Mkuu kama kazi inaambulika na mwajiriwa anachangia kodi ya Taifa na pia anachangia mifuko ya jamii unawezaje kuiita kazi ya aibu?Usiseme kwamba jamii yetu haistarabika si kweli Bali utamaduni wetu hauruhusu watu kufanya kazi za Aibu zinazokuvua utu wako hatakama unapata kipato cha namna gani.
Hao wazungu huko ulaya unakosema mkuu si kwamba wamestaarabika hapana bali wamekubali kuwa jamii isiyo na mwiko kwenye kufanya vitu vya aibu ndio maana kwao ushoga na kukaa uchi na kuzurula mitaani nusu uchi kwao ni kawaida.
Tusihalalishe ujinga wao kuwa eti ndio ustarabu mkuu
Hata madereva na konda wa daladala matumizi yao wanapokuwa kazini wmajiriwa wa kima cha chini hayawezi kbs! Supu nzitonzito, msosi wa ukweli, maji na juisi ni muda wowote! Na usiku pombe.Hata makuli wa sokoni na stendi wanakula vizuri eg chapati supu asubuhi kuliko waajiriwa.
Kwa hilo kweli. Kama kuna muajiriwa mmoja mke na watoto walalamika hawajala japo utumbo tu mwaka wa 3 sasa wali ndo mwaka wa 5! Ila kwa mtumishi wa aina hii sababu kubwa ni umalaya hakuna jingine!Hata makuli wa sokoni na stendi wanakula vizuri eg chapati supu asubuhi kuliko waajiriwa.
Mrembo kama huyu? Sena wapi hapa nije nimchukue na nifunge nae ndoa ukumbi huo huo
KakaJambazi ulipotelea wapi ndugu.Nimefurahi kuona post yakoHata makuli wa sokoni na stendi wanakula vizuri eg chapati supu asubuhi kuliko waajiriwa.
Ni aina tu ya uandishiNimesoma Makala yako mwanzo mpaka mwisho, nimeweza kuelewa ulichokielezea kuhusu wahudumu wa bar.
Kwa ushauri tu kile kichwa chako Cha habari nadhani hakiendani kwa % kubwa na maudhui uliyoyasema.
Mf ishu Kama kupigwa, kuambukizwa magonjwa, kurogwa, utu wao kudhalilishwa n.k hvyo huwezi kuviita MAISHA MAZURI.
Nb. Isitoshe nae mhudumua kaajiliwa na analipwa laki 1 Kama ulivyosema.
[emoji2484]
Ok.Ni aina tu ya uandishi
BTW kwa sheria za kazi sidhani kama tunaweza kusema wameajiriwa kwa maana ya fomalities zote za ajira
Then ikawaje ?Kuna mmoja alipanga Kwa Sista Chamazi akadai ni muuguzi muhimbili sasa mi nilikuwa nikienda Muhimbili mara kibao lakini hata mara moja sikuwahi kukutana nae kila ukimpigia simu kaenda lunch sasa bahati mbaya siku moja si nika muona sehemu kwenye ka pub anahudumia!!!
Sikumpa hata hi nikapita na shughuli zangu na sikumwambia mtu ikawa siri yangu mkuu.Then ikawaje ?
Duuuuu, kumbe ishu ni kujiheshimu tu.Jamii yetu tu haijastaarabika au ni kwasababu watu wa kima cha chini wengi hudharaulika . Ulaya kazi ya bar tender jioni hufanywa na wanafunzi wa elimu ya juu. Wengi wao ndiyo wanakua bank managers na wataalamu wa uchumi baadae.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji370]Watu muhimu sana hawa kwenye jamii...wanatutoa stress bila usumbufu mwingi
Wake zetu wanapunguziwa mizigo/shughuli na Hawa watu.Watu muhimu sana hawa kwenye jamii...wanatutoa stress bila usumbufu mwingi