Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 69,329
- 164,730
Nchi ya majizi hiiAisee,wazamiaji washachukua chao.
Kumbe wanadai imezama haiwezekani kutoa huku wanalamba mzigo mdogo mdogo[emoji848]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nchi ya majizi hiiAisee,wazamiaji washachukua chao.
Kumbe wanadai imezama haiwezekani kutoa huku wanalamba mzigo mdogo mdogo[emoji848]
Usisahau kuwa dereva alinasa ndani ya cabin siku 2 so haikusambaratikaMimi nitakua wa mwisho kuamini hili kwasabu.... Ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??
Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.
Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....
Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??
Mark my words...huyo mama ndio mwanzo wa kuchangiwa upyaWatu wabaya sana !!. Washamtia hasara
Mkuu Tanzania tuna watu wana uwezo wa kuiba kwa ustadi. Nakumbuka miaka ya nyuma kuna Mercedes Benz Actross ilizama mto Kagera.KUNA WAKATI FULANI NISHAWAHI KU CMNT BAADHI YA MAMBO HUMU NI KASEMA HIVI MNAWAJUA NYANI WA WAMI!
REJEA SAKATA LA SUKARI ILIPOADIMIKA ILA KUANZIA WAMI SUKARI ILIKUWA INAPATIKANA KG1 TSH 2000
HIYO NDIYO WAMI PALE KUNA WEZI BALAAA
OVA
Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kumbuka wami kuna mamba wenda walianza kula hivyo vitu taratibu
Haahhahahaha dahitakuwa watu wa ccm wakishirikiana na mrisho gambo ndio wamekwala hiyo engine
Daaahh, usilolijua ni kama usiku wa giza.Mimi nitakua wa mwisho kuamini hili kwasabu.... Ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??
Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.
Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....
Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??
Watafanyaje yao huku tukio zima likirekodiwa tangia wapewe amri na mkuu wao?Isjie ikawa kama ya WEST GATE wale JAMAA WA MABAKA wamefanya yao!!