raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
TMK mapanga shaaaaaaaaaa😹😹😹
Ndio maanake, Bwana alitoa, Bwana ametwaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TMK mapanga shaaaaaaaaaa😹😹😹
Ndio maanake, Bwana alitoa, Bwana ametwaa
😹😹😹 Kuna vitu ni risk sanaHukusikia yule alibutuliwa na risasi za mganga kigoma wakitest hiyo dawa!?.. dizaini mganga alisahau ingredients,ikawa murder case
😹😹😹 Kuna nyumba nilipanga sasa tukavamiwa na wezi, wakawa wanaiba kwa jirani yangu, mimi wamenifungia geti langu kwa nje siwezi kutoka ila nawaona kupitia dirishani.. aiseee walikuwa na panga hizo wamenoa pande zote.!TMK mapanga shaaaaaaaaaa
Sasa kwani uliogopa kuchumishwa kisamvu😊😹😹😹 Kuna nyumba nilipanga sasa tukavamiwa na wezi, wakawa wanaiba kwa jirani yangu, mimi wamenifungia geti langu kwa nje siwezi kutoka ila nawaona kupitia dirishani.. aiseee walikuwa na panga hizo wamenoa pande zote.!
Sasa yule jirani hakuwepo alichelewa kurudi, anavyorudi akawaona wako kutoa flat screen yake na godoro huku wengine wana zile panga zinang’aa.!! Ananipigia simu anasema nisaidieni naibiwa, nikamuuliza kwani uko wapi? Anajibu, nipo nje ila nawaona wanavyobeba vitu vyangu? Nikamuuliza panga umeziona lakini?? 😹😹😹
Awww nani afe, na mijamaa ilivyo inaonekana ina uchu, ndo mwanzo wa kupigwa chuma mboga bure 🤣🤣🤣
Nikamwambia jirani tulia utanunua vingine bana hao sio watu wa kawaida tutakufa.!!
Sijajua kama anafanya makusudi, ni msimulizi mzuri sana hasa kama utafatilia simulizi zilizopita zikakatishwa, huu hata mimi naona maluweluwe, mpangilio sio mzuriKila nikijitahidi kusoma story naona sielewi.
Unaogopa chuma mboga ya jambazi!?😹😹😹 Kuna nyumba nilipanga sasa tukavamiwa na wezi, wakawa wanaiba kwa jirani yangu, mimi wamenifungia geti langu kwa nje siwezi kutoka ila nawaona kupitia dirishani.. aiseee walikuwa na panga hizo wamenoa pande zote.!
Sasa yule jirani hakuwepo alichelewa kurudi, anavyorudi akawaona wako kutoa flat screen yake na godoro huku wengine wana zile panga zinang’aa.!! Ananipigia simu anasema nisaidieni naibiwa, nikamuuliza kwani uko wapi? Anajibu, nipo nje ila nawaona wanavyobeba vitu vyangu? Nikamuuliza panga umeziona lakini?? 😹😹😹
Awww nani afe, na mijamaa ilivyo inaonekana ina uchu, ndo mwanzo wa kupigwa chuma mboga bure 🤣🤣🤣
Nikamwambia jirani tulia utanunua vingine bana hao sio watu wa kawaida tutakufa.!!
Kisamvu huinami wakati wa kuchuma,tembele au mchichaSasa kwani uliogopa kuchumishwa kisamvu😊
Hapo kwenye kutuma watu wanikate ntakimbia mpaka wakimbizaji wakate tamaa warudi wamwambie mganga yule jamaa akamatiki nadhani kuna mganga alimoa dawa ya mbioHiyo hata Kigoma wanafanya inaitwa kidono [emoji81]
Dawa zinatumiwa sana na majambazi na wajeda hizo, tena mganga akishakufanyia hiyo dawa ukiondoka anawatuma watu wakukate aone km dawa imekubali.!!
Acha porojo , una jua maana ya AMBUSH..Hapo kwenye kutuma watu wanikate ntakimbia mpaka wakimbizaji wakate tamaa warudi wamwambie mganga yule jamaa akamatiki nadhani kuna mganga alimoa dawa ya mbio
Rudieni kusema Tena hili na liwakae vichwani mwenuAFANDE MONOO akaniambia kua... kwenye pesa hakuna adui......!!!!
Kila mtu anatafuta pesa
HahaaaaaaHumjui huyo mwamba wewe, soon tu atakwambia anahofia usalama wake, na simulizi imeisha hua anatafuta attention fulani, saivi utaona nazingia ila tulia utapata majibu.
Kawaachia alostoImeisha?
Labda tayari waasi washafanya yao huko mwandishi hatunae au? Alikua anajua kutumia ile bunduki iliyokatwa tako na gruneti?Kawaachia alosto
DuuTunaendelea........!!!!
MUNGU NI MWEMA KUKAKUCHA.
AFANDE MONOO............kama kawaida yake akanifuata usiku ule ule tuliokuepo pale KISANGANI na akaanza kunipa maelekezo aliyoyapata kwa LESAPEE MUNDENDE kuhusu harakati za kutafuta mawe......ndani ya maeneo yote ya KIVU KASKAZINI na KIVU KUSINI....na maeneo ya jimbo la Tanganyika.
Tulizungumza mambo mengi na akanipa miiko na nini cha kufanya na nini cha kutokufanya tunapokua na askari wa Mzee Kabila......na nini cha kufanya au kutokufanya tunapokutana na askari wa FDRL au tunapokutana na askari wa RPF......au waasi wa kinyamulenge.
AFANDE MONOO akaniambia kua... kwenye pesa hakuna adui......!!!!
Kila mtu anatafuta pesa.......so tuanze kazi mara moja bila kukawia.
1998.............MWAKA WA NEEMA.
Baada ya Mobutu kuondolewa madarakani na Mzee Kabila kuingia madarakani.....huu ni ulikua mwaka wa NEEMA kwa wadau kujichotea mawe bila bughudha.
Katika maisha yangu sijapata kuona watu wenye uchu wa mali na roho za kibaguzi kama wanyarwanda....iwe wanatokea MULENGE AU RWANDA........kwanza wao kwa wao hawapendani...........na kila kitu wanataka wao.
Wakongomani ni watu wapole na Wana huruma mno......ndio maana watu wanatumia hiyo kama advantage,s.
Plani ikawa tutakua tunaenda sehemu salama na mzigo inaletwa tufanye biashara.... HAIJALISHI kaileta muasi au askari wa jeshi la serikali.
Wakati huo pia Waganda nao walikua wamejaa tele na biashara zao za magendo za KUUZA mawe na silaha.
Unapaswa kujiuliza????
Wakongomani wanatoa silaha wapi??
Kwanini hakuna amani DRC???
Nani alichochea ukabila DRC???
Majibu ya haya yote utayapata wakati naendelea kukuabarisha habari hizi.
Mkumbuke kua ...katika kikao hiki sikuepo peke yangu tulikua watu wengi..........ila kwa sababu mazungumzo yananihusu Mimi...basi nitawahifadhi wezangu kulinda faragha zao.
Unajua baada ya kutokea kwa mauaji ya kimbali nchini RWANDA.....na hayo mauaji ya kimbali kuhamia hapa Zaire...ndio nikajua kumbe siasa ni mchezo wa kuigiza.
Nitayasimulia haya mbele kadri ya uzi unavyoendelea.
TURUDI KWENYE SIMULIZI.
Tukapokea mdau kutoka KABONDO.... ...mtu wa kazi......anaewauzia mawe walebanoni na Waganda na wakenya.
Jina la mdau nalificha sababu hapendi ajulikane mpaka leo.
Jamaa akacheka sana alipotuona sababu kiswahili CHETU lilikua kinamfurahisha.
Katika watu wote pale akatokea kinikubali Mimi na akaomba.........niongozane nae mpaka KABONDO sehemu ya kazi.
Tatizo la maeneo Yale kwa miaka ile usalama ulikua mdogo sana......moyo wangu ukasita nikakataa............ila kwa ushawishi wa jamaa yetu huyu...nikajikuta na Mimi naongozana na ndugu yangu huyu mpaka KABONDO...... kwenye maeneo yasiyo rasmi kunakochimbwa DHAHABU.
Ilituchukua siku tatu kwa njia za kufunga unga mpaka tulipofika kwenye maeneo kunakochimbwa DHAHABU.
Pale nikakutana na watu wamepinda balaa....yaani nikakutana na nchi ndani nchi.
Watu hawana habari na SERIKALI..wao wanachowaza tu......ni kutafuta Hela.
Kwanza wanakaa kwenye vibanda na juu ya miti kama wanyama.
Huko hakuna haki za WATOTO.....
Watoto wanatumikishwa mpaka unawaona huruma.
Kila mbabe pale machimboni ana himaya yake ya kibabe...na ole wako uingie bila RUHUSA.
Itaendelea................!!