Chifu mkuu
JF-Expert Member
- Jan 6, 2025
- 422
- 489
Washia ni makafiri sawa na wayahudi , wanaswara na wahindu!Washia sio waislam ila ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Washia ni makafiri sawa na wayahudi , wanaswara na wahindu!Washia sio waislam ila ?
Kwa mtazamo wako hata wewe ni kafiri vile vileWashia ni makafiri sawa na wayahudi , wanaswara na wahindu!
Jibu swali wewe ni Sunni ?Mimi ni muislam ninayejitahidi kushikamana na mafundisho ya Mtume Muhammad (Swalla Allaahu 'alayhi wa aalihi wa sallam) na maswahaba zake na watu wema waliotangulia katika Dini.
NimeshakujibuJibu swali wewe ni Sunni ?
HujajibuNimeshakujibu
SawaHujajibu
Shia ni waislam au sio waislam ?1. Iran ni Nchi ya Tatu Duniani Nyuma ya Urusi na Usa kwenye Kutoa ma Injinia Duniani, Ma Injinia wake wanajulikana Dunia nzima mpaka Nchi kama Usa wanaaminiwa kuongoza project kubwa, mfano Project ya Mars. Drone zao zimechachafya vita ya Ukraine huko, wao ndo wamefanya leo ukifanyiwa Upasuaji wa Kichwa possibility ya kufa ni ndogo etc ipo top 20 kwenye nchi zenye Mchango mkubwa wa kisayansi Duniani, wanashika hadi nafasi ya 15
2. Saudi Arabia hasa Chuo chake cha mafuta ni Chuo cha pili kwa ubora wa mafuta duniani, wamegundua mambo mengi na mwaka 2023 ime rank chuo cha 3 Duniani kupewa Patents Usa.
ITT News
ri.kfupm.edu.sa
Hao Saudi Arabia wana wanasayansi wao wengine kama Hayat Sindi Mgunduzi wa Mobile laboratory Zisizo tumia umeme, leo hii Unaenda pharmacy kununua Vikaratasi vya kupima mimba, Ukimwi, Hormony etc unajipima mwenyewe nyumbani huyu dada Ana mchango mkubwa kwenye Hio sector.
Saudi wapo top 30 ya Nchi zenye Output kubwa za Kisayansi
3. Uturuki tunaijua, Leo hii tunaona kina Antonio Conte wanaenda Uturuki kufanyiwa Upasuaji wa kuondoa Kipara, Tumeona Pfitzer Chanjo ya COVID ikitumia Technology ya Waturuki, Silaha zao zimefanya Vizuri Ukraine etc nayo ipo top 20 ya Nchi zenye Output kubwa Kisayansi.
Katika Nchi 30 ambazo zinaongoza publication za Kisayansi Duniani kuna Nchi 7 za kiisilamu Iran, Saudi, Uturuki, Indonesia, Malyasia, Egpty na Pakistan.
So sio kweli kwamba 99.9% ya invention hazitoki kwa waisilamu.
Shia wapo wengi na imani tofauti tofauti ila in general ni waisilamu.Shia ni waislam au sio waislam ?
Mashia hawa wanayo amiin waislamu....kama inabisha waulize mtume mtume wao ni Nani?kama washia sio waislam ni kina nani? BAKWATA nao ni kina nani maana wanatofautiana na wale kina Ponda.
Sawaaa na wewe Shia...Shia ni Waislamu acha ubaguzi wa kijinga wewe. Wewe kafir
Sio waislam chiziShia ni Waislamu acha ubaguzi wa kijinga wewe. Wewe kafir
hujatembea wewe nani kakuambia hakuna wamasai waislam wengi? nenda pale Makuyuni mbele kidogoChina waislam ni kama kutafuta waislam kwa wamasai.
Waarabu walipewa mafuta ila hawakuyatambua mpaka wazungu walipokuja kuyachimba na kuweka teknolojia zao..mwaarabu anakula mlahaba na kodi tu,ila mmiliki wa mafuta ni mzungu ndio mana huwezi nunua mafuta bila USD
Tukiishi hivyo mtakuja tu na shida zenu kama mnavyo shuka kila siku zanzibarMfumo wa dini ya kiislam unatekelezeka kwenye jamii ya waislam tupu
Kwa Tz kama waislam wanapenda hizo sharia zao basi wajimegee mikoa yao waishi wenyewe huko na sharia zao
Kwahiyo sasa hivi wamekengeuka kabisaYani Saudia imeleta shida duniani na wahabi yake ila sasa hivi wao hawafuati Wala hawataki sikia mambo hayo
Babu shia sio waislamShia ni Waislamu acha ubaguzi wa kijinga wewe. Wewe kafir
Kumbe anayewaita wenzie kafr naye anaitwa kafr?Wahhabi wanawaita wenzao makafiri
Shia wao dini gani?Babu shia sio waislam
Soma uslam vzr then soma ushia utajua tofauti zaoNikasome wapi ?
Hao jamaa wanaitana majina mabaya sanaKumbe anayewaita wenzie kafr naye anaitwa kafr?