Wahuni wa Kinshasa Julai 17 1997- Desemba 25 2024

TMK mapanga shaaaaaaaaaa
😹😹😹 Kuna nyumba nilipanga sasa tukavamiwa na wezi, wakawa wanaiba kwa jirani yangu, mimi wamenifungia geti langu kwa nje siwezi kutoka ila nawaona kupitia dirishani.. aiseee walikuwa na panga hizo wamenoa pande zote.!

Sasa yule jirani hakuwepo alichelewa kurudi, anavyorudi akawaona wako kutoa flat screen yake na godoro huku wengine wana zile panga zinang’aa.!! Ananipigia simu anasema nisaidieni naibiwa, nikamuuliza kwani uko wapi? Anajibu, nipo nje ila nawaona wanavyobeba vitu vyangu? Nikamuuliza panga umeziona lakini?? 😹😹😹

Awww nani afe, na mijamaa ilivyo inaonekana ina uchu, ndo mwanzo wa kupigwa chuma mboga bure 🤣🤣🤣
Nikamwambia jirani tulia utanunua vingine bana hao sio watu wa kawaida tutakufa.!!
 
Sasa kwani uliogopa kuchumishwa kisamvu😊
 
Unaogopa chuma mboga ya jambazi!?
 
Hiyo hata Kigoma wanafanya inaitwa kidono [emoji81]

Dawa zinatumiwa sana na majambazi na wajeda hizo, tena mganga akishakufanyia hiyo dawa ukiondoka anawatuma watu wakukate aone km dawa imekubali.!!
Hapo kwenye kutuma watu wanikate ntakimbia mpaka wakimbizaji wakate tamaa warudi wamwambie mganga yule jamaa akamatiki nadhani kuna mganga alimoa dawa ya mbio
 
Duu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…