Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Unaelewa ulichokiandikayule bwana katokea kwenye ufukara mkubwa, kafanya shughuli zake akapata umaarufu mkubwa na fedha ndio kajiingiza siasani na kwenye dini.
Yaani from no where niibuke niwe maarufu na nipate fedha nyingi kwa shughuli zangu ndio nichunguzwe? Si ningechunguzwa tangu sina kitu? Huu ni wivu
Sioni chochote kwenye huu uzi, zaid ya husda tuu na chuki bin nnafsi, tafta hela kkHalafu wengi wakubwa hujificha kwenye kivuli cha eidha dini ama siasa, na wahalifu wengine konki hujificha kotekote...
Hao wakumchunguza wako wapi ? Wakati hao hao humtumia kupush mambo yao ya kisiasa ?Halafu wengi wakubwa hujificha kwenye kivuli cha eidha dini ama siasa, na wahalifu wengine konki hujificha kotekote...
Kuna uhalifu unapangwa vizuri kama ziraeli kafanya yake, yapo mambo ya uhalifu yamenyooka mpaka FBI, CIA nk wanaambulia vumbi tu.Halafu wengi wakubwa hujificha kwenye kivuli cha eidha dini ama siasa, na wahalifu wengine konki hujificha kotekote...
Umenikumbusha "shujaa" Hamza mzee wa mijegejo na matamko ya Sirro kuhusu malezi ya watoto.Halafu wengi wakubwa hujificha kwenye kivuli cha eidha dini ama siasa, na wahalifu wengine konki hujificha kotekote...
Acha upuuz na wivu masanja hajiuzishi na ishu hzi za kipuuziDogo alishatonywa kwamba, kwa utajiri huu, utastukiwa Sasa fungua kanisa kwasababu mapato ya kanisa hayawi audited na MTU yoyote...
Wafaransa wamefundishwa somo na Hamz, saa hizi wanahamisha geti la kuingilia ubaloziniUmenikumbusha "shujaa" Hamza mzee wa mijegejo na matamko ya Sirro kuhusu malezi ya watoto.
Hujamuelewa mtoa mada. Huyu jamaa mwenye kanisa kuna kipindi alikuwa ni panda wa mama mmoja ambaye ni marehemu kwa sasa. Alikuwa anambebea sembe kupeleka sehemu mbalimbali duniani, ndiko jamaa alipopatia hela huko. Huyo mama mtoto wake ni diwani na siku sio nyingi alifichwa kwa Ashura TabataYule bwana katokea kwenye ufukara mkubwa, kafanya shughuli zake akapata umaarufu mkubwa na fedha ndio kajiingiza siasani na kwenye dini.
Yaani from no where niibuke niwe maarufu na nipate fedha nyingi kwa shughuli zangu ndio nichunguzwe? Si ningechunguzwa tangu sina kitu? Huu ni wivu
Hata buku ni hela, unataka kusema Bujibuji hana?Sioni chochote kwenye huu uzi, zaid ya husda tuu na chuki bin nnafsi, tafta hela kk
Dogo alishatonywa kwamba, kwa utajiri huu, utastukiwa Sasa fungua kanisa kwasababu mapato ya kanisa hayawi audited na MTU yoyote. Hii itakupa justification ya kua na hizi pesa chafu hata Kama Biblia hujawahi kuisoma Wala hata Kama huijui.
Lima mtama Sana kwani TRA hawakagui mapato ya wakulima hivyo mapato yako hayawezi kujulikana.
Pia upasta utakusaidia kutokaguliwa 100% pale eapoti.
Walisahau kumwambia atafute mchumba mwenye maadili.
LOTH HEMA wewe ni mgeni Dar, kaa kwa kutuliaYule bwana katokea kwenye ufukara mkubwa, kafanya shughuli zake akapata umaarufu mkubwa na fedha ndio kajiingiza siasani na kwenye dini.
Yaani from no where niibuke niwe maarufu na nipate fedha nyingi kwa shughuli zangu ndio nichunguzwe? Si ningechunguzwa tangu sina kitu? Huu ni wivu
Duh ππ π€£πWalisahau kumwambia atafute mchumba mwenye maadili.
Una uhakika?Bujibujinyanaume mbna unamshambulia sna huyu kijan mwezetu mkandamizaji huu Ni Uzi wa tano kma sikoze ukiandika kuhusu hili tukio
Umecommet Mara 100 Bado haitoshi unampandishia Uzi wenye kutaka apelekwe jela
Mkuu nyanaume kesi za mauaji Ni Siri nzito Sana
Mm Sina shida na utajiri wa masanja mnk kweli anatafuta pesa zake kwa halali kbsa Ana madili kibao na mishe kibao hvyo pesa kwako mm Wala Sina shida
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app