Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Unamjua Mike Mushi? Muulize Mello atakwambia ni naniUko una komenti kwenye forum ya muhaya hapa 😂...au tuko Darasani?
Wew na akili zako za nje ya Darasa umesaidia Nini kwenye hii nchi
Mseme tuwaazime akili hata kidogo
Kumbe ni muhaya 🤔🤔🤔 duh mimi muhaya lakini sina pesaDNA zinatembea vizazi na vizazi
Max Melo unamuonaje mkuu !!
Unaongelea wasukuma wa wapi??? hawa hawa wa kulala na mbuzi na ng'ombe ??? Kama unamaanisha sisi wanyantuzu hapo nitakuelewa lakini usukumani kuna wajinga wengi sana.Kwa kanda ya ziwa wenye akili nyingi ni:
1. Wakerewe
2. Wahaya
3. Wajita
4. Wasukuma
Mbeya ni pa kawaida sana . Mkubali tu kuna vitu mmejifunza kutoka kwa wahaya na vimewajenga . Mti wenye matunda ndo hupigwa mawe .Wewe unamwonaje?nenda mbeya na uchagani utajifunza mengi
kabisaMbeya ni pa kawaida sana . Mkubali tu kuna vitu mmejifunza kutoka kwa wahaya na vimewajenga . Mti wenye matunda ndo hupigwa mawe .
ushawai fika bukoba??Ndugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.
Unajipigia debe upate mchumba..Kila la kheriWahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..!🤸
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
Sisimamani na ninyi nyote. Mnasumbuliwa na superiority complex, kitu kinachowafanya mwonekane washamba na malimbukeni.nasimama na wachaga
wahaya ni wabinafsi na hawajui wanataka nini
😆 😆 mkuu wanyamwezi hawapo kabisaSisimamani na ninyi nyote. Mnasumbuliwa na superiority complex, kitu kinachowafanya mwonekane washamba na malimbukeni.
Nasimama na Wanyamwezi; wapo kama hawapo.
Mkuu wanyambo hawapo!!?Kwa kanda ya ziwa wenye akili nyingi ni:
1. Wakerewe
2. Wahaya
3. Wajita
4. Wasukuma
Naona umewaamulia kina NshomileMmeshindwa kuujenga mkoa wenu ndio mtaiweza nchi?
Duuu kama unataka kujuta maisha yako yote oa mhayaWahaya tuna IQ kubwa hilo halina ubishi..!🤸
Wote waliooa wanawake wa kihaya hawajawahi kujutia
Hawa jamaa ni kama wanaishi nchi jirani. Hawasikiki kwa chochote. 😁😆 😆 mkuu wanyamwezi hawapo kabisa
simama nao waonekane
Tunawaita washomireeNdugu zetu wahaya wamebarikiwa kuwa na akili Sana. wapo na IQ kubwa.
Na wengi wanajua wanataka nini katika MAISHA.
Hongereni Sana
Sijui tungekuwa wapi bila wahaya, hongera Sana Max na wengineo.
NB: Huu ni mtazamo tu tusijenge chuki.
DNA factor, zina mchango wake.