Wahenga hawakukosea, tamaa mbele mauti nyuma: Huyu boss wa Wagner alipewa tenda yote kulisha majeshi ya Urusi, bado hakutosheka!!

Yaani Hilo ni tatizo jipya Kwa Russia,mahasimu wake watamtumia huyo jamaa kumpa nguvu apambane na nchi,,,,imagine NATO na USA wakiamua kutumia Ile mbinu ya "Divide and rule"Kuna Nini tena hapo?
Kama wanayoitumia Ukraine?
 
We hujanimisi!bibi yangu ilikuwa ukiona kitumbua njiani ukaanza kukidai eti una kitaja alikuwa anasema hivi "wewe huna hamu na kitumbua ila umeona tu"Kwa hiyo hakununuliii...ndio wewe eti Hadi unione ndio umenimiss
Kwani nawewe uliwahi kuishi kijijini au uswazi?
 
Mbona unaweka hoja kiwepesi hivyo?kama kweli yupo serious unadhani mahasimu wa Russia wanashindwa kumpa hizo silaha?jiulize waasi wa Congo wanapata wapi silaha?Haya mambo hayapo kiwepesi namna hiyo mkuu
Unadhani watu wameenda kumtelekeza tu huko? Kiufupi anaangaliwa mpaka anavyo kata gogo
 
Yap! Hili ni bomu hambalo litamlipukia Putin wakati wowote,
Na sijui ni Kwa nini ameshindwa kumueliminate kabisa

Huyu ameshakula nyama ya mtu, hawezi kuacha mpaka mauti yatakapomfika

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
Usiombe kuwa chini ya uangalizi wa asset zote za intelligence za nchi.. Unaishi life la ajabu sana, unaweza hata kuogopa kukohoa
 
Ha ha ha mda so mrefu utamkuta yupo front na wanajesh wake wakipambana na Russia..chezea dollar za u.s
 
Yaani Hilo ni tatizo jipya Kwa Russia,mahasimu wake watamtumia huyo jamaa kumpa nguvu apambane na nchi,,,,imagine NATO na USA wakiamua kutumia Ile mbinu ya "Divide and rule"Kuna Nini tena hapo?
Prigo ni hatari zaidi kwa NATO kuliko alivyo hatari kwa Putin. Prigo anakwenda kuwatandika Ukraine kama ngoma akitokea Belarus
 
Yaani Hilo ni tatizo jipya Kwa Russia,mahasimu wake watamtumia huyo jamaa kumpa nguvu apambane na nchi,,,,imagine NATO na USA wakiamua kutumia Ile mbinu ya "Divide and rule"Kuna Nini tena hapo?
There is nothing left to divide.
 
Mkuu,huyu Prigo ataishi maisha ya wasiwasi tu,FSB wanam monitor kila movement yake kwasasa hivi,

Kifupi this guy is finished.
Prigo anawacheck tu mlivyoingia king kwenye game aliyocheza na Putin, soon utasikia milio huko upande wa NATO wakilalamika kuhusu Prigo.
 
[emoji1787][emoji1787]

Usaliti mbaya....

Usaliti ni DHAMBI...

KATAA USALITI[emoji120]
 
Kwa akili NDOGO za wasaliti matokeo huwa hayo....

Prigozhn hana tofauti na HEMETI DAGALO wa Sudan na wale wanamgambo wake......[emoji1787][emoji1787]

#Kataa Usaliti Kwa Dola lako[emoji120]

#SiempreJMT[emoji120]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…