Mwislam by choice
JF-Expert Member
- Sep 23, 2017
- 361
- 471
Trump anasema walioanzisha na kufadhiri makundi ya kigaidi ni USAid na evidence ziko ww unakuja na hoja ya kijinga duuuuhWahhabi ndio wanaozalisha magaidi
Magaidi wote wanatokea humo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Trump anasema walioanzisha na kufadhiri makundi ya kigaidi ni USAid na evidence ziko ww unakuja na hoja ya kijinga duuuuhWahhabi ndio wanaozalisha magaidi
Magaidi wote wanatokea humo
Ww utakua shiaWahhabi wanawaita wenzao makafiri
Hao Mashia na Ahmadiyya si Waislamu!!!Waislamu bila kujali ni Wasunn,Wahabi,Washia,Wahamadia ni walewale! Wote wanatumia Quran ile ile na Sunna za mtume yule yule.
Ni hatari kwa ulimwengu huu.
Kwamba ni nani?!Mgunduzi wa technologia yote ni nan fuatilia the njoo na hoja ilioshiba
YeahKWa hiyo mashia ni makafiri?!
Well saidSijaona HOJA YA MSINGI
Hakuna MADHEHEBU ya WAHHABISM ila ni jitihada alizozifanya kuwarudisha WAISLAM kwenye UISLAM wa MUHAMMAD rehema na Amani ziwe juu yake!!
Uislam wa ASILI utabaki ule aliokuja nao Muhammad rehema na Amani ziwe juu yake
Well saidSijui umekopy katika kitabu na mashia kipi but ukisikia wahabi ujue kua hilo jina wamepewa na mashia na masufi but hamna mtu wa sunnah anajiita wahabi but ukiwa na msimamo wa kufuata sunna na kukemea uzushi mashia na sufi wanakuita wahabi so hiyo kitu umetoa wapi huko kuandika miaka ni mbwembwe tu
Na huyu jamaa ni mshia bila shaka yeyote na si mtu wa dini ya kiislam hata kidogo, eti wasunni wanaofuata usufi yaani awe Suni alafu afuate usufi, kichekesho, anasema miji mitukufu ya Karbala, huo ndo mji kauo a yeye ni mtukufu.Umecopy na kupastee mzee Baba....hutaki ata kuumiza kichwa,wa bongo bhna
Hizo sifa unazosema za wahab ndo sifa za kila muislam anatakiwa awe nazo...
Nyongeza mashia sio waislam
Wewe ni mfano wa watu katika dini zote ulimwenguni, hakuna mtu wa dini fulani akaacha alichoamini akaja kusifia asichoamini hata kama kakisoma na kukielewaMuhamad aliwapotosha Waarabu kwamba yeye na Uislamu wameandikwa katika Biblia. Wakamuamini. Wafuasi wake baada yake walipomtafuta Muhamad na Uislamu katika Biblia na kumkosa, wakaja na lawama kwamba Wayahudi na Wakristo wamebadilisha maandiko. Mpaka leo waislamu wanatusumbua huku na huku kwamba tumebadilisha maandiko na ndio maana Muhamad haonekani ndani yake.
Muislamu akiisoma Biblia jua hapo anasaka makosa tu na si ujuzi. Na ndio maana mtoto wa kislamu yoyote akiisoma Biblia kwa minajiri ya kutafuta wokovu, moyo wake taratibu utahama toka kwa Muhamad hadi kwa Yesu. Na ndio maana Biblia huko Arabuni ni maarufuku, na muislamu akishikwa nayo anauawa. Dini ya kibabe.
No maridhiano
Nini umesema?Wewe msunni ndiye muislamu?
Haya ni salafi au WAHHAB?
Ambao ni waislam wewe ni Sunni ?Ni mashia
Nikasome wapi ?Shia sio waislam kasome tena
Sijakuelewa kidogoAmbao ni waislam wewe ni Sunni ?
Mfumo wa dini ya kiislam unatekelezeka kwenye jamii ya waislam tupuHao wanaonekana kuwa Wana msimamo wa kati, wenyewe kwa hiari yao wameamua kuacha mafundisho ya Quran na kuendana na mifumo iliopoa kwa maana wamegive it up
Hao ndio masheikh waokoteza aya nyepesi nyepesi wakiacha zile ngumu ili kuendana na mfumo
Kwenye jamii maovu ni mengi sana na Vita ni kubwa katika kuhakikisha maovu hayo yasitendeke na watenda maovu sio tu wa dini zingine hata wenye majina ya kiislam hutenda maovu ambayo ukiyakanya kwa kutumia mfumo wa dini utaonekanwa mwenye msimamo mkali wa kidini
Hivyo masheikh wameamua kwa hiari yao kuacha kukanya maovu yanayotendeka kwa kuacha mafundisho ya Quran Bali kutafuta zile aya nyepesi nyepesi ili kuendana na kinachofanyika
Wasunni au wahab ndio walioshika dini kisawa sawa na ukitekeleza kwa vitendo changamoto ni kuwa nchi kama Tanzania yenye jamii mchanganyiko na nchi zingine zenye mfanano huo lazima wakuite gaidi na majina mengine yasiyofaa kwakuwa mifumo ya nchi haiongozwi kidini
Yesu alifundisha kufuata mafundisho yake sio kuilinda dini maana kila mtu atahukumiwa kwa matendo yake mwenyeweIla siyo wakuwalaumu na kuwabeza. Unaona walivyosaidia kulinda dini yao. Ukristo nao ulikuwa kama wahabi ulilindwa sana sasa unaona sasa hivi wagalatia tuko legelege tu wakati sisi ndio tuko kwenye nuru na tunaifuata kweli.
Mifumo ya dini haingiliani hata huo ukiristu hautekelezeki kwenye jamii ya watu wa dini nyingineMfumo wa dini ya kiislam unatekelezeka kwenye jamii ya waislam tupu
Kwa Tz kama waislam wanapenda hizo sharia zao basi wajimegee mikoa yao waishi wenyewe huko na sharia zao
Wewe ni Sunni ?Sijakuelewa kidogo
Nishati ya mafuta inatoka kwa mwarabu.waarabu
Shia ni Waislamu acha ubaguzi wa kijinga wewe. Wewe kafirUmecopy na kupastee mzee Baba....hutaki ata kuumiza kichwa,wa bongo bhna
Hizo sifa unazosema za wahab ndo sifa za kila muislam anatakiwa awe nazo...
Nyongeza mashia sio waislam