Dream Queen
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 8,263
- 18,201
Hakuna aliyebaguliwa hapo CTFM bali hao ni makahaba wanaoenda kujaza viti na kusumbua wateja na kuwaibia wakiwa wamelewa,Halafu huyu ni mmoja wa very respected member humu,Ubaguzi wa rangi it's NOT a joke, binafsi ni generation ambayo in my early 20s chupu chupu tunge m parachute Mr.Mrema State house (kilichotokea ni debate ya another day),ilikua ni kizazi cha push back sio kila wakati una roll over kama unapokua offside kwenye Rugby [emoji464] game,kwa waliosoma Mkwawa CNE wanajua hili push back dhidi ya new Principal, ilipo CTFM ,kulikua na Italian restaurant Jina lake Casanova,pale kuna waiting staff alimeza bill ili kulinda systems ya wizi wa kiboi, alikua shujaa maana angefukuzisha waiting staff wote, kwenye kijiwe chetu pale mbele ya post ya zamani alichangiwa na kuwa looked after mpaka akatafutiwa kazi pale Alcove, hii generation ya sasa ni ya kulalama tu na kukimbiza viajira uchwara
Ndio maana sasa hivi viwanja vingi kuna utaratibu wa Table Reservation kama hujaweka meza huingii ndani na kuanzia saa moja ndio wateja halisi huanza kuingia kwa hiyo hao makahaba unaowatetea huambiwa wapishe meza za wateja waliozizuia kitendo hicho hukiita ubaguzi ila deep down wanajua kabisa wanakosea (ilishatukuta hii Wavuvi Kempu baada ya wadada kunyanyuliwa sie tukae wakagoma hadi walipokuja walinzi ndio wakatoka) kiufupi wahudumu wanawajua vema hao wadangaji na usumbufu wao,
Tanzania hakuna Ubaguzi wa Rangi sio kwa karne hii.