Wahhab kundi lenye itikadi kali ndani ya uislamu

Abood Rogo.
Nimekumbuka mbali sana.
 
Jikite Kumuhudumia Mumeo Aziz ki.
Haya unayojadili huna ujuzi nayo.
 
Endelea na usufi wako
Sheikh, haya ni masuala ya kidini na ni ibada.

Umetoa hukumu ya maneno yako na wapo waislamu wamesoma andiko lako na kwa msingi huo upo baina ya vizito viwili.

Imma kama ulichokiandika ni kweli uwagawie pepo. Na kama ulichokiandika si sahihi basi umeenda kinyume chake.

Hivyo kwa namna moja ama nyengine hukumu yako itabeba hukumu ya wengine siku ya kiyama, unapaswa kulitafakari hili kwa kina zaidi.

"eti wasunni wanaofuata usufi yaani awe Suni alafu afuate usufi, kichekesho"

Nimekuuliza swali kwa kusema mimi mababu zangu ni sunni na wanafuta usufi.

Nikamalizia swali, kwani usufi ni nini?

Nakuuliza tena, usufi ni nini?
 
Hee yaani kutahiriwa nako ni mpaka ufuate maandiko ya dini? Kutahiri kulikuwepo toka enzi za mababu. Na ilikuwa ni sherehe kabisa na vijana wanapelekwa sehemu kwa ajili ya mafunzo maalum.
 
Kumbe wezao walikuwa wanapambana kujijenga kisiasa lakini huku wanatukanana kisa itikadi
 
Hee yaani kutahiriwa nako ni mpaka ufuate maandiko ya dini? Kutahiri kulikuwepo toka enzi za mababu. Na ilikuwa ni sherehe kabisa na vijana wanapelekwa sehemu kwa ajili ya mafunzo maalum.
Wamasai na wamang'ati wanatahiliwa huko maporini na hata dini hawazijui
 
Ndio uislamu unamakundi mengi ya ndani, na makundi mengi yamejipambanua na yanatambulika kwa majina yake.
Ila hili kundi linaloitwa wahhabi halipo, kwa maana 2

1. Hao wanaoitwa mawahab wao wenyewe hawajiiti mawahab
2. Huyo sheikh Muhammad ibn Wahab, wapo wanaokubaliana na mafundisho yake, lakini sio katika kiwango cha kusema ni wafuasi wake, au ni kama kikundi fulani kinachomfuta yeye tu pasi na kumfuata mwingine katika wanachuoni.

Hivyo hiyo itikadi wahabism haipo.
 
W
Kama wanateknolojia kubwa hivi, kwanini hawatengenezi vifaa kama simu, TV, Mitaala ya Elimu, Sabwoofer, Operating System n.k
Pamoja na mchina kucopy vitu vya mzungu ila vifaa ninazotumia humu ndani kwangu 100% havitoki kwenye za nchi kiislamu.
Wabongo ni shida. Badala kujiuliza sisi kama watanzania tunajivunia kwa lipi tuko busy kulinganisha sijui waarabu na wazungu. Ukienda huko kwao wala hawajali kama wewe ni muislam au mkristo, wao wanakuweka kwenye kundi la black african.
 
Kwani ushia ni dini? Unajifanya una diniiiiii
 
Abood Rogo.
Nimekumbuka mbali sana.
Wapo wengi tu ambao hatunao tena walijaribu kutekeleza maandiko ya Quran kikawakuta cha kuwakuta

Mifumo ya dini zote hutekelezeka sehemu yenye watu wanaoiamini dini hiyo vinginevyo ni vita
 
Hizi issues za ushia, usuni, udini, ukafiri, ukristo na takataka za aina hii wala hazituhusu waafrika basi tu shobo zetu kufuatilia mambo ya wageni.
Tangu lini mtu mweusi akatambulika katika dini za hawa weupe?, ukristo hauwatambui, uislam vile vile, sasa ninyi shobo za nini kufuatilia mambo yasiyowahusu?.

Kama wao na Miungu yao na dini zao sisi tunahusikaje? Inafika wakati mtu wa Njombe nae anamkosoa muislam wa uarabuni dini ilikoanzia, yani wewe unajiona mjuaji kuliko hao walioanzisha hizo taratibu zao za kijinga.

Bila hizi dini mbili za uislam na ukristo basi dunia ingekuwa sehemu salama sana, tafauti na hivi leo, mambo mengi ya hovyo yanafanywa na hao hao wafuasi wa dini mambo ambayo hata mnaowaita wapagani hawayafanyi mfano ushoga, mauaji, chuki, ubinafsi, wivu, kejeli, rohombaya hivi vyote vinafanywa na wafia dini ambao wanaaminisha ni dhambi,

amkeni jamani mnapoteza muda ktk hizo ngonjera za watu weupe.
 
Kwani ushia ni dini? Unajifanya una diniiiiii
Sheikh, kwa heshima na taadhima fuatilia maneno yangu.

Kutoka kwako uliandika sunni hawezi kuwa sufi.

Nikatoa ushahidi kuwa babu zangu ni sunni na vile vile ni masufi.

Ndipo nikakuuliza kwani usufi ni nini?

Suala si ushia, suala ni baina ya usufi na usunni!

Na by the way, mimi ni sunni.

Na lengo la kukuuliza hivi ni kwa sababu nataka kufananisha baina ya kwao nilichojifunza kuhusiana na usufi baada ya kuwauliza na uthibitisho waliyonifahamisha nilinganishe na ushahidi wako kwa hayo ambayo uliyoyazungumza baina ya usufi na usunni.

Karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…