SMART GHOST
JF-Expert Member
- Feb 3, 2020
- 2,657
- 10,356
Thubutuuu!Sahivi ndio wife umemuoa au?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thubutuuu!Sahivi ndio wife umemuoa au?
Sanaa
Oooh ooooh siwezi kuelewa kuelewa [emoji1739][emoji1739][emoji1739].............Sio kama mapenzi ya kawaida,penzi siwez kuelewa kabisa[emoji445][emoji445]
Atakuws ana uaraza kana NEYO labdaSweet love, bonge moja ya sweet raggae, ila Nameless toka nimeanza kumuona sijawahi ona akiwa kichwa wazi
Kichwa Kontena ya kweli haya?akiwa kichwa wazi
No, kwa mwanamke alokubali kuolewa mapema na kuheshimu mume na uanaume wa mume wake ndio hatozeeka kama nyanya iliosahauliwa ikalala jikoni.
Fuatilia vizuri, Toka enzi za sinzia, ikaja salary, ikaja let go jamaa kichwani ana kitambaaKichwa Kontena ya kweli haya?
Tatizo unaandika kwa mihemko, heshima kwa mume na uzee vinahusiana vipi?No, kwa mwanamke alokubali kuolewa mapema na kuheshimu mume na uanaume wa mume wake ndio hatozeeka kama nyanya iliosahauliwa ikalala jikoni.
20s mnaoringa nawasubiri mguse 30s Nmekaa pale
Si anafuga Rasta au?Fuatilia vizuri, Toka enzi za sinzia, ikaja salary, ikaja let go jamaa kichwani ana kitambaa
Pole sana, nini kikafuata baada ya hapo?Ile ngoma yake ya sweetlove. Kipindi hicho niko kwenye penzi jipya dadek. Kila nikisikia hiyo ngoma, then inbox zinaingia sms za binti msupu akijibebisha, nikawa naona dunia yote ni ya kwangu!
Mapenzi ni nyoko!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Mkuu tusamehe 😂😂😂😂No, kwa mwanamke alokubali kuolewa mapema na kuheshimu mume na uanaume wa mume wake ndio hatozeeka kama nyanya iliosahauliwa ikalala jikoni.
20s mnaoringa nawasubiri mguse 30s Nmekaa pale
Hamna alishajifungua ,hapo ni after kujifungua her third babygirl shiruNimemuona leo kwny page ya Akothee...
Nikashangaa tumbo lake kumbe mjamzito?.at her 43 duuuh
Okey..thanx kwa kunijuzqHamna alishajifungua ,hapo ni after kujifungua her third babygirl shiru
Mkuu story ya penzi lako ikaishiajeIle ngoma yake ya sweetlove. Kipindi hicho niko kwenye penzi jipya dadek. Kila nikisikia hiyo ngoma, then inbox zinaingia sms za binti msupu akijibebisha, nikawa naona dunia yote ni ya kwangu!
Mapenzi ni nyoko!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Jamaa si kafuga Rasta huyo huenda ana Imani za wale ma Ras wavaa vilemba.Sweet love, bonge moja ya sweet raggae, ila Nameless toka nimeanza kumuona sijawahi ona akiwa kichwa wazi