Wahindi na Bunge Kurushwa Live!

tatizo la Tanzania wala si CCM ama CDM, tatizo la Tanzania ni watanzania...WAtanzania wanaendekeza masihara masihara kwenye kila jambo..Maisha bora hayawezi kuja kuangalia TV wakati wa kazi

wewe tafiti Kwenye call centre za wahindi utaona TV .usimfatishe huyo ----- nazi
 
Mleta uzi alitakiwa kuwapongeza watz kwa kuwa na mwamko wa kufuatilia msitakabali wa taifa lao.
 
Kwa hiyo bunge la katiba limeanza Miaka kadhaa wahindi wakiwa kiuchumi 0% wakaacha kuliangalia mpaka wakafikia 85% au leo leo kwa wao kutoliangalia ndo wametupita?
 
Viongozi wote muhimu wako kwenye "speed dials" za wafanyabiashara wa kihindi.Huo ni uzoefu wangu mimi personal.Sasa watizame bunge ili iweje.Unless uwe unazungumzia kuhusu kuangalia tv muda wa kazi.Kama ni break time lunch room sioni tabu.
 
Na wahindi hushinda kutwa nzima kwenye biashara zao,sisi hujiona mabosi na kuranda randa mtaani huku biashra ikiwa haina mmiliki
 
Viongozi wote muhimu wako kwenye "speed dials" za wafanyabiashara wa kihindi.Huo ni uzoefu wangu mimi personal.Sasa watizame bunge ili iweje.Unless uwe unazungumzia kuhusu kuangalia tv muda wa kazi.Kama ni break time lunch room sioni tabu.

Na hiyo ndio Hoja yangu kubwa, kwamba SIO Sahihi kwa Serikali kuruhusu watu kuangalia Bunge live Muda wa kazi, inadhoofisha Ufanisi!

 
Na hiyo ndio Hoja yangu kubwa, kwamba SIO Sahihi kwa Serikali kuruhusu watu kuangalia Bunge live Muda wa kazi, inadhoofisha Ufanisi!

Ni sawa tu,lakini serikali hiyo hiyo imo mifukoni mwa wahindi.
 
Ni sawa tu,lakini serikali hiyo hiyo imo mifukoni mwa wahindi.

Sasa ni kwanini? Kwanini isiwe mifukoni mwetu kama sisi ni zaidi ya asilimia 98 (98%) ya Watu wote waishio nchini mwetu?

 
Kijakazi II, nenda Barclays Alfa House Branch...utakuta TV, na hata bunge la leo lilionyeshwa katika runinga zao! tafiti umefanyia wapi na wapi kama anavyouliza mkuu Ritz?

Bunge hili ni kwa ajili ya watanzania, na katiba inayotarajiwa kutungwa ni kwa ajili ya watanzania! Ni bunge la historia katika nchi yetu.....na hao wahindi na ukwepaji kodi wao, na janja yao kuwahonga viongozi wetu ni moja ya ajenda ndani ya katiba!

Waambie kabisaaa hao wahindi wako, wajitayarishe kuja kuishi na sisi manzese maana huko town wanakoishi soon tutajichanganya nao!
 
Sasa ni kwanini? Kwanini isiwe mifukoni mwetu kama sisi ni zaidi ya asilimia 98 (98%) ya Watu wote waishio nchini mwetu?

Hivi asilimia 98 wanaweza kupewa dili la pesa za akaunti uswisi?Ama hujafuatilia yale just kwa kuanzia kama huna habari?
 


Na hapo Ndipo Udhaifu wetu unapoanzia!
Kwa nini ukajichanganye nao Town?
Huko Upanga Si wamekujenga wao wenyewe? Kwani kulishuka kutoka Mbinguni?
Kwa nini wao wasiseme waje wajichanganye na sisi Manzese?
Yaani, kwa nini tusiijenge Manseze iwe nzuri na ya kuvutia ili wao watamani kuja kuishi kwetu badala ya sisi zaidi ya 98% ya Wananchi kutaka kuhamia kwao ambapo wamepajenga?

Tatizo liko hapo, kwa nini unafikiri una haki kuchukua kwa nguvu kile ambacho haujakijenga? Msajili zote mjini wamejenga wenyewe kwa juhudi zao, na sisi tujenge Upanga yetu, au Kisutu yetu ili watufwate ukichukulia sisi ndio wengi na sio kinyume chake!

Nitapitia hilo Tawi kesho kujiaminisha kama nikijua lilipo!

 
Mleta mada ni kijakazi wa wahindi ambae haruhusiwi kuingia na suruali yenye mifuko kazini.

muda wa kutoka anakaguliwa hadi kwenye mfereji wa suezi.

laini ya simu inasjiliwa kwa jina la Mhindi.

haruhusiwi kukamata hela yoyote zaidi ya nauli ya daladala anayopewa na mhindi.

hivyo msameheni bure.!!
 
Kwa kuanzia soma hapo chini kwenye wikipedia, kwanza kulingana na wikipedia hata idadi yangu nimezidisha zaidi ya mara 3! Ukishamaliza hapo kama bado hujaridhika tunaweza kuendelea!

http://en.wikipedia.org/wiki/Indians_in_Tanzania

Wewe kijambio kinakuwasha siyo bure.
 
Wewe kijambio kinakuwasha siyo bure.

Hilo mbona kawaida tu, kama umesoma hata Bailojia ya Shule ya msingi usingeshangazwa na hilo! Kuwashwa ni kitu cha kawaida sana maadamu mwili haujafa bado, hivyo sielewi unamaanishia nini!

 
hivi we si muuza mapera kwa wahindi pale kwenye corridor za Kisutu wewe! Kila mhindi mwanamke unamuita mama hata msichana wa primary. Labda nimekufananisha,sidhani lakini.
 

Mantiki ya hoja hii, nadhani mleta hoja katumia tuu kama mfano wa kuangalia bunge kipindi cha kazi, kwa mtazamo wangu imejikita kwenye ukweli kwamba tunatumiaje muda wetu ipasavyo kwenye uzalishaji? (iwe ni shughuli yako, umeajiriwa serialini au in private offices/companies). Tuwe wakweli unaweza kweli, hata ukuacha wahindi ukute wafanya biashara wengine (say wachaga au wakinga) aache biashara yake aangalie bunge the whole day/week/moth? Je waweza kuingia kwenye makampuni makubwa ukute hayo during work hour? (ambapo watu wanalipwa kwa masaa?) It is high time kuwashauri wahusika kwamba vipindi hivi, ambavyo ni muhimu, virekodiwe na media mbalimbali ili jioni wale wasiopata nafasi waweze kuona na hii ndiyo kazi hasa ya TBC lakini cha kushangaza utakuta vipiondi hivi muhimu wao jioni wanaonyesha harusi na send off za watu!!
 
Mkuu kijakazi, wewe endelea kukazana kuwatetea hao watu lakini kikubwa uelewe hao watu sio!

Karibu migogoro yote ya ardhi inayoendelea hapa nchini na kujenga maeneo ya wazi wao ndiyo wapo behind!

Dada zako weusi wao wanawachezea wanavyotaka, lakini wewe (Kijakazi II) hawakuruhusu uwaguse dada zao unless una nafasi katika serikali, na ndugu zake wananufaika through you!

Soka la nchi hii wao ndiyo wameliua! Kina Azim na mwenzie Gulamali kwa kuanza kupanga matokeo ya mechi kwa kuhonga waamuzi na timu pinzani!

Kupitia fedha zao, walizidhoofisha timu kali kama Pamba, Ushirika Reli Coastal nk, kwa kuwachukua wachezaji wao nyota amabo walikuwa wanaunda timu ya taifa, na kuwatupia timu za Yanga na Simba! Nani asiyejua Mechi ya Simba na Stella Azim alituletea picha la kihindi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…