Makanyaga
JF-Expert Member
- Sep 28, 2007
- 11,129
- 7,321
Imagine Kiongozi Mkuu wa Nchi siku moja akosee awatangazie Polisi wote kwenda likizo halafu ndiyo utajua binadamu ni mtu wa aina ganiHuu ni ukweli ambao hatutaki kuuhskia !!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Imagine Kiongozi Mkuu wa Nchi siku moja akosee awatangazie Polisi wote kwenda likizo halafu ndiyo utajua binadamu ni mtu wa aina ganiHuu ni ukweli ambao hatutaki kuuhskia !!!!
sasa hiyo ndio akili unafanya jambo alafu nature nayo inamaliza ushahidi, mipango inawekwa sawaHaipo CRIME MISSION duniani ambayo inaweza ikafanyika halafu ikawa iko 1100% FOOL PROOF, haipo.
Ukiona watu wajanja kama vile FBI au CIA wamenyoosha mikono kwenye tukio fulani , hapo ujue fika kabisa kuwa kuna intervention ya nature kwenye CRIME husika; kwamba baada ya crime kufanyika, kulifuatia NATURAL EVENT nyingine kwenye eneo hilo iliyopelekea ushahidi muhimu wa CRIME iliyotendeka kabla ya event hiyo, kufichika
FICTION CRIME STORY WRITER James Hardley Chase alishakiri kabisa kuwa haipo CRIME MIISSION duniani ambayo ni 100% FOOL PROOF
RARE COINCIDENCE. Nature huwa haipangiwi na wala haihojiwi!sasa hiyo ndio akili unafanya jambo alafu nature nayo inamaliza ushahidi, mipango inawekwa sawa
Nanukuu "Majizi makubwa yapo yamejificha kwenye chama changu CCM" MwendazakeHalafu wengi wakubwa hujificha kwenye kivuli cha eidha dini ama siasa, na wahalifu wengine konki hujificha kotekote.
Hufanya hivyo hivyo ili kuuhadaa umma usihangaike na kuuchunguza upande wao wa pili wa shilingi.