanya kazi wala si kwakua nina vigezo hivyo).


LAKINI SASA..

Kimaadili yaani mimi ni Mungu tu ananijua brother. Nishagonga sana njee. sanaaa tu na ni kwa kulinda identity yangu huwa nachukua precautions za hali ya juu sana nisije nika compromise my cover. Yani mbususu huko nje nazitafuna haswaaaa ila tu kuna nina rules zangu to maintain my covet operations zisijulikane (siwezi kuzitaja) ila huu ni mwaka wa 10 am living this double faced life.

Kuna time time huwa nakaa chini namweleza Mungu anisaidie kutoka niache haya mambo maana najua yeye Mungu hakuna naloweza kumficha . Nitamficha wife na watu wengine but mimi siko kama wengine wanavyonijua niko.

KWAHIYO BASI,
binafsi huwa one of my theories ni kwamba, YOU SHOULD NOT TRUST ANYBODY just by considering how much you think you know them.It is not enough. Na huwa nafikiri kwamba pengine mimi nina afadhali usikute hawa jamaa around me ni level zingine.

Kikubwa huwa naamini kwamba maisha ya mtu anayajua mwenyewe. Huwa naamini kabisaa kwamba I DO NOT KNOW ENOUGH about people around me..My friends, my wife, my blood relattives, my parents..everybody.

yale unayoyajua kumuhusu mtu ni vile ameamua kujifunua hivyo ili umjue .there is probably another side (good or bad) bado hujamfaham.

MWISHO
nakumbuka 2005 nikiwa Kidato cha Pili, kuna soo liliwahi tokea shule likinihusisha mimi na rafik zangu.Kesi hii ilipofika nyumbani mzee wangu katika maongez mengi na mareefu akaniuliza jambo moja, Je una waamini kwa asilimia ngapi rafiki zako?

Nikamjibua, asililia 50 (lengo likiwa ni kwamba siwaamini sana), baba akacheka sana akanambia, hzo 50% hata mimi baba yako hupaswi kuniamizi nazo.Mimi kama baba yako ukizidi sana niamini kwa 15% tu.


BROTHER DUNIA INA MENGI SANAA
Well said brother
 
Bujibujinyanaume mbna unamshambulia sna huyu kijan mwezetu mkandamizaji huu Ni Uzi wa tano kma sikoze ukiandika kuhusu hili tukio

Umecommet Mara 100 Bado haitoshi unampandishia Uzi wenye kutaka apelekwe jela

Mkuu nyanaume kesi za mauaji Ni Siri nzito Sana

Mm Sina shida na utajiri wa masanja mnk kweli anatafuta pesa zake kwa halali kbsa Ana madili kibao na mishe kibao hvyo pesa kwako mm Wala Sina shida

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app

Daa Ila Suala la Kuua kwa Namna Yeyote Ile… MUNGU hapendi,Ni kazi yake peke yake tuu au Kujiua….Vyote Hapendi…Sijui Kwanini Huliongelei hili[emoji30]Nimejisemea tuu
 
Dogo alishatonywa kwamba, kwa utajiri huu, utastukiwa Sasa fungua kanisa kwasababu mapato ya kanisa hayawi audited na MTU yoyote.

Hii itakupa justification ya kua na hizi pesa chafu hata Kama Biblia hujawahi kuisoma Wala hata Kama huijui.

Lima mtama Sana kwani TRA hawakagui mapato ya wakulima hivyo mapato yako hayawezi kujulikana.
Pia upasta utakusaidia kutokaguliwa 100% pale eapoti.

Walisahau kumwambia atafute mchumba mwenye maadili.
Kwamba jamaa ni pundamilia
 
Muoneeni huruma jamaa kachapiwa mke. Kosa lake ni nini?
 
Yani kama Mimi ndio Askari mpelelezi swali la kwanza kwa mke wa Masanja ni hili
marehemu aliwahi kukuto.....au!?
naanzia hapo
 
Halafu wengi wakubwa hujificha kwenye kivuli cha eidha dini ama siasa, na wahalifu wengine konki hujificha kotekote.

Hufanya hivyo hivyo ili kuuhadaa umma usihangaike na kuuchunguza upande wao wa pili wa shilingi.

Pia kwa kufanya hivyo huwapa ukaribu wa kukutana na viongozi mbalimbali wa kitaifa, polisi nk na kufanya nao urafiki.

Kuna tukio moja limetokea Dar es Salaam, mwanasiasa wa chama tawala, ambaye pia ni kiongozi wa dini amefiwa na muumini wake inayesemekana alijinyonga.

Mchungaji huyu ana utajiri mkubwa sana kuliko investments zake.

Polisi na vyombo vingine vya ulinzi na usalama vimchunguze kwa kina, vitagundua mengi yaliyofichika nyuma ya pazia.
Kuna mambonane yako bayana na inatakiwa kuyazingatia
1.. Viongozi wa dini
2. Viongozi wa kiroho
3. Wanasiasa uchwara (bourgose)
4. Wananchi
5. Wanajeshi
6.Wanataaluma (maslahi dhidi ya maarifa)
7. Wafanyabiashara (wasio waadilifu)
8. Wafanyakazi
9. Watumishi wa umma

Namba 1, 3, 6, 7 & 9 ndio chanzo cha uharifu na laana katika uso wa dunia.

Kwa mjibu wa elimu ya 'Criminology' wanasiasa wanaongoza kuchochea ukuaji wa uharifu katika jamii kwa kipimo cha sera zao zinazoathiri kibailojia, kisaikolojia na kijamii ( the causes of crime related to biology, psychology, or social factors like socioeconomic status)
 
Ikitokea ukawaomba watu wawe waaminifu kabisa kila mmoja awe wazi na aseme kile ambacho kimeujaza moyo wake, unaweza ukashangaa kukuta kuwa zaidi ya asilimia 90 ya watu tunaweza kuwa ni wahalifu au tuna mawazo ya kihalifu! Wazungu wana msemo unasema kuwa

" a man real character iis what he would do if he knew he wouldn't be found"

Kwa hiyo katika mazingira tunayoishi, yawezekana kabisa kuwa watu wasiozidi asilimia 10 ndiyo wako sawa halafu sisi wengine tuliobaki huwa tunawaigiza hao kwa nje tu, ila ndani tuko tofauti
Huu ni ukweli ambao hatutaki kuuhskia !!!!
 
Back
Top Bottom