Wahamiaji: Safari toka Congo kupitia Brazil mpaka Canada kwa miguu

Wahamiaji: Safari toka Congo kupitia Brazil mpaka Canada kwa miguu

Lazima uwe na moyo ndiyo maana unaona watu wa asili ya bara ulaya, hindi, china, Mashariki ya Kati hata nchi jirani na Tanzania n.k wanahamia na kuanzaisha maisha popote ulimwenguni : Sikiliza ushuhuda huu hapa chini ktk lugha ya Kiswahili

Congolese Refugees in the U.S., Swahili version


interviews with refugees and community leaders from the Democratic Republic of the Congo and refugee service providers, speaking about the resettlement experiences of newly-arrived and previously resettled refugees, such as employment opportunities, experience learning English in the United States, education for children and adults, inter-ethnic co-existence, family adjustment, and other matters that affect their daily lives.
Source : COResourceCenter
 
Nafasi za kazi kwa wahamiaji wapya

Employment, Swahili


Source : COResourceCenter
 

25 Apr 2012

Pat Buchanan on Suicide of a Superpower


This week on Uncommon Knowledge, author and commentator Pat Buchanan discusses the disintegration of the United States as a superpower and a united nation. No more, One Nation One Country.
Source : Hoover Institution
 
Sisikilizi stowaway yoyote.nimejionea mwenyewe.masharti ya visa kwa kijana anaetafuta maisha ni magumu.unaambiwa uwe na pesa ya matumizi isioyopingua dola 100 kwa siku utayokaa ugenini.unaambiwa uwe na hati ya Mali isiyohamishika na uwe na uthibitisho wa kurudi kwenu baada ya muda wa matembezi kwisha.mtu amemaliza chuo kikuu mwaka mmoja uliopita.vitu hivyo anatoa wapi?wakifoji wanafungiwa kupata visa.sio rahisi maana mimi nimesafiri nikiwa na umri mdogo sana.najua balaa la visa kuanzia ya south africa kipindi hiko mpaka ya marekani.na pesa nilikua nazo nyingi tu za mirathi ya mzee.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ugumu wako siyo ugumu wa wote!!! ni sawa na maisha mwingine kapasua mwingine anasota na mmesoma wote!!!! kuna watu walikaa na pass port mpaka zimechakaa walishindwa. lkn sikukata tamaa ajili yao, nikaenda siku hiyo hiyo nilipata visa na nikaondoka!!! mpaka leo sijaeudi, tena ugumu ulikuwa kwa afisa uhamiaji wa kwetu, ndo aliniuluza sijui barua ya mwaliko, unaenda fanya nini huyo tu, lkn huko mbele ni bwerere tu! sometimes kujieleza nako, km una flow vizuri kwa point unapata faster.
 
Msitu wa Darien baina ya Panama na Colombia kikwazo kisicho na mfano ktk safari hii ya wahamiaji



Wahamiaji wenye watoto wadogo ktk mbeleko zao wakiendelea na safari kupita msitu mzito kupita wote wa Darien uliopo kati ya nchi za Colombia na Panama wakiwa na lengo la kufika Marekani ya Kaskazini yaani USA na Canada.

Safari hii inatokana na nchi za Brazil na Ecuador kutokuwa na sheria kali za viza na uhamiaji hivyo Wahamiaji kutoka mabara ya Asia, Afrika kuelekea Marekani ya Kaskazini.

Katika video hii tufuatane nao hawa wahamiaji mguu kwa mguu ktk msitu huu kuona ugumu na changamoto zisizo na mfano kuhamia katika nchi zingine. Wakitokea Congo, Haiti, Cameroon, Pakistan, Sri Lanka, Ghana .....
Source: PBS NewsHour
 
Lazima kuna uwalakin ktk sera za nchi za Afrika. Wahamiaji kibindoni kila mtu ana kiasi cha dola za Marekani 10,000 na simu janja yenye GPS pia kusaidia kuwasiliana na ndugu na jamaa kila hatua ya safari hii ndefu, ngumu na ya hatari.
Hakuna uwalakini ni siasa za kiafrika za ubinafsi bila kuwa na itikadi kama za hapa Tanzania. Si ccm au chadema au ACT Vina itikadi zaidi ni matumbo ya akina Tundu Lissu tu
 
Msitu wa Darien baina ya Panama na Colombia kikwazo kisicho na mfano ktk safari hii ya wahamiaji



Wahamiaji wenye watoto wadogo ktk mkeleko wakiendelea kupita msitu mzito kupita wote wa Darien uliopo kati ya nchi za Colombia na Panama wakiwa na lengo la kufika Marekani ya Kaskazini yaani USA na Canada.

Safari hii inatokana na nchi za Brazil na Ecuador kutokuwa na sheria kali za viza na uhamiaji hivyo Wahamiaji kutoka mabara ya Asia, Afrika kuelekea Marekani ya Kaskazini.

Katika video hii tufuatane nao hawa wahamiaji mguu kwa mguu ktk msitu huu kuona ugumu na changamoto zisizo na mfano kuhamia katika nchi zingine. Wakitokea Congo, Haiti, Cameroon, Pakistan, Sri Lanka, Ghana .....
Source: PBS NewsHour
Jamani Ghana tena?

Ghana si wana rais mzuri kushinda wote Afrika na juzi mlimpigia kura ya kupata tuzo,,.
 
Msitu wa Darien baina ya Panama na Colombia kikwazo kisicho na mfano ktk safari hii ya wahamiaji



Wahamiaji wenye watoto wadogo ktk mkeleko wakiendelea kupita msitu mzito kupita wote wa Darien uliopo kati ya nchi za Colombia na Panama wakiwa na lengo la kufika Marekani ya Kaskazini yaani USA na Canada.

Safari hii inatokana na nchi za Brazil na Ecuador kutokuwa na sheria kali za viza na uhamiaji hivyo Wahamiaji kutoka mabara ya Asia, Afrika kuelekea Marekani ya Kaskazini.

Katika video hii tufuatane nao hawa wahamiaji mguu kwa mguu ktk msitu huu kuona ugumu na changamoto zisizo na mfano kuhamia katika nchi zingine. Wakitokea Congo, Haiti, Cameroon, Pakistan, Sri Lanka, Ghana .....
Source: PBS NewsHour
Mkuu, nje na maudhui ya komenti yako..
ni kiasi gani ninapaswa kuwanacho ili niweze kumudu safari hii?
 
Moja kati ya nchi bora america ya kusini, Argentina [emoji7][emoji7] haina ufirauni mkubwa kama brazil, Colombia n.k.

Siku ukienda nishitue blaza.


Argentina forever [emoji1033][emoji1033][emoji1033][emoji173]
Shida ni unafikaje?maana ndio njia hiyo.watu hawataki kutoa michongo zaidi ya kutishana tu

Sent from my LG-M250 using JamiiForums mobile app
 
Shida ni unafikaje?maana ndio njia hiyo.watu hawataki kutoa michongo zaidi ya kutishana tu

Sent from my LG-M250 using JamiiForums mobile app

Wanasema kupitia Brazil ndiyo njia sahihi pa kuanzia wao Brazil hawana vikwazo vya kutoa viza. Kutokea hapo Brazil ukiwa umeingia kwa usafiri wa anga utakwenda mbele kwa mwendo wa miguu, punda, daladala, mitumbwi, mabasi , taxi mpaka nchi ya ahadi wanasema watu "wagumu" wasiokata tamaa toka nchi za DR Congo, Ghana, Bangladesh, Somalia , Haiti n.k ktk safari hii . Kibindoni ukianza safari uwe na dolari za kutosha wanasema "wagumu" hao.
c.c mbalaka
 
January 29, 2021
Brooklyn, New York City USA

MHAMIAJI ALIYEKATIZA MSITU MZITO WAKUTISHA WA DARIEN HATIMAYE AFANIKIWA KUIBUKA JIJINI NEW YORK MAREKANI


Asimulia bahati iliyoje kukutana na mwandishi wa chombo cha habari cha Marekani aliyekuwa anarekodi safari yao ngumu toka katikati ya msitu wa kutisha wenye changamoto kubwa wa Darien unaofunika kilometa nyingi za ardhi ktk mpaka wa nchi za Colombia na Panama. Pia safari yake ya toka Bangladesh mpaka India alipokwaa ndege hadi Addis Ababa Ethiopia kisha kuunganisha ndege kuelekea Brazil kisha kuchukua ndege kwenda Peru kufupisha safari ya kuelekea Marekani ya Kaskazini. Lakini akazuiliwa uwanjani nchini Peru na kurudishwa Brazil aliopotokea, ambapo akaamua kuanza safari ndefu kwa mguu kuelekea Marekani. Mhamiaji huyu toka Bangladesh kwa sasa anafanya kazi ya kusafirisha / kusambaza vifurushi ktk anuani mbalimbali za wateja jijini New York nchini Marekani akisubiri ombi lake la ukaaji nchini USA kukubaliwa.

Last August, special correspondents Nadja Drost and Bruno Federico brought us the extraordinary stories of people so desperate to improve their lives they headed through the Darien Gap, one of the most dangerous migration routes in the world. During their reporting, they met people from all over the world, which led to a recent chance encounter in New York City. Nick Schifrin has the story.

Source : PBS NewsHour
 
Wanasema kupitia Brazil ndiyo njia sahihi pa kuanzia wao Brazil hawana vikwazo vya kutoa viza. Kutokea hapo Brazil ukiwa umeingia kwa usafiri wa anga utakwenda mbele kwa mwendo wa miguu, punda, daladala, mitumbwi, mabasi , taxi mpaka nchi ya ahadi wanasema watu "wagumu" wasiokata tamaa toka nchi za DR Congo, Ghana, Bangladesh, Somalia , Haiti n.k ktk safari hii . Kibindoni ukianza safari uwe na dolari za kutosha wanasema "wagumu" hao.
c.c mbalaka
Kwa sasa Brazil hapaingiliki kutokana na wazee wa unga kuharibu kila kitu.
 
Safari kwa Miguu Inaendelea
Safari kupita msitu wa Darien kati ya Panama na Colombia. Usiyoyajua wapitiayo wahamiaji kuelekea Marekani ya Kaskazini ( USA na Canada) inaoneshwa ktk video hii bila kupepesa macho


Source : La2
 
Back
Top Bottom