Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
[emoji23][emoji23][emoji23]Mmeanza mmeona kutukataza vpn haitoshi mnakuja na huku!,walahi huku tutatoka na uhai wa mtu naona ukimchekea nyani utavuna mabua!
Mkuu sisi walevi ndio tunapenda kutazama mapaja tukishalewaHili ndio. swale ambalo siku zote huwa najiuliza.
Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?
Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi.
Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.
Pumbafu kabosa.
Wenzenu wanateseka, muda wote wanavuta sketi kwenda chini, ila ndio hivyo hazisogei.Mkuu sisi walevi ndio tunapenda kutazama mapaja tukishalewa
Wewe ni mnafiki. Nini kimekupeleka bar, kwanini usiagize uletewe nyumbani kwakoHili ndio. swale ambalo siku zote huwa najiuliza.
Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?
Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi.
Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.
Pumbafu kabosa.
Tumempsta mmoja hapa hapa JF.Wewe ni mnafiki. Nini kimekupeleka bar, kwanini usiagize uletewe nyumbani kwako
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Baa isiyo na wahudumu wanaovaa "nusu mlingoti" sikai
Mawili aidha kuna barmaid mwenye kimini kamvutia ila ni domo zege kashindwa kumpata ama ana demu wake barmaid anaona watu wanamkodolea sana macho.Tatizo nini?
Hata mvua isiponyesha wakulaumiwa CCM😂Na hili nalo lawama ipewe serikali ya Ccm??