Wahariri wa Magazeti ya Musiba wasema Musiba ni mhuni

Wahariri wa Magazeti ya Musiba wasema Musiba ni mhuni

Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani jumatatu

Wahariri wamesema tangu mwezi wa tatu hawajapokea malipo yao ambayo ni haki yao ikiwa na wao wanafamilia

Wameyasema hayo wakiwa wanawasemea waandishi wengine wa magezi hayo ambao pia hawajalipwa
Wakashtaki kwa aliyekuwa anawatuma waandike uzandiki na kebehi kwa watanzania henzi za mwendazake.
Yaani ipite miaka 100 wasilipwe.
 
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani jumatatu

Wahariri wamesema tangu mwezi wa tatu hawajapokea malipo yao ambayo ni haki yao ikiwa na wao wanafamilia

Wameyasema hayo wakiwa wanawasemea waandishi wengine wa magezi hayo ambao pia hawajalipwa
Kwa ule ushenzi waliokuwa wanaandika kuna mtu ameenda kuwasikiliza ???
 
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani jumatatu

Wahariri wamesema tangu mwezi wa tatu hawajapokea malipo yao ambayo ni haki yao ikiwa na wao wanafamilia

Wameyasema hayo wakiwa wanawasemea waandishi wengine wa magezi hayo ambao pia hawajalipwa
Yale yalikuwa ni magazeti ya kumsifia marehemu kichaa
 
Hicho walichokuwa wanafanya kwa miezi hio mitatu kinaingiza pesa ?, Wanauza ? Wana Matangazo ?

Badala ya kuanza kulalamika kushangaa nahodha yuko wapi kwenye mashua inayozama ni bora kuruka na kuokoa maisha yako (unless otherwise mashua haizami na nahodha anafuja pesa peke yake)
 
katika kipindi chote cha utawala wa mwendazake, sikuwahi kutoa pesa yangu kununua vijalida vya musiba achilia mbali kuvisoma vijalida hivyo online.


waandishi hawa walitumika effectively ku fabricate habari nyingi za uongo zilizo husu wakosoaji wa magufuli. acha wale walikopeleka mboga.

njaa imewaibua mafichoni. chezea njaa wewe.
 
unaambiwa enzi za utawala wa "kichaa", hawa wahariri wa magazeti ya musiba nao walikuwa wanajiona ni sehemu ya task force ya TISS.

wapo waliokabidhiwa mpaka bastola watambee nazo mitaani.

acha waisome namba, hakuna wa kuwatetea.
View attachment 1848494
20210710_151415.jpg
 
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu.

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani Jumatatu.

Wahariri wamesema tangu mwezi wa tatu hawajapokea malipo yao ambayo ni haki yao ikiwa na wao wanafamilia.

Wameyasema hayo wakiwa wanawasemea waandishi wengine wa magezi hayo ambao pia hawajalipwa.
Musiba ana magazeti au vipeperushi? Yaani wakiitwa Wahariri na wa Tanzanite anakwenda? Huu mzaha sasa.
 
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu.

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani Jumatatu.

Wahariri wamesema tangu mwezi wa tatu hawajapokea malipo yao ambayo ni haki yao ikiwa na wao wanafamilia.

Wameyasema hayo wakiwa wanawasemea waandishi wengine wa magezi hayo ambao pia hawajalipwa.
Acha wakome shenz taipu wakubwa hawa,huo ndo mshahara wa kumtumikia Shetani.
Musiba hamiliki kampuni yoyote ile ya Magazeti,yale yalikuwa ni Magazeti ya Ikulu,yalianzishwa na Magufuli kwa ajili ya Propaganda za utawala wake.
Kwa kuwa Magufuli alichukiwa sana,na Magazeti yake hayakuwa yakinunuliwa kiasi cha kutengenezea faida ya kulipa hadi wafanyakazi,kwa hiyo Magufuli alikuwa akichota pesa ya Serikali na kuwalipa hao wafanyakazi.
Sasa,hayupo, amekufa,Taahira la Taifa Musiba aka Shenz taipu litatoa wapi pesa za kuwalipa? ndo maana halipokei simu.
MUNGU huwa mkubwa mno,kufumba na kufumbua Magufuli hayupo,ila Bado elements zake zinaishi ndani ya CCM,ndo maana Rais Samia naye ni Dikteta.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu.

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani Jumatatu.

Wahariri wamesema tangu mwezi wa tatu hawajapokea malipo yao ambayo ni haki yao ikiwa na wao wanafamilia.

Wameyasema hayo wakiwa wanawasemea waandishi wengine wa magezi hayo ambao pia hawajalipwa.
Kukye🤣🤣
 
Back
Top Bottom