Wahitimu wa vyuo vikuu wengi wana depression. Vijana ambao hawajavuka hata form 4 wanazidi kujipata tu, sababu hawana aibu na hawajipi class ya juu

Wahitimu wa vyuo vikuu wengi wana depression. Vijana ambao hawajavuka hata form 4 wanazidi kujipata tu, sababu hawana aibu na hawajipi class ya juu

All iko kwenye ma

Elimu ya chuo kikuu ni muhimu lakini karama ya kuzalisha pesa ni muhimu kuliko elimu ya chuo kikuu cha sasa.​


average age ya kuhitimu ama kumaliza digrii ya kwanza Tanzania ni miaka 24. vijana wengi waliohitimu chuo wana msongo mkubwa wa mawazo. sababu ajira hakuna. na pia elimu imewaweka daraja la juu hawawezi kufanya kazi za chini.

huku vijana ambao hawakupata elimu kubwa wao maisha yanawaendea vizuri tu. sababu wanafanya kazi yoyote hawajajipa daraja lolote la maisha.


mfano kijana Misso misondo ana miaka 24 na amenunua gari yake ya kwanza

View attachment 2939893




mfano wa pili binti nayce moshi konda maarufu Tilisho ana miaka 24 amenunua gari yake ya kwanzaView attachment 2939892
Its all mindset, while vyuo vikuu huwa wanaaminishwa wao ni special , wana deserve kazi za juu. Hawa formfour huku chini walishakubaliana na hali, they know wasipo hustle hawafiki mahali, so wame build in mind kukubaliana na hali, na ku fight. They simply have no ego. Wasomi in the other side they have ego
 
Hao unaosema wamezaliwa maisha duni au wamesoma shule za chini wengi wao ndio wanapata shida ukubwani. Mzazi anayeweza kulipa ada ya chekechea mpaka chuo, huyo hana nyuma ya tende na baskeli. Mzazi huyo yuko more likely kumiliki assets au biashara au ajira kubwa zinazomfanya aweze kumuwezesha mwanae aliyesoma private. Yani mtu atoe mamilioni kusomesha ashindwe kutoa mamilioni kama mtaji?

Meanwhile, mtoto wa muuza gongo ambaye alikuwa anarudishwa nyumbani kwa kukosa kuchangia sado ya mahindi na maharagwe shuleni mzazi wake yuko more likely kutokuwa na assets, cash, ajira nzuri wala maisha safi. Mzazi aliyekuwa anakosa hela ya mtoto kunyoa nywele saloon atapata wapi mtaji wa kumuwezesha mwanae akishasoma kwa mkopo? Miujiza.

Wanafunzi waliosoma kayumba wengi sana ndio waliofeli, nia na uwezo anao ila msingi wa kuanzia hana. Watoto wa kishua kibao darasani alikula hajui Algebra wala Thermodynamics ila kwamba ukimpa duka la jumla anashindwa kuendesha?

Na iko hivi, hata huyo aliyesoma private tupu baba yake asimuwezeshe bado ana cycle ya wenye uwezo tofauti na kayumba ambaye cycle yake imejaa bodaboda, wajenzi na wacheza ndondo ambao hata kumchangia 10,000 mpaka mkimbizane.
Sina cha kuongezea sisi watoto wa kimasikini hatuna connection kabisa, tofauti na hao wa kishua
 
Jamani acheni kuwafanya watu wasuone umuhimu wa Elimu maana kama ni swala la mafanikio wengi ambao hawajasoma ndio wanapata tabu sana kuliko amabao wamesema uzuri namba hazifanganyi kila mtu anajua hali ya kwao na mtaani kwao!

Msio soma huwa mkipata mafanikio kidogo mnaanza kuona elimu haina maana kwakuwa mmepata…
Jamani Elimu ni hazina someni ,wapelekeni watoto shule tena shule nzuri ikiwezekana…

Hata mtoa mada pengine ulikwenda shule lakini haukupata elimu ndio maana una kejeli na unadhani kuwa na gari ndio kipimo pekee cha mafanikio… watu msio penda shule au elimu mko tayari kuiba au kuuwa ili mdhibitishe tuu kuwa elimu haina maana!

Hivi hata kwa akili yako kidogo kweli tukichukua takwimu za mateja na wala unga tutapata wengi ni wapi kati ya waliosoma na ambao waliosoma? Uzuri macho na namba huwa havidanganyi tazama wanaokuzunguka!

Hata ukiwachukua waliosoma na ambao wamesoma na ukapima kiwango cha msongo utapata jibu na uzuri namba hazidanganyi !

Mtu asiyesoma akipata mafanikio amshukuru Mungu lakini sio hoja ya kudhibitisha kuwa Elimu haina umuhimu maana mafanikio ni mchakato !

Elimu Elimu Elimu Elimu ni hazina kuu
 
Baada ya kumaliza chuo miaka mi 3 tu akili huwa inakaa sawa huwezi kuendelea kuchagua kazi labda uwe na kichwa kigumu au umetoka wealth family.

Muda mwingine kufanikiwa kwenye maisha unahitajika uwe na vitu flan vya ziada , hata dunia nzima tungekua ni watu wenye kiwango kimoja cha elimu bado waliofanikiwa na wasiofanikiwa wangekuwepo tu.
 
Jamii forum hii,,, kwa upande wangu wasomi wasiogope maisha na wasiogope jamii inaonawaonaje!!! Na kufanya kazi za kuajiriwa ni kipaji jamani nilipata kazi huko kijijini aisee nilivyoenda kuripoti sikurudi Mungu anisamehe!!! Yale mazingira na mshahara nililinganisha biashara na mishe zangu nikaona ujinga huu nikaachana nayo.. Kuhusu wanangu watasoma shule ambayo nina uwezo nayo na sitalazimisha mtoto asome hata kama hana akili huko ni kupoteza muda ni bora aende ufundi au kitu anachoona anaweza afanye.
Maisha yamebadilika kuliko kijana apate msongo wa mawazo ni bora aingie mtaani ajichanganye wakati akitafuta ajira
 
Watu wasiosoma huwa mnajifariji sana. Yani mtu mwenye leaving certificate kununua IST au Alphard tiyari ni ishara ya wasomi kuwa maskini na wenye chuki?

Unashindana na watu wasioshindana nawe. Tumia nguvu zako kuishi maisha yako, ukute hakuna anayekuwa inspired nawewe infact hata ukifa leo kuna watu msibani kwako watavimbiwa au kulewa pombe bila kusikitika juu yako.

Huwezi kuwa satisfied maishani kama utaishi kwa kushindana na watu. Ukiona umenunua IST, msomi akinunua Mark X unajawa chuki. Ukinunua Harrier msomi mmoja akatembea kwa miguu unavimba ila mwingine akiwa na Ford Ranger unajawa chuki.

Wewe fanya wanao waishie Form 4 ili wawe makonda kama huyo binti au wacheze kwenye vumbi kama Misondo uone😂
Thread closed!
 

Elimu ya chuo kikuu ni muhimu lakini karama ya kuzalisha pesa ni muhimu kuliko elimu ya chuo kikuu cha sasa​

Average age ya kuhitimu ama kumaliza digrii ya kwanza Tanzania ni miaka 24. Vijana wengi waliohitimu chuo wana msongo mkubwa wa mawazo sababu ajira hakuna. Na pia elimu imewaweka daraja la juu hawawezi kufanya kazi za chini.

Huku vijana ambao hawakupata elimu kubwa wao maisha yanawaendea vizuri tu. sababu wanafanya kazi yoyote hawajajipa daraja lolote la maisha.

Mfano kijana Misso Misondo ana miaka 24 na amenunua gari yake ya kwanza.

View attachment 2939893

Mfano wa pili binti Nice Moshi konda maarufu Tilisho ana miaka 24 amenunua gari yake ya kwanza.

View attachment 2939892
Hizi nyuzi kipindi hiki ni nyingi kwelikweli enzi za kikwete hazikuwepo
 
Wewe umepaniki.. uzi umeeleza kutojipa daraja. Kufanya kazi yoyote.

Kisha wakawekwa walio mifano wachache wanaofanya humble jobs na age zao.

Kwa ufupi mimi binafsi nina elimu na Mungu kanibariki maisha ninayo. ukitaka njoo tuonane. nikuelekeze ofisini kwangu uje ama nyumbani uje uone uhalisia wangu

Huu uzi ni kumotivate wasomi waache kujipa daraja la juu na wasichague kazi. Na wala wasijipe daraja.

Maana ukweli mchungu wahitimu wengi wa zama hizi waliopo age under 30 wana msongo wa mawazo sababu hawana kipato.

Wanapaswa wabadilike wasichague kazi.

Mfano hai Mwijaku ni msomi ila hachagui kazi. Amejishusha anaonekana mpuuzi ila maendeleo yake yanaonekana
Mafanikio ni kitu subjective sana na Debatable.
Mimi Mafanikio yangu nikipata Mwanamke Mweusi, shape kiaina, na Mwelewa basi!!! . Wewe na hummer yako hunitishi.😂
 
Ila wabongo ss mtu kumiliki gari ndo mafanikio mfano huyo miso misondo kanunua gari halaf kuna msomi kajenga nyumba ila hana gari so utasema miso misondo ana mafanikio makubwa kuliko huyo msomi sababu kanunua alphard
 

Elimu ya chuo kikuu ni muhimu lakini karama ya kuzalisha pesa ni muhimu kuliko elimu ya chuo kikuu cha sasa​

Average age ya kuhitimu ama kumaliza digrii ya kwanza Tanzania ni miaka 24. Vijana wengi waliohitimu chuo wana msongo mkubwa wa mawazo sababu ajira hakuna. Na pia elimu imewaweka daraja la juu hawawezi kufanya kazi za chini.

Huku vijana ambao hawakupata elimu kubwa wao maisha yanawaendea vizuri tu. sababu wanafanya kazi yoyote hawajajipa daraja lolote la maisha.

Mfano kijana Misso Misondo ana miaka 24 na amenunua gari yake ya kwanza.

View attachment 2939893

Mfano wa pili binti Nice Moshi konda maarufu Tilisho ana miaka 24 amenunua gari yake ya kwanza.

View attachment 2939892
Wewe una umasikini wa akili ,
Kwanini usingeandika kwamba vijana wa Tanzania wanakabiliwa na msongo wa mawazo na matatizo ya kisaikolojia kutokana na uhaba wa ajira na fursa za kiuchumi na badala yake unakimbilia kusema wenye elimu ya juu ndio victims ,
Umefanya research hiyo wapi na una data zipi na umetumia methods gani kufanya hiyo research na kupata hiyo conclusion yako ya kujiaminisha kwamba hao vijana wasio na elimu wako better off kiuchumi kuliko hao walio na elimu ya juu ?
Unajua sisi kama Taifa tusipokuwa na watu wa kujenga hoja ,kufanya analysis na critical thinking ,hili taifa litaendelea kuwa la kipuuzi sana
Umefanya analysis na research ya kujua ni changamoto zipi wanakutana nazo hao vijana na kusababisha matatizo ya afya ya akili yanayowakuta ?
Hili ni chronic issue Kwa watanzania wengi
Kwa hiyo kununua IST wewe kwako ni mafanikio si ndio ?
Kweli ndio maana Jomo Kenyatta aliwahi sema Nyerere anaongoza maiti , wewe ni miongoni mwao hizo maiti .


Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Wewe umepaniki.. uzi umeeleza kutojipa daraja. Kufanya kazi yoyote.

Kisha wakawekwa walio mifano wachache wanaofanya humble jobs na age zao.

Kwa ufupi mimi binafsi nina elimu na Mungu kanibariki maisha ninayo. ukitaka njoo tuonane. nikuelekeze ofisini kwangu uje ama nyumbani uje uone uhalisia wangu

Huu uzi ni kumotivate wasomi waache kujipa daraja la juu na wasichague kazi. Na wala wasijipe daraja.

Maana ukweli mchungu wahitimu wengi wa zama hizi waliopo age under 30 wana msongo wa mawazo sababu hawana kipato.

Wanapaswa wabadilike wasichague kazi.

Mfano hai Mwijaku ni msomi ila hachagui kazi. Amejishusha anaonekana mpuuzi ila maendeleo yake yanaonekana
Kwahiyo conclusion yako na solution ni vijana ambapo ni non priveledged kiuchumi na kwenye ajira wawe walamba viatu na wapuuzi tu huko mitaani ili mradi kusaka kushibisha tumbo tu , si ndio ?

Na wewe unajiona ni mtu mwenye akili kabisa , na ukakuta una kichwa kikubwa kama papai na unakaa na kutype huu upuuzi

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 
Nimegundua wewe ni Zuzu. Hujui hata maana ya elimu.

Hujui kama mwijaku ni content creator na uchawa ndio Niche yake aliyoichagua ya kuitengenezea content ?
Mwijaku amesomea digrii ya maigizo kutoka department of creative arts ya udsm. Sasa Ulitaka awe anatibu watu kwa digrii yake ya maigizo.?

Nimegundua naongea na mtu mjinga na maskini asiyejua hata maana ya division of labour
We ni zezeta kabisa ,huyo mpumbavu zezeta mwenzako ndio unamuita content creator , content gani aliyo nayo uyo zoba mwenzako , ya uchawa ?
Uchawa nao ni content sikuhizi si ndio ?

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app
 

Elimu ya chuo kikuu ni muhimu lakini karama ya kuzalisha pesa ni muhimu kuliko elimu ya chuo kikuu cha sasa​

Average age ya kuhitimu ama kumaliza digrii ya kwanza Tanzania ni miaka 24. Vijana wengi waliohitimu chuo wana msongo mkubwa wa mawazo sababu ajira hakuna. Na pia elimu imewaweka daraja la juu hawawezi kufanya kazi za chini.

Huku vijana ambao hawakupata elimu kubwa wao maisha yanawaendea vizuri tu. sababu wanafanya kazi yoyote hawajajipa daraja lolote la maisha.

Mfano kijana Misso Misondo ana miaka 24 na amenunua gari yake ya kwanza.

View attachment 2939893

Mfano wa pili binti Nice Moshi konda maarufu Tilisho ana miaka 24 amenunua gari yake ya kwanza.

View attachment 2939892
Kwa hiyo mkuu, kwako mtu akishamiliki gari tu tayari keshatoboza kimaisha?
 
Back
Top Bottom