Wahuni waiba engine ya lori lililotumbukia Mto Wami

Wahuni waiba engine ya lori lililotumbukia Mto Wami

Mimi nitakua wa mwisho kuamini hili kwasabu.... Ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??
Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.
Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....
Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??
Usisahau kuwa dereva alinasa ndani ya cabin siku 2 so haikusambaratika
 
KUNA WAKATI FULANI NISHAWAHI KU CMNT BAADHI YA MAMBO HUMU NI KASEMA HIVI MNAWAJUA NYANI WA WAMI!
REJEA SAKATA LA SUKARI ILIPOADIMIKA ILA KUANZIA WAMI SUKARI ILIKUWA INAPATIKANA KG1 TSH 2000
HIYO NDIYO WAMI PALE KUNA WEZI BALAAA

OVA

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Mkuu Tanzania tuna watu wana uwezo wa kuiba kwa ustadi. Nakumbuka miaka ya nyuma kuna Mercedes Benz Actross ilizama mto Kagera.

Wajuba walipoambiwa kuwa spea za Benz ni dili, baada ya muda mfupi sehemu za ile gari zikawa zimefika nchi kavu mpaka gearbox, usiulize watu walizamia muda gani na mamba wa mto kagera walikuwa wapi?
 
Mimi nitakua wa mwisho kuamini hili kwasabu.... Ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??
Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.
Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....
Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??
Daaahh, usilolijua ni kama usiku wa giza.
Nimesoma kwa sauti kubwa ila nimeambulia patupu mh mjumbe..
 
Isjie ikawa kama ya WEST GATE wale JAMAA WA MABAKA wamefanya yao!!
Watafanyaje yao huku tukio zima likirekodiwa tangia wapewe amri na mkuu wao?

Wa kwanza kuhisiwa kama ni hujuma ni ile timu ya kwanza iliyodai jambo hilo haliwezekani, kumbe linawezekana tena kiurahisi kabisa!

Ndiyo maana wakatoa mkadirio wa mbali kuvuruga ushahidi.

Nilistaajabu sana kwa kada hiyo ya uokoaji kutoa tathimini yao ya kizembe zembe kama hiyo, nikawa najiuliza maswali yasiyo majibu!

Hata kama injini na kebeni viling'oka kwenye msukosuko vingelikutwa jirani na hilo chesesi, maana maiti ilikwama humo na ikaopolewa!

Vyombo vinavyohusika vikifuatilia kuanzia staff waliopo hapo idara ya maji, wakiwemo wavuvi ukweli utajulikana tu na kuna watu wataibeba hiyo kashifa.
 
Back
Top Bottom