Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
huu ndio ukweli. biashara kama ni bora, inaanza yenyewe kujiuza kabla wahudumu hawajakubembeleza.Biashara kufa ni ubongo mbovu wa mwenye biashara wala sio "Customer Care" bullshit you are talking about here!
Mteja hanunui kitu kwako sababu unaongea kama unatombana chumbani
Mteja ananunua bidhaa sababu hiyo bidhaa ina vigezo anavyovitaka yeye
Mengine hata kuonana na mhudumu haina haja
Itafika kipindi biashara zote zitakua ni self service hutakaa uonane hata na secretary popote
Kasitama Kea Neva Dai Wa Kwetu, Hii Habari Ya Kusema Ubora Wa Bidhaa Ndio Kila Kitu Tunadanganyana TU.Biashara kufa ni ubongo mbovu wa mwenye biashara wala sio "Customer Care" bullshit you are talking about here!
Mteja hanunui kitu kwako sababu unaongea kama unatombana chumbani
Mteja ananunua bidhaa sababu hiyo bidhaa ina vigezo anavyovitaka yeye
Mengine hata kuonana na mhudumu haina haja
Itafika kipindi biashara zote zitakua ni self service hutakaa uonane hata na secretary popote
wapiga miluzi wanaojifanay wafanya biashara wameshapoteana, hawataonekana tena hapa. shwain.Bila Bidhaa Bora kabisa na mifumo imara,Customer Care ni kelele
Kila mtu kachoka hata mteja anachoka,utafute hela kwa shida then nikubembeleze?tatizo shishi food wanajiona masuper starKwa muandika uzi hebu lets think Positive kias maybe mdada alikuwa amechoka since Shishi food iko busy sana baada ya kuchelewa ungempa pole ya kazi na kumuuliza mbona amechelewa kukuhudumia na kwa nini watu wanagombana halafu baada ya hapo ndo ukaanzisha uzi unahisi ungekua na content hizihizi🤔
Watanzania wengi uelewa wao mdogo, elimu ndogo, exposure ndogo utajipa tabu tu kubishana naoPoor chapwa!!
Boss ni mteja. Bila huyo hakuna income utapata. The shops,hotels or whatever they don't exist for the sake of their own bosses or their workers. They exist for the sake of customers..
Kwa ujumla Tanzania tuko nyuma kwa suala la customer care services na lugha zetu kwa wateja. Ndio maana kuna wakati ukienda kwenye hizi hotel kubwa kubwa utakutana na customer care kutoka nchi jirani.
Huez kumfundisha kupenda mtu anaekuchukia kwa kumchukia Bali ni kwa kumpenda so ukikuta negativity wewe add Positivity kwa wahudumu na wao watajifunza kupitia wewe kujua makosa yao na kua positive katika kazi kumbuka ukimtakia mema binadamu mwenzako automatic unaongezewa neema that's law of nature seems like sisi wateja t unajua vizur customer care service klko wahudumu so ni vyema kuwaeleza with love 💗Kila mtu kachoka hata mteja anachoka,utafute hela kwa shida then nikubembeleze?tatizo shishi food wanajiona masuper star
Kazi ya uhudumu haitaki mtu mchafu,kiburi,mwenye stress au mgonjwa.ni kazi ngumu sana ukifukuza mteja mmoja atawaambie wengine kuwa pale hapafai utashangaa uwekezaji mkubwa kakini hakuna brwak evenHuez kumfundisha kupenda mtu anaekuchukia kwa kumchukia Bali ni kwa kumpenda so ukikuta negativity wewe add Positivity kwa wahudumu na wao watajifunza kupitia wewe kujua makosa yao na kua positive katika kazi kumbuka ukimtakia mema binadamu mwenzako automatic unaongezewa neema that's law of nature seems like sisi wateja t unajua vizur customer care service klko wahudumu so ni vyema kuwaeleza with love 💗
NB: DAWA YA MOTO SI MOTO
Kaka inaonekana biashara yako imekuwa sana kiasi kwamba umekuwa boss kuliko mteja, hapa tunazungumzia wafanyabiashara ambao tunagombania wateja, hasa hasa hawa wa migahawa, ukiapply unavyosema hapa biashara yako inakufa mapema tuHivi Dakika 5 nao ni muda?
the same goes hand in hand na ubora wa huduma, ukiwa na huduma bora hata ukiwa na wahudumu wabovu watu watakuja tu, na ukiwa na wahudumu wazuri na bidhaa iyoyo na ubora wahudumu hata watangaze haitasaidia. hata hivyo, kuwa na bidhaa bora ikiambatana na wahudumu wanaojua custumer care nzuri ni muhimu. hii ndio iwe hoja.Kazi ya uhudumu haitaki mtu mchafu,kiburi,mwenye stress au mgonjwa.ni kazi ngumu sana ukifukuza mteja mmoja atawaambie wengine kuwa pale hapafai utashangaa uwekezaji mkubwa kakini hakuna brwak even
Tuwaeleze vijana kwamba ulaya hakuna maisha mazuri...😂We jamaa una stress Sana
Labda kama biashara yako ni kuchapisha pesa ndugu! Yaani kwamba una bidhaa bora halafu wahudumu wabovu wateja watakuja tu?????the same goes hand in hand na ubora wa huduma, ukiwa na huduma bora hata ukiwa na wahudumu wabovu watu watakuja tu, na ukiwa na wahudumu wazuri na bidhaa iyoyo na ubora wahudumu hata watangaze haitasaidia. hata hivyo, kuwa na bidhaa bora ikiambatana na wahudumu wanaojua custumer care nzuri ni muhimu. hii ndio iwe hoja.
Upo T-square, area D. Zamani pakiitwa 84 Club.Huo mghahawa upo wapi Dom maana wengine tunaenda mara kwa mara Dodoma
Hapa ndio umekosea we hujawahi fanya biashara ndugu.huduma bora hiyo ikoje bila wahudumu wanaojitambuathe same goes hand in hand na ubora wa huduma, ukiwa na huduma bora hata ukiwa na wahudumu wabovu watu watakuja tu,
i think nilitaka kumaanisha "bidhaa bora". ukiwa hapo nyuma ya key board unaweza kuamini mwenzako hajawahi fanya biashara, kumbe hujui usichojua. ngoja tuliache hilo uendelee na theory zenu za class. ukifika mda wa kuja mtaani tutaelewana tu.Hapa ndio umekosea we hujawahi fanya biashara ndugu.huduma bora hiyo ikoje bila wahudumu wanaojitambua
Hio biashara itakufa.Jana nilienda kula chakula cha mchana pale Shishi Food Dodoma.
Wakati nafika nikamkuta jamaa analumbana na mhudumu kisa amemuita aje kumhudumia akamjibu nakuja lakini hakuja ontime, kwa maana alikuja amechelewa na akamjibu majibu ambayo sio mazuri
The same kwangu pia maana niliketi more than 5 minutes wala sioni mhudumu, akaja badae sana tena kwa mwendo anaoutaka yeye.
Wakuu kama unamiliki biashara hakikisha customer care nzuri ni endelevu.
Tuache tabia kwamba ukishapata loyal customers basi unarelax kwamba watakuja tuu.
C
Always remember to add value to your product and service.
Shishi ajifunze kwamba Customers always demand for more
Class gani mzee mi nimeshafanya biashara zaidi ya ishirini.na nimeshafanya kazi za sales,customer service pia naelewa.bidhaa bora hiyo ni ipi ambayo unayo wewe tu.i think nilitaka kumaanisha "bidhaa bora". ukiwa hapo nyuma ya key board unaweza kuamini mwenzako hajawahi fanya biashara, kumbe hujui usichojua. ngoja tuliache hilo uendelee na theory zenu za class. ukifika mda wa kuja mtaani tutaelewana tu.
Wewe fala usizoee, that's was just my opinions, mbona unatoa lugha ya matusi, kwenye comment yangu uneona tusi lolote ? Halafu wewe unaonekana ni mshamba flani umekuja mjini ukubwaniBiashara kufa ni ubongo mbovu wa mwenye biashara wala sio "Customer Care" bullshit you are talking about here!
Mteja hanunui kitu kwako sababu unaongea kama unatombana chumbani
Mteja ananunua bidhaa sababu hiyo bidhaa ina vigezo anavyovitaka yeye
Mengine hata kuonana na mhudumu haina haja
Itafika kipindi biashara zote zitakua ni self service hutakaa uonane hata na secretary popote