Wahamiaji haramu toka Kenya watiwa mbaroni Tanzania

Wahamiaji haramu toka Kenya watiwa mbaroni Tanzania

Kwahiyo hata sisi tuanze kuchangamkia hawa wanaouza nguo za mitumba hapa Nairobi? Wengi wao hawana vibali. Mheshimiwa Jaguar alikuwa sahihi. Hawa wajinga wenu tunastahili kuwakamata kwa kukosa vibali vya kuingia Kenya na kukosa work permit ya kuanzisha biashara ya kuuza nguo. Endeleeni tu, huku mpo wengi na hatutasita kuwavamia.
 
Mimi nakuambia Watanzania wanaofanya kazi au biashara ndogo ndogo hapa Nairobi wasiokuwa na vibali ni wengi sana. Wameanzisha zogo sisi ndio tutamaliza.
 
Hakuna raia wa Kenya amenyanyaswa kama ulivyodai.
Kilichowakuta ni mambo ya kisheria. Wameingia nchini bila nyaraka zinazowaruhusu, sheria ikachukua mkondo wake.
Nina imani umepata mwanga.
Tukiingia mitaani hapa Kenya tutapata ndugu zenu wengi ambao hawana vibali. Kuna wakati MP wetu alisema hao wasiokuwa na vibali wafurushwe, nakuambia Tanzania nzima kuliwaka moto hata bunge lenu lilifanya mjadala kuhusu matamshi ya MP huyo.

Yaani kabisa mnaogopa Watanzania walio Kenya kukamatwa kwa kukosa vibali lakini nyinyi mnawakamata Wakenya. Mpo wengi hapa Nairobi, ngojeeni tu.
 
Inasikitisha sana. Hao itakua walitumwa kuja kuokota mahindi ili waende kusema yana sumu.
 
Hakuna raia wa Kenya amenyanyaswa kama ulivyodai.
Kilichowakuta ni mambo ya kisheria. Wameingia nchini bila nyaraka zinazowaruhusu, sheria ikachukua mkondo wake.
Nina imani umepata mwanga.
Ule utaratibu wa wananchi kuingia ndani ya nchi jirani hata km 10 kila upande uliondolewa lini?
 
Mkuu wa wilaya amesema wanawasaka kila kona ili sheria ichukue mkondo wake kwa sababu wachaga wakiingia upande wa Kenya bila kuvaa barakoa nao huwa wanakamatwa na kushtakiwa!
Bwashe wacha uhuni, wanaoingia Kenya ni wachaga au watanzania? Wakazi wa Rombo si wachaga tuu!
 
Kama mtanzania mzalendo,
Siafikiani kabisa na hizi chokochoko zinazoendelea dhidi ya ndugu zetu wakenya.
Ila ukiwa "mzalendo" kama ulivyojitangaza, ukifanyiwa "chokochoko" na hao ndugu zako wakenya unabaki na roho safi kabisa!

Sitaki kukupa majina hapa. Utajitambulisha tu wewe mwenyewe.
 
Tukiingia mitaani hapa Kenya tutapata ndugu zenu wengi ambao hawana vibali. Kuna wakati MP wetu alisema hao wasiokuwa na vibali wafurushwe, nakuambia Tanzania nzima kuliwaka moto hata bunge lenu lilifanya mjadala kuhusu matamshi ya MP huyo. Yaani kabisa mnaogopa Watanzania walio Kenya kukamatwa kwa kukosa vibali lakini nyinyi mnawakamata Wakenya. Mpo wengi hapa Nairobi, ngojeeni tu.
Tony usisahau kuna malori yamejaa mahindi ambayo mnadai yana sumu mmeyazuia mpakani..mnalinda raia wenu na huku pia wanalinda sheria za nchi.
 
Chokochoko mnazitafuta wenyewe, Mambo yakishaharibika mnaanza kuwasingizia WAPINZANI.

Wale wahamiaji haramu wa Ethiopia mbona waliachiwa bila masharti yoyote?

Unadhani Ni taifa lipi litafurahi raia wake wakionewa?

Hao wafugaji bila shaka Ni jamii ya wamasai, wamasai wapo Kenya na TANZANIA miaka na miakaa na hawajuagi kabisa habari za mipaka ya kimataifa.

Na tumekua tukiwachukulia hivyo miaka na miaka, Kwa maana Ni ndugu zetu pia.

Sasa hivi Ni visasi visivyo na msingi,

Mkiendelea hivi na kesho mtakuja kusema na wanyamapori wanaovuka kutokana Kenya kuja Tz wataifishwe au wachomwe Moto kwa kuvuka kinyemela

Kiukweli, watanzania tusifike huko.

Usichopenda ufanyiwe, nawe usimfanyie mwenzio.

Sio tu wee kidogo TU ukiguswa unataka mkae meza ya maridhiano.

Kama mtanzania mzalendo,
Siafikiani kabisa na hizi chokochoko zinazoendelea dhidi ya ndugu zetu wakenya.
hii SIRIkali inaendeshwa kama na watoto wadogo, ujinga mwingi!.
 
mimi hapa najiuliza at the end tutakuwa tumepata nini!!!?. Si tungewapeleka tu pale boda tukawatupa kwao badala ya kuwapa sehemu za kulala bure, kula bure, kutibiwa bure na kuwalinda bure kwa mwaka mzima?!?. na lazima tuwalinde kwa kila hali usalama na afya maana akiuded hata mmoja akiwa mikononi mwetu ni janga la kimataifa
 
Chokochoko mnazitafuta wenyewe, Mambo yakishaharibika mnaanza kuwasingizia WAPINZANI.

Wale wahamiaji haramu wa Ethiopia mbona waliachiwa bila masharti yoyote?

Unadhani Ni taifa lipi litafurahi raia wake wakionewa?

Hao wafugaji bila shaka Ni jamii ya wamasai, wamasai wapo Kenya na TANZANIA miaka na miakaa na hawajuagi kabisa habari za mipaka ya kimataifa.

Na tumekua tukiwachukulia hivyo miaka na miaka, Kwa maana Ni ndugu zetu pia.

Sasa hivi Ni visasi visivyo na msingi,

Mkiendelea hivi na kesho mtakuja kusema na wanyamapori wanaovuka kutokana Kenya kuja Tz wataifishwe au wachomwe Moto kwa kuvuka kinyemela

Kiukweli, watanzania tusifike huko.

Usichopenda ufanyiwe, nawe usimfanyie mwenzio.

Sio tu wee kidogo TU ukiguswa unataka mkae meza ya maridhiano.

Kama mtanzania mzalendo,
Siafikiani kabisa na hizi chokochoko zinazoendelea dhidi ya ndugu zetu wakenya.
Wamasai wapi juu ya sheria?
 
Sizani kama ni sahihi sanaa kuwatia korokoroni badala yake kwann wasiwarejeshe tu makwao ? Sasa kwenda kuwatia sero mwaka tuna walisha bure si kheri uwaachilie wasepe waka jiunge nna familia zaao
 
Chokochoko mnazitafuta wenyewe, Mambo yakishaharibika mnaanza kuwasingizia WAPINZANI.

Wale wahamiaji haramu wa Ethiopia mbona waliachiwa bila masharti yoyote?

Unadhani Ni taifa lipi litafurahi raia wake wakionewa?

Hao wafugaji bila shaka Ni jamii ya wamasai, wamasai wapo Kenya na TANZANIA miaka na miakaa na hawajuagi kabisa habari za mipaka ya kimataifa.

Na tumekua tukiwachukulia hivyo miaka na miaka, Kwa maana Ni ndugu zetu pia.

Sasa hivi Ni visasi visivyo na msingi,

Mkiendelea hivi na kesho mtakuja kusema na wanyamapori wanaovuka kutokana Kenya kuja Tz wataifishwe au wachomwe Moto kwa kuvuka kinyemela

Kiukweli, watanzania tusifike huko.

Usichopenda ufanyiwe, nawe usimfanyie mwenzio.

Sio tu wee kidogo TU ukiguswa unataka mkae meza ya maridhiano.

Kama mtanzania mzalendo,
Siafikiani kabisa na hizi chokochoko zinazoendelea dhidi ya ndugu zetu wakenya.
Yaan tupo mtaani tunawatafuta kila kona tuwapeleke uhamiaji mwaga mboga namwaga ugali.
 
Sizani kama ni sahihi sanaa kuwatia korokoroni badala yake kwann wasiwarejeshe tu makwao ? Sasa kwenda kuwatia sero mwaka tuna walisha bure si kheri uwaachilie wasepe waka jiunge nna familia zaao
uncle magu alisema 'anataka kuona wafungwa wanamenyeka haswaa 😂😂😂😂
nnauhakika wakitoka jela watakua wakulima wazuri
 
Back
Top Bottom