Wahitimu wa vyuo vikuu wengi wana depression. Vijana ambao hawajavuka hata form 4 wanazidi kujipata tu, sababu hawana aibu na hawajipi class ya juu

Wahitimu wa vyuo vikuu wengi wana depression. Vijana ambao hawajavuka hata form 4 wanazidi kujipata tu, sababu hawana aibu na hawajipi class ya juu

We ni zezeta kabisa ,huyo mpumbavu zezeta mwenzako ndio unamuita content creator , content gani aliyo nayo uyo zoba mwenzako , ya uchawa ?
Uchawa nao ni content sikuhizi si ndio ?

Sent from my Nokia 6.2 using JamiiForums mobile app

ndio uchawa ni content.

content creation inahitaji Niche choosing,

mwijaku amechagua uchawa kama niche yake katika kujenga jina ama brand yake na kupata pesa

mwijaku anapata hela sababu ya brand yake ambayo anaikuza kwa kutumia content za uchawa.

mwijaku ni content creator, ndio maana kila siku lazima atengeneze tukio la kupost kwenye account zake. na kuonesha ni content uchawa anamfanyia mpaka mlinzi wake Matias ama mke wake.

kuanzia nyumbani kwake anaanza kutengeneza content, either na mkewe, ama mwanae ama mlinzi wake matias
 
Jifunze kuelewea hivi vitu

Asset
Liability

Movement
Progress

Long run
Short run

Success
Achievement

Baada ya hapo jiulize wapi uwekeze.

Kufanikiwa au kupata PESA Una we za Ila kuwa na muendelezo consistence inahitaji Kuwa na Elimu ya Fedha , kujitambua na kuwa na mtazamo chanya.

Misondo is doing fine Ila ataendelea to earn such income even a 5 years to come?

Maisha sio mashindano Ila kufikiri vyema huleta mafanikio yenye tija.

Maisha hayaendeshwi na Elimu ya darasani Ila elimu ya darasani inasaidia MTU kutafuta Elimu ya kuendesha MAISHA

Zama za digital market hizi. Kazi za sanaa zina maokoto sana
 
Mtoa Thread

Ushauri wako uko sahihi
Ila kuhusu maisha ya mtaani ni mtazamo wa graduate aji involve na nini after school?

hili linabaki kuwa la mhitimu pekee

Lisichukuliwe ni la graduaties waliokosa ajira.

Pili mfumo wetu wa elimu haumjengi kuanza kujiajiri ila kuajiriwa.
 
Nimegundua wewe ni Zuzu. Hujui hata maana ya elimu.

Hujui kama mwijaku ni content creator na uchawa ndio Niche yake aliyoichagua ya kuitengenezea content ?
Mwijaku amesomea digrii ya maigizo kutoka department of creative arts ya udsm. Sasa Ulitaka awe anatibu watu kwa digrii yake ya maigizo.?

Nimegundua naongea na mtu mjinga na maskini asiyejua hata maana ya division of labour
Thibitisha hiyo digrii ya mwijaku kutoka udsm
 
Mwanafunzi anaesoma shule za kayumba hata akikosa muendelezo wa elimu ya juu au hata akipata elimu ya juu akirudi mtaani hawezi kufeli.

Mwanafunzi anaesoma shule za kulipia kuanzia chekechea asipopata elimu ya juu na hata akipata elimu ya juu, akirudi mtaani bila ya baba kuendelea kumuwezesha hawezi kutoboa.

Isopokua mzazi ukilitambua hili, hatakama una uwezo wa kumsomesha mtoto wako toka chekechea kwa pesa basi jitahidi kumuandaa kwa kujitegemea mapema kwasababu baba akifeli na mtoto anafeli jumla.

Watu wengi hawalijui hili.

Mtoto wa english medium akikosa ajira huwa anashinda amekaa tu nyumbani anaangalia movie ,, hawezi hata kukaanga mihogo auze.
 
Watu wasiosoma huwa mnajifariji sana. Yani mtu mwenye leaving certificate kununua IST au Alphard tiyari ni ishara ya wasomi kuwa maskini na wenye chuki?

Unashindana na watu wasioshindana nawe. Tumia nguvu zako kuishi maisha yako, ukute hakuna anayekuwa inspired nawewe infact hata ukifa leo kuna watu msibani kwako watavimbiwa au kulewa pombe bila kusikitika juu yako.

Huwezi kuwa satisfied maishani kama utaishi kwa kushindana na watu. Ukiona umenunua IST, msomi akinunua Mark X unajawa chuki. Ukinunua Harrier msomi mmoja akatembea kwa miguu unavimba ila mwingine akiwa na Ford Ranger unajawa chuki.

Wewe fanya wanao waishie Form 4 ili wawe makonda kama huyo binti au wacheze kwenye vumbi kama Misondo uone[emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hao unaosema wamezaliwa maisha duni au wamesoma shule za chini wengi wao ndio wanapata shida ukubwani. Mzazi anayeweza kulipa ada ya chekechea mpaka chuo, huyo hana nyuma ya tende na baskeli. Mzazi huyo yuko more likely kumiliki assets au biashara au ajira kubwa zinazomfanya aweze kumuwezesha mwanae aliyesoma private. Yani mtu atoe mamilioni kusomesha ashindwe kutoa mamilioni kama mtaji?

Meanwhile, mtoto wa muuza gongo ambaye alikuwa anarudishwa nyumbani kwa kukosa kuchangia sado ya mahindi na maharagwe shuleni mzazi wake yuko more likely kutokuwa na assets, cash, ajira nzuri wala maisha safi. Mzazi aliyekuwa anakosa hela ya mtoto kunyoa nywele saloon atapata wapi mtaji wa kumuwezesha mwanae akishasoma kwa mkopo? Miujiza.

Wanafunzi waliosoma kayumba wengi sana ndio waliofeli, nia na uwezo anao ila msingi wa kuanzia hana. Watoto wa kishua kibao darasani alikula hajui Algebra wala Thermodynamics ila kwamba ukimpa duka la jumla anashindwa kuendesha?

Na iko hivi, hata huyo aliyesoma private tupu baba yake asimuwezeshe bado ana cycle ya wenye uwezo tofauti na kayumba ambaye cycle yake imejaa bodaboda, wajenzi na wacheza ndondo ambao hata kumchangia 10,000 mpaka mkimbizane.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] una hoja usikilizwee.
 
Watu wasiosoma huwa mnajifariji sana. Yani mtu mwenye leaving certificate kununua IST au Alphard tiyari ni ishara ya wasomi kuwa maskini na wenye chuki?

Unashindana na watu wasioshindana nawe. Tumia nguvu zako kuishi maisha yako, ukute hakuna anayekuwa inspired nawewe infact hata ukifa leo kuna watu msibani kwako watavimbiwa au kulewa pombe bila kusikitika juu yako.

Huwezi kuwa satisfied maishani kama utaishi kwa kushindana na watu. Ukiona umenunua IST, msomi akinunua Mark X unajawa chuki. Ukinunua Harrier msomi mmoja akatembea kwa miguu unavimba ila mwingine akiwa na Ford Ranger unajawa chuki.

Wewe fanya wanao waishie Form 4 ili wawe makonda kama huyo binti au wacheze kwenye vumbi kama Misondo uone😂
 
Wewe umepaniki.. uzi umeeleza kutojipa daraja. Kufanya kazi yoyote.

Kisha wakawekwa walio mifano wachache wanaofanya humble jobs na age zao.

Kwa ufupi mimi binafsi nina elimu na Mungu kanibariki maisha ninayo. ukitaka njoo tuonane. nikuelekeze ofisini kwangu uje ama nyumbani uje uone uhalisia wangu

Huu uzi ni kumotivate wasomi waache kujipa daraja la juu na wasichague kazi. Na wala wasijipe daraja.

Maana ukweli mchungu wahitimu wengi wa zama hizi waliopo age under 30 wana msongo wa mawazo sababu hawana kipato.

Wanapaswa wabadilike wasichague kazi.

Mfano hai Mwijaku ni msomi ila hachagui kazi. Amejishusha anaonekana mpuuzi ila maendeleo yake yanaonekana
Mifano yenye uko unatoa ni yamaster kwani hakuna wasomi waliofanikiwa nawako kwenye fani zao umekazania misondo mwijaku sijui nani
 
Back
Top Bottom