Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,931
- 24,816
Kuna mataifa mengi yasiyo ya kiarabu yana mafuta. Russia, Usa n.kNishati ya mafuta inatoka kwa mwarabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna mataifa mengi yasiyo ya kiarabu yana mafuta. Russia, Usa n.kNishati ya mafuta inatoka kwa mwarabu.
Inaonekana wewe kwenye hizi Mada uko Konki!!!Wahhabi wanawaita wenzao makafiri
Kwa hiyo, mchango wao kwenye Dunia upo au haupo?Kuna mataifa mengi yasiyo ya kiarabu yana mafuta. Russia, Usa
Mfumo wa dini ni mfumo wa kijamaa ambao unaweza kutekelezwa kwa urahisi kwenye jamii inayouamini mfumo huohiv kuna fahari gani mkiwa wengi saana kwenye dini fulani kuliko dini nyingine?
Kuna fahari nyingi sana ktk nyanja zote yaani:- Kisiasa, kiutamaduni, kiuchumi na kijamii.hiv kuna fahari gani mkiwa wengi saana kwenye dini fulani kuliko dini nyingine?
Mimi ni muislam ninayejitahidi kushikamana na mafundisho ya Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na maswahaba zake na watu wema waliotangulia katika Dini.Wewe ni Sunni ?
Unao ushahidi ? Wenzako kina nani ?Wahhabi wanawaita wenzao makafiri
Wahhabi ni wafuasi wa harakati ya Wahhabism, ambayo ni mtazamo wa Uislamu wa Sunni ulioanzishwa na Muhammad ibn Abd al-Wahhab mnamo karne ya 18 katika eneo la Najd, Saudi Arabia. Harakati hii ilisisitiza kurudi kwenye Uislamu wa mwanzo, ikiwa na msimamo mkali dhidi ya kile walichokiona kama uzushi (bid'ah) na ushirikina (shirk).
Dini ndio imetoa uhuru kamili na maana yake.dini siku zote haitaki uwe huru inataka ujae kwenye mfumo wake
Halafu inahubiri imani Ya Mungu ambaye tunaamini ni Mmoja tu kwa maana ya imani moja tu
Sasa tunashuhudia kila dini ina Mungu wake hivi unafikiri hapo kutakuwa na maelewano kweli
Yaani ni kama CCM na chadema
Mimi nimechagua kuwa huru sina dini Mungu wangu hana dini huyu aliyeumba mbingu na nchi
ila hizi dini zimetengeneza miungu yao na ina mapungufu kama yoote
Muasisi wa Scientific Methods alikuwa Muislamu. Sasa utajiuliza mchango wetu sisi uko sisi.Pamoja na hayo. Waislamu duniani wanamchango gani kwenye dunia? Bidhaa 99.9%, mifumo, teknolojia, siasa na elimu tunatumia za makafiri
Kiufupi sioni mchango wa waarabu kwenye hii dunia maana hadi kanzu, baibui na nikabu vitambaa vyake vinatoka China (waabudu dragon)
huwezi kuwa huru kama una chuki na dini ya mwingineDini ndio imetoa uhuru kamili na maana yake.
Uhuru usio na mpaka ni utumwa wa kujitakia.
Sio kweli inaonekana huujui UISLAMU na makundi yanayo jinasibisha na UISLAMU.Wahhabi ndio wanaozalisha magaidi
Magaidi wote wanatokea humo
Chuki ni suala la kimaumbile, lazima watu WAJINGA na waovu wachukiwe, kama wanachukiwa na Mola aliyewaumba, iweje sisi viumbe tusiwachukie watu waovu ?huwezi kuwa huru kama una chuki na dini ya mwingine
Hivi Mola anakuchukia wewe kwa lipi au ni hisia zako tu ndiyo zinakufanya uone anakependa au anakuchukiaChuki ni suala la kimaumbile, lazima watu WAJINGA na waovu wachukiwe, kama wanachukiwa na Mola aliyewaumba, iweje sisi viumbe tusiwachukie watu waovu ?
Akili iliyo salama, inakataa huo ujinga.
Sasa wewe, utaratibu wako wa maisha unaengemeza wapi? Labda nikuulize kama ni mwanaume umetahiriwa? Na kama ni ndio umepata wapi huo utaratibu? Kuna mengine mengi kama kuona, kuzikakana, majina tuliyo nayo n.k. yameegemea kwenye dini fulani. Ukisema huamini katika dini unakuwa unatudanganya.dini siku zote haitaki uwe huru inataka ujae kwenye mfumo wake
Halafu inahubiri imani Ya Mungu ambaye tunaamini ni Mmoja tu kwa maana ya imani moja tu
Sasa tunashuhudia kila dini ina Mungu wake hivi unafikiri hapo kutakuwa na maelewano kweli
Yaani ni kama CCM na chadema
Mimi nimechagua kuwa huru sina dini Mungu wangu hana dini huyu aliyeumba mbingu na nchi
ila hizi dini zimetengeneza miungu yao na ina mapungufu kama yoote
Kwenye dini ipo ndio hakuna fujo?Hiyo dini ya muarabu kila kitu ni fujo na mauaji, nilisoma sehemu kuwa Muhammad alimsilimisha shetani hivyo huko kwenye hiyo dini hukosi maushetani ya kila aina.