Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Hili ndio swali ambalo siku zote huwa najiuliza.
Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?
Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?
Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.
Pumbafu kabisa.
Nani aliwaambia wamiliki wa bar kuwa wanaume tunaenda bar kuangalia mapaja na sio kufuata huduma bora?
Na hili tutasingizia wazungu au utandawazi?
Vidada vingine hata miguu na mapaja havina, ila vinalazimika tu kujianika.
Pumbafu kabisa.