bush striker
Senior Member
- Feb 16, 2019
- 102
- 249
Hapo ndio pa kuwaza zaidi inawezekana huu ni mchezo wa urusi kwa adui, inawezekana adui ndio kawekwa mtegoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lolote linawezekana mkuu, anaweza tumika kuvuga pengine.. akiingia shambulia huko nchi ndogo ndogo jirani.. kifundi unakuwa unapiga na kundi na sio nchiPrigozhin?
Yule kwa sasa wamemuacha kiporo tu ila siku yeyote watamuwashia lolote lile.
Alitakiwa asonge mbele tu liwalo na liwe
We hujanimisi!bibi yangu ilikuwa ukiona kitumbua njiani ukaanza kukidai eti una kitaja alikuwa anasema hivi "wewe huna hamu na kitumbua ila umeona tu"Kwa hiyo hakununuliii...ndio wewe eti Hadi unione ndio umenimissMajukumu mengi mengi ila nipo Joannah .. nimefurahi kukuona sana.. Nahisi nilikuwa nime kumiss sana bila kujua hadi nilipo ona mwandiko wako
Belarus hawezi jiloga enda shambulia majirani zake.Lolote linawezekana mkuu, anaweza tumika kuvuga pengine.. akiingia shambulia huko nchi ndogo ndogo jirani.. kifundi unakuwa unapiga na kundi na sio nchi
😅😅😅 kweli tena nime ku miss .. achana na story za wahengaWe hujanimisi!bibi yangu ilikuwa ukiona kitumbua njiani ukaanza kukidai eti una kitaja alikuwa anasema hivi "wewe huna hamu na kitumbua ila umeona tu"Kwa hiyo hakununuliii...ndio wewe eti Hadi unione ndio umenimiss
Akiwa kwenye nchi ipi? NATO wametoa silaha kiasi gani Ukraeni na bado wanauwawa kila siku pia silaha zenyewe zikichomwa moto. Unafikiri Urusi ni Iraq?Yaani Hilo ni tatizo jipya Kwa Russia,mahasimu wake watamtumia huyo jamaa kumpa nguvu apambane na nchi,,,,imagine NATO na USA wakiamua kutumia Ile mbinu ya "Divide and rule"Kuna Nini tena hapo?
Nyie wapenzi wa Putin mna vichwa vigumu.Akiwa kwenye nchi ipi? NATO wametoa silaha kiasi gani Ukraeni na bado wanauwawa kila siku pia silaha zenyewe zikichomwa moto. Unafikiri Urusi ni Iraq?
Unajua Leo ni Idd Al Adha?acha kuelekeza wenzio kibra😅😅😅
Huo huenda ukawa ndio mwisho wa kampuni hiyo binafsi!! Ujue Anaenda Balarus bila silaha, maana sailaha zote atakabidhi urusi!! Akiwa Belarus ni kama yuko jela ya kimkakati!! Hatakuwa na nguvu maana watu wake watakaokubali kumfuata pia hawatakuwa na silaha!! Huyo ameminywa kimya kimya!!Kwa sasa naona Prighozin kagoma Wagner kujiunga na MoD hivyo anarudisha silaha zote za MoD anaenda Belarus
Kama uliamini like tukio pole sana, kiukweli lile lilikuwa igizo tu tena kwa lengo maalum kiufupi Putin na huyo boss wa Wagner ni marafiki walioshibana sana.Fikiria jamaa alikuwa anapata mabilioni mangapi kwa kupewa tenda ya kulisha majeshi yote ya Urusi!! Lakini bado akawa hajaridhika na kuwa na bifu na waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi wanaoidhinisha tenda yake!! Bila shaka alitamani yeye ndio awe top kwenye jeshi la Urusi!! Sasa atakula jeuri yake!!
On Tuesday, Russian President Vladimir Putin revealed that the Wagner Group was totally dependent on state financing, while Prigozhin himself had earned billions of rubles through catering contracts with the military.
Umepewa tenda ya kulisha jeshi lote na bado kampuni yako ya jeshi binafsi (Wagner) inagharimiwa kila kitu na unalipwa mabilioni pia, unataka nini zaidi ya hicho! Sasa amekabidhiwa mahame ya kambi moja ya kijeshi huko Balarus!! aweke mahema huko huku akiambiwa afikirie mwenyewe hatima yake na mipango yake ya baadaye!! Tamaa mbele mauti nyuma!!
Unadhani ni rahisi.SI anaanzisha jeshi la waasi tu anaingia kupambana na Putin
Huku nilipo mimi leo sio Eid.Unajua Leo ni Idd Al Adha?acha kuelekeza wenzio kibra😅😅😅
Wazee wenye busara hawafanyi mambo kama nyie vijana....we assess all conditions and we retaliate at the right time.Yap! Hili ni bomu hambalo litamlipukia Putin wakati wowote,
Na sijui ni Kwa nini ameshindwa kumueliminate kabisa
Huyu ameshakula nyama ya mtu, hawezi kuacha mpaka mauti yatakapomfika
Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Hii ni trojan horse kwa NATO.Fikiria jamaa alikuwa anapata mabilioni mangapi kwa kupewa tenda ya kulisha majeshi yote ya Urusi!! Lakini bado akawa hajaridhika na kuwa na bifu na waziri wa ulinzi na mkuu wa majeshi wanaoidhinisha tenda yake!! Bila shaka alitamani yeye ndio awe top kwenye jeshi la Urusi!! Sasa atakula jeuri yake!!
On Tuesday, Russian President Vladimir Putin revealed that the Wagner Group was totally dependent on state financing, while Prigozhin himself had earned billions of rubles through catering contracts with the military.
Umepewa tenda ya kulisha jeshi lote na bado kampuni yako ya jeshi binafsi (Wagner) inagharimiwa kila kitu na unalipwa mabilioni pia, unataka nini zaidi ya hicho! Sasa amekabidhiwa mahame ya kambi moja ya kijeshi huko Balarus!! aweke mahema huko huku akiambiwa afikirie mwenyewe hatima yake na mipango yake ya baadaye!! Tamaa mbele mauti nyuma!!
Huku nilipo mimi leo sio Eid.
Haiwezekani igizo lihusishe kuangusha ndege takriban za kijeshi na kuua marubani wake kadhaa!!Kama uliamini like tukio pole sana, kiukweli lile lilikuwa igizo tu tena kwa lengo maalum kiufupi Putin na huyo boss wa Wagner ni marafiki walioshibana sana.
Kuna mission anaenda kuianzisha akitokea Belarus na ndio maana juzi umeona viongozi wa NATO wakikutana kujadili uwepo wa jamaa huko.
Mwisho wa enziHuo huenda ukawa ndio mwisho wa kampuni hiyo binafsi!! Ujue Anaenda Balarus bila silaha, maana sailaha zote atakabidhi urusi!! Akiwa Belarus ni kama yuko jela ya kimkakati!! Hatakuwa na nguvu maana watu wake watakaokubali kumfuata pia hawatakuwa na silaha!! Huyo ameminywa kimya kimya!!
Russia sio congoMbona unaweka hoja kiwepesi hivyo?kama kweli yupo serious unadhani mahasimu wa Russia wanashindwa kumpa hizo silaha?jiulize waasi wa Congo wanapata wapi silaha?Haya mambo hayapo kiwepesi namna hiyo mkuu