Nakumbuka kulikuwa na vitambaa fulani vyepesi, unashona kwa kuchanganya, blauzi ya maua, suruali rangi moja...halafu unaachiwa na kakitambaa kwaajili ya kimtandio π π π π π[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] halafu usikute bazee la blue
ndio ilikua sehemu ya ufahari enzi izo hahahaHe he villa club ghorofani disco toto unapajua Miller
He he usikute tunajuana kumbe nawe ni muhenga kama miendio ilikua sehemu ya ufahari enzi izo hahaha
Shifoni auNakumbuka kulikuwa na vitambaa fulani vyepesi, unashona kwa kuchanganya, blauzi ya maua, suruali rangi moja...halafu unaachiwa na kakitambaa kwaajili ya kimtandio π π π π π
Yaani kama mhindi vilee.
π π π π πSiku moja mama kaninunulia gauni zuri ila viatu hajanunua.
Ilikuwa IDD nikaenda masjid vizuri nilivyorudi Nimefika mlangoni tu nikaanza kulia kwa sauti[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Nililia kama saa moja hivi akaja kunipiga maana pesa hana nikaongeza kilio, nikagoma kunywa chai, kila anachonituma nakataa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] ananipiga tena nikalia hadi nikasinzia pale pale mlangoni.
Nikaamka kama saa tano hivi nikaanza kulia tena, akawa kachoka kunipiga akaanza kujifuta machozi na yeye. Akaenda sijui kukopa wapi akanipa pesa nikanunue viatu[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ilibidi pilau lisipikwe na kwangu haikuwa shida ilimradi skuna nimepata[emoji23] [emoji23] [emoji23]
inawezekanaa hahahaHe he usikute tunajuana kumbe nawe ni muhenga kama mie
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa kweli kula hakuna atayejua sijala ila skuna kila mtu ataona sijavaaπ π π π π
Kwako kuvaa ilikuwa bora zaidi kuliko kula.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]inawezekanaa hahaha
[emoji23] [emoji23] [emoji23] halafu marinda yamepangwa vizuri hatari jamaniGauni alafu chini kiunoni linavutwa marindaaa loooh
DSM ya enzi zile ilikua haijajaa kama ya leo, na watu wa kuzunguka mw/mala, makumbusho, k'nyama na kinondoni wengi sehem za kwenda kuenjoy sikukuu zilikua common.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
HahahahhaHiyo tingisha siijui jaman au nimesahau labda tulikuwa tunatofautiana majina
[emoji3][emoji3][emoji3]kumbe wanawake tunavaaa vigodor toka zaman
Kweli kabisaDSM ya enzi zile ilikua haijajaa kama ya leo, na watu wa kuzunguka mw/mala, makumbusho, k'nyama na kinondoni wengi sehem za kwenda kuenjoy sikukuu zilikua common.
π π π πNdo suti au ?[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Na wew nakutafutia ready madeKweli kabisa
hahaha[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kwa kweli kula hakuna atayejua sijala ila skuna kila mtu ataona sijavaa
Nitafutie shemeji iwe fupiNa wew nakutafutia ready made
Hahahahaha! Ungekuwa mpenzi wa nguo za kushona ungeujua.Hahahaha huo sijaushuhudia au uku kwetu dongo teremka haukufika