Wahhab kundi lenye itikadi kali ndani ya uislamu

Wahhab kundi lenye itikadi kali ndani ya uislamu

Hao wanaonekana kuwa Wana msimamo wa kati, wenyewe kwa hiari yao wameamua kuacha mafundisho ya Quran na kuendana na mifumo iliopoa kwa maana wamegive it up

Hao ndio masheikh waokoteza aya nyepesi nyepesi wakiacha zile ngumu ili kuendana na mfumo

Kwenye jamii maovu ni mengi sana na Vita ni kubwa katika kuhakikisha maovu hayo yasitendeke na watenda maovu sio tu wa dini zingine hata wenye majina ya kiislam hutenda maovu ambayo ukiyakanya kwa kutumia mfumo wa dini utaonekanwa mwenye msimamo mkali wa kidini

Hivyo masheikh wameamua kwa hiari yao kuacha kukanya maovu yanayotendeka kwa kuacha mafundisho ya Quran Bali kutafuta zile aya nyepesi nyepesi ili kuendana na kinachofanyika

Wasunni au wahab ndio walioshika dini kisawa sawa na ukitekeleza kwa vitendo changamoto ni kuwa nchi kama Tanzania yenye jamii mchanganyiko na nchi zingine zenye mfanano huo lazima wakuite gaidi na majina mengine yasiyofaa kwakuwa mifumo ya nchi haiongozwi kidini
 
Umecopy na kupastee mzee Baba....hutaki ata kuumiza kichwa,wa bongo bhna

Hizo sifa unazosema za wahab ndo sifa za kila muislam anatakiwa awe nazo...

Nyongeza mashia sio waislam
KWa hiyo mashia ni makafiri?!
 
Ila siyo wakuwalaumu na kuwabeza. Unaona walivyosaidia kulinda dini yao. Ukristo nao ulikuwa kama wahabi ulilindwa sana sasa unaona sasa hivi wagalatia tuko legelege tu wakati sisi ndio tuko kwenye nuru na tunaifuata kweli.
Huwezi kuwa mwana dini hasa halafu ukaacha mafundisho ya dini yako na ukiyafuata ndio kukua kwa dini hiyo

Ukiona wamekuwa legelege ni kuwa wameamua kwa hiari yao kuingia kwenye mfumo kuifata dunia na harakati zake na kuacha habari za mbinguni
 
Wahhabi ni wafuasi wa harakati ya Wahhabism, ambayo ni mtazamo wa Uislamu wa Sunni ulioanzishwa na Muhammad ibn Abd al-Wahhab mnamo karne ya 18 katika eneo la Najd, Saudi Arabia. Harakati hii ilisisitiza kurudi kwenye Uislamu wa mwanzo, ikiwa na msimamo mkali dhidi ya kile walichokiona kama uzushi (bid'ah) na ushirikina (shirk).


Historia ya Wahhabi (Wahhabism)


1. Mwanzilishi: Muhammad ibn Abd al-Wahhab (1703–1792)


  • Alizaliwa Najd, katika eneo ambalo sasa ni Saudi Arabia.
  • Alijifunza Uislamu na kuathiriwa na mafundisho ya Ibn Taymiyyah, msomi wa karne ya 13 aliyepinga desturi nyingi zisizo katika Qur’an na Hadith.
  • Alianzisha harakati ya kidini iliyoitwa "Muwahhidun" lakini baadaye ikajulikana kama Wahhabism.

2. Ushirikiano na Familia ya Saud (1744)


  • Muhammad ibn Abd al-Wahhab alifanya makubaliano na Muhammad ibn Saud, kiongozi wa ukoo wa Saud.
  • Ibn Saud alikubali kutekeleza mafundisho ya Wahhabi kwa nguvu ya kijeshi, na kwa pamoja waliasisi dola la kwanza la Saudia.
  • Muungano huu ulisababisha vita vingi dhidi ya tawala za Kiarabu zilizoonekana kuwa na uzushi.

3. Uenezaji na Mapambano (Karne ya 18–19)


  • Wahhabi walifanya mashambulizi na kuchukua miji kama Riyadh na sehemu za Hijaz, ikiwa ni pamoja na Makka na Madina.
  • Mnamo 1802, Wahhabi walishambulia Karbala (mji mtakatifu wa Shia), wakaharibu maeneo matakatifu ya Shia na kuua maelfu ya watu.
  • Mnamo 1818, Dola ya Kiosmani (Ottoman Empire) iliwashinda kwa msaada wa Misri na kuharibu utawala wao wa kwanza.

4. Kurejea kwa Wahhabi na Kuundwa kwa Saudi Arabia (1902–1932)


  • Mwaka 1902, Abdulaziz Ibn Saud, kiongozi wa ukoo wa Saud, alianza tena harakati za Wahhabi.
  • Kufikia 1932, aliunda Ufalme wa Saudi Arabia, na Wahhabism ikawa itikadi rasmi ya nchi hiyo.

5. Athari za Kisasa na Mzozo wa Kimataifa


  • Saudi Arabia imekuwa mfadhili mkubwa wa Wahhabism ulimwenguni, ikijenga misikiti na shule za Kiislamu (madrasa) zinazofuata mafundisho haya.
  • Wahhabism imekuwa na athari kubwa kwa makundi kama Salafism, lakini pia imekosolewa kwa msimamo wake mkali dhidi ya madhehebu mengine ya Kiislamu kama Shia, na hata baadhi ya Waislamu wa Sunni wanaofuata Sufi na desturi za kitamaduni.
  • Harakati za kisasa kama Al-Qaeda na ISIS zimehusishwa na tafsiri kali za Wahhabism, ingawa Saudi Arabia yenyewe inapinga makundi haya.

Sifa Kuu za Wahhabism


✅ Kusisitiza Tawhid (umoja wa Mungu) na kupinga ushirikina.
✅ Kupinga desturi kama kuomba kwa maiti, kuzuru makaburi, na sherehe za kidini.
✅ Kufuata Qur’an na Hadith kwa tafsiri iliyo kinyume na bid’ah (uzushi).
✅ Kuhamasisha sheria kali za Kiislamu (Sharia).
✅ Kuwa na uhusiano wa karibu na ukoo wa Saud tangu kuundwa kwa Saudi Arabia.
Ha
Wahhabism imekuwa harakati yenye mvutano mkubwa ndani ya Uislamu na duniani. Ingawa imechangia kuanzishwa kwa Saudi Arabia, pia imekosolewa kwa msimamo wake mkali unaolenga kurejesha Uislamu wa mwanzo kwa kuondoa desturi ambazo wengi wanaziona kuwa sehemu ya utamaduni wa Kiislamu.
Sijaona HOJA YA MSINGI


Hakuna MADHEHEBU ya WAHHABISM ila ni jitihada alizozifanya kuwarudisha WAISLAM kwenye UISLAM wa MUHAMMAD rehema na Amani ziwe juu yake!!

Uislam wa ASILI utabaki ule aliokuja nao Muhammad rehema na Amani ziwe juu yake
 
Wahhabi ni wafuasi wa harakati ya Wahhabism, ambayo ni mtazamo wa Uislamu wa Sunni ulioanzishwa na Muhammad ibn Abd al-Wahhab mnamo karne ya 18 katika eneo la Najd, Saudi Arabia. Harakati hii ilisisitiza kurudi kwenye Uislamu wa mwanzo, ikiwa na msimamo mkali dhidi ya kile walichokiona kama uzushi (bid'ah) na ushirikina (shirk).


Historia ya Wahhabi (Wahhabism)


1. Mwanzilishi: Muhammad ibn Abd al-Wahhab (1703–1792)


  • Alizaliwa Najd, katika eneo ambalo sasa ni Saudi Arabia.
  • Alijifunza Uislamu na kuathiriwa na mafundisho ya Ibn Taymiyyah, msomi wa karne ya 13 aliyepinga desturi nyingi zisizo katika Qur’an na Hadith.
  • Alianzisha harakati ya kidini iliyoitwa "Muwahhidun" lakini baadaye ikajulikana kama Wahhabism.

2. Ushirikiano na Familia ya Saud (1744)


  • Muhammad ibn Abd al-Wahhab alifanya makubaliano na Muhammad ibn Saud, kiongozi wa ukoo wa Saud.
  • Ibn Saud alikubali kutekeleza mafundisho ya Wahhabi kwa nguvu ya kijeshi, na kwa pamoja waliasisi dola la kwanza la Saudia.
  • Muungano huu ulisababisha vita vingi dhidi ya tawala za Kiarabu zilizoonekana kuwa na uzushi.

3. Uenezaji na Mapambano (Karne ya 18–19)


  • Wahhabi walifanya mashambulizi na kuchukua miji kama Riyadh na sehemu za Hijaz, ikiwa ni pamoja na Makka na Madina.
  • Mnamo 1802, Wahhabi walishambulia Karbala (mji mtakatifu wa Shia), wakaharibu maeneo matakatifu ya Shia na kuua maelfu ya watu.
  • Mnamo 1818, Dola ya Kiosmani (Ottoman Empire) iliwashinda kwa msaada wa Misri na kuharibu utawala wao wa kwanza.

4. Kurejea kwa Wahhabi na Kuundwa kwa Saudi Arabia (1902–1932)


  • Mwaka 1902, Abdulaziz Ibn Saud, kiongozi wa ukoo wa Saud, alianza tena harakati za Wahhabi.
  • Kufikia 1932, aliunda Ufalme wa Saudi Arabia, na Wahhabism ikawa itikadi rasmi ya nchi hiyo.

5. Athari za Kisasa na Mzozo wa Kimataifa


  • Saudi Arabia imekuwa mfadhili mkubwa wa Wahhabism ulimwenguni, ikijenga misikiti na shule za Kiislamu (madrasa) zinazofuata mafundisho haya.
  • Wahhabism imekuwa na athari kubwa kwa makundi kama Salafism, lakini pia imekosolewa kwa msimamo wake mkali dhidi ya madhehebu mengine ya Kiislamu kama Shia, na hata baadhi ya Waislamu wa Sunni wanaofuata Sufi na desturi za kitamaduni.
  • Harakati za kisasa kama Al-Qaeda na ISIS zimehusishwa na tafsiri kali za Wahhabism, ingawa Saudi Arabia yenyewe inapinga makundi haya.

Sifa Kuu za Wahhabism


✅ Kusisitiza Tawhid (umoja wa Mungu) na kupinga ushirikina.
✅ Kupinga desturi kama kuomba kwa maiti, kuzuru makaburi, na sherehe za kidini.
✅ Kufuata Qur’an na Hadith kwa tafsiri iliyo kinyume na bid’ah (uzushi).
✅ Kuhamasisha sheria kali za Kiislamu (Sharia).
✅ Kuwa na uhusiano wa karibu na ukoo wa Saud tangu kuundwa kwa Saudi Arabia.
Ha
Wahhabism imekuwa harakati yenye mvutano mkubwa ndani ya Uislamu na duniani. Ingawa imechangia kuanzishwa kwa Saudi Arabia, pia imekosolewa kwa msimamo wake mkali unaolenga kurejesha Uislamu wa mwanzo kwa kuondoa desturi ambazo wengi wanaziona kuwa sehemu ya utamaduni wa Kiislamu.
Sijui umekopy katika kitabu na mashia kipi but ukisikia wahabi ujue kua hilo jina wamepewa na mashia na masufi but hamna mtu wa sunnah anajiita wahabi but ukiwa na msimamo wa kufuata sunna na kukemea uzushi mashia na sufi wanakuita wahabi so hiyo kitu umetoa wapi huko kuandika miaka ni mbwembwe tu
 
Muhamad aliwapotosha Waarabu kwamba yeye na Uislamu wameandikwa katika Biblia. Wakamuamini. Wafuasi wake baada yake walipomtafuta Muhamad na Uislamu katika Biblia na kumkosa, wakaja na lawama kwamba Wayahudi na Wakristo wamebadilisha maandiko. Mpaka leo waislamu wanatusumbua huku na huku kwamba tumebadilisha maandiko na ndio maana Muhamad haonekani ndani yake.

Muislamu akiisoma Biblia jua hapo anasaka makosa tu na si ujuzi. Na ndio maana mtoto wa kislamu yoyote akiisoma Biblia kwa minajiri ya kutafuta wokovu, moyo wake taratibu utahama toka kwa Muhamad hadi kwa Yesu. Na ndio maana Biblia huko Arabuni ni maarufuku, na muislamu akishikwa nayo anauawa. Dini ya kibabe.

No maridhiano
 
Muhamad aliwapotosha Waarabu kwamba yeye na Uislamu wameandikwa katika Biblia. Wakamuamini. Wafuasi wake baada yake walipomtafuta Muhamad na Uislamu katika Biblia na kumkosa, wakaja na lawama kwamba Wayahudi na Wakristo wamebadilisha maandiko. Mpaka leo waislamu wanatusumbua huku na huku kwamba tumebadilisha maandiko na ndio maana Muhamad haonekani ndani yake.

Muislamu akiisoma Biblia jua hapo anasaka makosa tu na si ujuzi. Na ndio maana mtoto wa kislamu yoyote akiisoma Biblia kwa minajiri ya kutafuta wokovu, moyo wake taratibu utahama toka kwa Muhamad hadi kwa Yesu. Na ndio maana Biblia huko Arabuni ni maarufuku, na muislamu akishikwa nayo anauawa. Dini ya kibabe.

No maridhiano
Kasomebible vizuri tena version ya yule shoga King james ambaye ameandika kitabu cha kishetani na alimuua mama yake uje utuambie ni bible ipi alikopy, unajua nyie jamaa mpo narrow saana alafu mnakuja kwa watu ambao wanasoma dini yao since watoto mpka wanakufa
 
China waislam ni kama kutafuta waislam kwa wamasai.

Waarabu walipewa mafuta ila hawakuyatambua mpaka wazungu walipokuja kuyachimba na kuweka teknolojia zao..mwaarabu anakula mlahaba na kodi tu,ila mmiliki wa mafuta ni mzungu ndio mana huwezi nunua mafuta bila USD
Kwa taarifa yako china wanasilim saana kama hujui wachina waislam nenda pale palm village kuna mgahawa wa wachina wanapika halal chinese food
 
Back
Top Bottom