Pre GE2025 Wahandisi na Wakandarasi wamnunulia Rais Samia helkopta kwaajili ya Kampeni za Urais 2025 pamoja na mafuta ya Tsh. 100,000,000/-

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Yaani Chadema nzima Kwa miaka zaidi ya 20 Sasa mumekosa mtu wankuongoza chama.zaisi ya Mbowe,huo ni uthibitisho kwmaba hakuna mnachoweza zaidi ya majungu,fitina na maneno Kwa Waarabu ila Wazungu Wala hatuwasikii
Unaniwekea mambo ya CHADEMA hapa mimi yananihusu vipi zaidi ya kuwataka wajibidishe kuwaondoa CCM ambayo imekuwa adui ya mTanzania? Wkisha fanya kazi hiyo, waTanzania wenyewe watajuwa lipi la kufanya, hata bila CHADEMA.
Nyinyi mmefanikiwa kuikiteka hiki chama cha CCM kiwe chombo cha kuwafanyia uchafu wenu.
 
Wewe sasa nakujuwa vizuri, kwa hiyo sikuachii tena utambe. Kibaraka mkubwa wa waarabu!
 
Your days are numbered.
 
Hao ndio wasomi wetu ukiwaambia Kishimba ana akili watabisha
 

Attachments

  • IMG_8868.jpeg
    60.5 KB · Views: 1
Yuda sikuzote ni msaliti
 
Give and take..., Scratch my back I will Scratch yours.....

Kwisha habari yao TUCASA - Umoja wa Makandarasi na Watoa Huduma Shirikishi Tanzania, TLS - Tanganyika Law Society, BAKWATA n.k zote sasa ni mojawapo ya jumuiya za CCM na ni vichochoro vya kutengeneza rushwa, ufisadi, sheria mbovu n.k
 
Nimebubujikwa na machozi ya furaha kwa kweli.
Daktari Samia atatufikisha mbali sana.
 
Wanarudisha fadhila za tenda.
 
Hakika siwajui,mimi nawatambua ERB kwa wahandisi na CRB kwa makandarasi.
Msemaji wa umoja huo Mhandisi Yuda Thomas Kemincha kuhusu Umoja wa makandarasi Tanzania TUCASA tulipofanya mkutano wetu wa kupata wanachama waanzilishi pamoja na kupitisha katiba ya chama ambayo itakua muongozo wetu katika shughuli zetu za kila siku.Mkutano huu ulifanyika mwezi wa tatu katika ukumbi wa Julius Nyerere International Convention Center.

View: https://m.youtube.com/watch?v=q3DcEmpCTwM
 
Kama ni kweli Nia ya kutoa zawadi ni nzuri ila kama kweli walikuwa na nia hiyo wangetafuta mradi mmoja wa barabara, ama hospitali wakajenga vizuri ikawa zawadi ambayo angeithamini na watanzania wangeithamini.huyu ni Rais wa nchi anahudumiwa na serikali, na kiusalama hapandi gari ama chopa isiyokuwa designated kwake na vyombo, so zawadi inayotaka kutolewa haina maana.tafuteni mradi mumkabidhi mh. rais atawashukuru sana kuliko hicho mnachopanga
 
Mfumo unateka nyara taasisi zote za kiraia za kitaaluma, biashara, michezo, burudani ziwe chini ya mwamvuli wa chama dola kongwe CCM

TUCASA NA CCM
 
Nyie wahandisi na wakandarasi ukweli ni kwamba mnajipigia pesa kweli. Haya nunueni hilo li helicopter lakini litamwangusha Ndugu yenu kwa mapenzi ya mungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…