UsikaririIla second,3rd na 4th Ni njia za kupoteza malengo yako maishani
Nimenote ..., statement yako!Usikariri
Washkaji zangu wenye Two wamekosa Kila chuo
Badala ya kuangalia maisha yako, unaangalia maisha ya fm6 leaverForm 6 leaver ,tuliwaambia ,mmefaulu Sana fanyeni maamuzi sahihi
Selection za mwaka huu, nadhani zimewapa SoMo kubwa Sana,kuwa na sifa sio kigezo Cha kuwa selected!
"Mlifaulu Sana" hata kwenda chuo hakuna DVC wa chuo ataacha Div one 3 achukue one pts 7,
Mliopata hongereni, ambao bado msikate tamaa!
Ila second,3rd na 4th Ni njia za kupoteza malengo yako maishani
Wanaangalia first choice tu iendane na matokeo , unakuta kaiomba hiyo lab lakini ni 2nd choice af first akaomba dental au MDIla kweli,kwani waliangalia nini hasa mwaka huu.Dogo wa pcb mwenye BBC ameachwa kote kabisa hadi Labaratory nayo kakosa.
Hizi ni roho mbaya tu lolForm 6 leaver ,tuliwaambia ,mmefaulu Sana fanyeni maamuzi sahihi
Selection za mwaka huu, nadhani zimewapa SoMo kubwa Sana,kuwa na sifa sio kigezo Cha kuwa selected!
"Mlifaulu Sana" hata kwenda chuo hakuna DVC wa chuo ataacha Div one 3 achukue one pts 7,
Mliopata hongereni, ambao bado msikate tamaa!
Ila second,3rd na 4th Ni njia za kupoteza malengo yako maishani
Kila mtu na bahati yake kwakwelii.Pia kuna waliopata matokeo ya Chuo leo wanafurahi kuvaa majoho soon ila baada ya kuvua joho tuwambie au tuwaache!!!
CompetitionIla kweli,kwani waliangalia nini hasa mwaka huu.Dogo wa pcb mwenye BBC ameachwa kote kabisa hadi Labaratory nayo kakosa.
Wakaribishe mtaaniPia kuna waliopata matokeo ya Chuo leo wanafurahi kuvaa majoho soon ila baada ya kuvua joho tuwambie au tuwaache!!!
Competition brotherHizi ni roho mbaya tu lol
Sasa wanahisi watapata kcmc Lisa private nako chaliii
Mwaka jana hadi mwaka juzi mpaka div 3 wanapa first selection.Washkaji zangu wenye Two wamekosa Kila chuo