Wahariri wa Magazeti ya Musiba wasema Musiba ni mhuni

Wahariri wa Magazeti ya Musiba wasema Musiba ni mhuni

Magazeti yake yalikuwa kwaajili ya kumsifia magufuli, kuwatukana wapinzani na kuwazushia uongo wale wote waliokuwa kinyume na uvunjifu wa sheria wakati huo
Kwa nini basi dola imekaa kimya dhidi yake?
 
Mwendazake ndo alikuwa mmiliki na muwezeshaji mkubwa wa hili gazeti sasa baada ya kufa mwezi Marcha hakuna tena mshahara
 
IMG_7183.jpg
 
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu.

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani Jumatatu.

Wahariri wamesema tangu mwezi wa tatu hawajapokea malipo yao ambayo ni haki yao ikiwa na wao wanafamilia.

Wameyasema hayo wakiwa wanawasemea waandishi wengine wa magezi hayo ambao pia hawajalipwa.
IMG-20210710-WA0139.jpg
 
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu.

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani Jumatatu.

Wahariri wamesema tangu mwezi wa tatu hawajapokea malipo yao ambayo ni haki yao ikiwa na wao wanafamilia.

Wameyasema hayo wakiwa wanawasemea waandishi wengine wa magezi hayo ambao pia hawajalipwa.
Wote ni wahuni, musiba muhuni, na wahariri was habari za kihuni ni wahuni pia
 
Acha wakome shenz taipu wakubwa hawa,huo ndo mshahara wa kumtumikia Shetani.
Musiba hamiliki kampuni yoyote ile ya Magazeti,yale yalikuwa ni Magazeti ya Ikulu,yalianzishwa na Magufuli kwa ajili ya Propaganda za utawala wake.
Kwa kuwa Magufuli alichukiwa sana,na Magazeti yake hayakuwa yakinunuliwa kiasi cha kutengenezea faida ya kulipa hadi wafanyakazi,kwa hiyo Magufuli alikuwa akichota pesa ya Serikali na kuwalipa hao wafanyakazi.
Sasa,hayupo, amekufa,Taahira la Taifa Musiba aka Shenz taipu litatoa wapi pesa za kuwalipa? ndo maana halipokei simu.
MUNGU huwa mkubwa mno,kufumba na kufumbua Magufuli hayupo,ila Bado elements zake zinaishi ndani ya CCM,ndo maana Rais Samia naye ni Dikteta.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
Kuna kitu mna-mis hapa kwenye hili sakata. Musiba tayari ameshageuziwa kibao na wale aliokuwa anawatuka. Hapa hawa jamaa wanatumika kama decoy tu. Wenye usukani sasa hivi wanataka kumshughulikia kwa njia za kitaalam. Hivi hao ''wahariri'' mnafikiria walikuwa hawajui ni nini kinachoendelea? I mean mlidhani walikuwa wanajua Musiba ndiyo anatoa fedha au gazeti linajiendesha kwa faida? Hawa wamefuatwa na watu wakapewa maelekezo ya nini cha kufanya.
 
Mfadhiri wao si ndiyo alifariki mwezi huo jamani! Sasa watatoa wapi hela wakati mpenda sifa waliyekuwa wanamsifia kaenda zake?
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu.

Wamesema wanadai mishahara ya miezi mitatu watampeleka mahakamani Jumatatu.

Wahariri wamesema tangu mwezi wa tatu hawajapokea malipo yao ambayo ni haki yao ikiwa na wao wanafamilia.

Wameyasema hayo wakiwa wanawasemea waandishi wengine wa magezi hayo ambao pia hawajalipwa.
 
Wahariri wa magezeti ya Cyprian Musiba wamesema Musiba ni mhuni hajawalipa miezi mitatu na hapokei simu.

10 Julai 2021

CYPRIAN MUSIBA AINGIA MITINI/WAFANYAKAZI WAKE KUMBURUZA KORTINI "ANATUFANYIA UHUNI"




Wafanyakazi wa Kampuni ya CZ Information and Media, wanatarajia kumpeleka mahakamani mmiliki wa kampuni hiyo , Cyprian Musiba, kwa madai ya kutowalipa mishahara miezi mitatu mfululizo.

Kampuni hiyo inayomiliki magazeti matatu, Tanzanite, Fahari Yetu na Tanzania Perspective, inadaiwa kutolipa mishahara wafanyakazi wake 68, kuanzia Aprili hadi Juni 2021.

Taarifa hiyo imetolewa leo Jumamosi, tarehe 10 Julai 2021 na Mhariri wa magazeti hayo, Mussa Mkama, akizungumza na wanahabari jijini Dar es Salaam.

Mkama amesema watafungua kesi katika Mahakama Kuu Divisheni ya Kazi (CMA), Jumatatu ya tarehe 12 Julai 2021, ili kudai haki yao. Mkama amedai kuwa, wamefikia uamuzi huo baada ya Musiba kuingia mitini, tangu Alhamisi ya wiki hii.

“Tuna mdai mishahara ya miezi mitatu, Aprili, Mei na Juni na sasa Julai hiyo inaelekea kwenda kukatika. Juzi Jumatano tumezungumza naye vizuri kwamba, Alhamisi tutakaa kufanya kikao na wafanyakazi tujue mustakabali wetu lakini ametufanyia uhuni,” amedai Mkama.

Source : Mwanahalisi TV
 
Hivi watu bado wananunua magazeti kwaajili ya kusoma au kama kifungashio?
 
Yaani nchi hii waandishi wa habari sijuhi wakoje tu... Yaani wahariri wa yale mautumbo ya Musiba wanakuja live alafu wanasikilizwa tu badala ya kupewa vibano!?!? HAIWEZEKANI!
Walistahili vibano vikali hadi waeleze kwa uzuri utofauti wao na kale ka Musiba.
Kuhusu madai yao; sidhani kama wanastahiki malipo yoyote ya fedha bali waunganishwe kwenye kesi alizofunguliwa na zitakazofunguliwa dhidi ya kale ka Musiba.
Musiba ni muhuni sana. Bahati mbaya mtambo uliomtengeneza ulishafeli.
Wote waliokubali kufanya nae kazi ni wahuni maradufu?
 
Back
Top Bottom