Wahuni waiba engine ya lori lililotumbukia Mto Wami

Wahuni waiba engine ya lori lililotumbukia Mto Wami

Naona maswali yote unayojiuliza hayana mashiko.

Enhe, likifuatiliwa halafu?

Unajiuliza maswali ya mtu kukosa mil2 katika kadhia kama hiyo na kisa chote mbona alikiweka wazi kwamba hiyo ilikuwa ni trip ya kwanza!

Kununua kitu chenye thamani na kuishiwa pesa mbona ni jambo la kawaida kabisa ili mradi mhusika alikuwa na lengo lake na mahesabu yake namna ya 'kutoboa' ili kujiendeleza.
Hamna tofauti na ile Meli Ya titanic, safari yake ya kwanza ikapata ajali,
 
kwamba wahuni ni wajuvi kuliko hao wa majeshi ambao had wasubiri msaada wa vifaa ila wahuni wameamsha nayo kininja
 
Hilo Lori limeopolewa kwakuwa Mmiliki wake Yule Mama alionekana akilia Mitandaoni au? Je, na wenye Umasikini nao Wakilia hivi watasaidiwa?
Isijekuwa Makamanda wamefanya yao

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
Brother usichokoze nyuki. Hawa watu ni watu wa porini. Huwa masihara hawataki hata kidogo. Usifikiri Owner atakusaidia
 
Da Mwajuma awasiliane na Faruku Karimu hao wahuni waadhibiwe
 
Mark my words...huyo mama ndio mwanzo wa kuchangiwa upya
That's not true. Huu ni mwanzo wa kufanya uchunguzi wa kina ili kubaini ukweli, kuanzia na yule aliye okoka, waopoa maiti, na ile timu ya kwanza iliyodai zoezi haliwzekani.
 
Kwanza huyo dereva Alitolewa toka kwenye Cabin siku chache zilizopita inakuwaje Leo Cabin haipoo?????

Walisema mto umejaa amtope sasa maji yale kwa macho tu hata kama kwenye Base yanamove faster lakini Nguvu ya kung'ofoa cabin kabisa toka kwenye tera na kuimove against hilo tope inatokea wapi????

Wamempiga mama wa watu hawa jamaaa... Impact ya lile gari kwenye video isingewezekana cabin kutoka yenyewe hapa wamempiga mama wa watu...!! Mungu atawalipaa wale jamaaa waliokula njama mpaka wakaiba engine aisee
 
Baada ya Mkuu wa Majeshi kupeleka kikosi chake kulitoa lori lililo tumbukia mto Wami, lori limekutwa halina engine wahuni wamesha fanya mambo yao.

Wabongo sio watu wazuri.

Pongezi wa CDF kwa kufanikisha hilo japo kwa kuchelewa.
Msilaumu binadamu jamani kumbuka mle kuna viumbe wengine.
Kama mamba walikula je!!
 
Kama ni kweli maneno yako Mkuu basi na walaaniwe hao wahuni,Sasa hapo tukimuita yule Bibi wa Kijaluo Awafanyie dawa waje Kunywa Maji ya Mtoni mtatulaumu kweli?Wahuni ebu rudisheni haraka Engine ya Dada wa Watu.
Pale juu kulia kama unatoka tanga kuna kambi kubwaaa ya jeshi na pale pale mtoni pembeni kushoto kama unaenda kuna kituo cha polisi. Hivyo hao wezi nao wanaujuzi fulani.
Kingine huwezi jua mamba nao mle wamo
 
Kumbuka wami kuna mamba wenda walianza kula hivyo vitu taratibu

kama wana wameweza kufua ile engine na kuondoka nayo..basi tuna vijana wanavipaji vya ajabu hapa nchini....na pengine hao wana hata vifaa vya kuzamia hawana..na maji yalivyo machafu sasa..hatari sana
 
Back
Top Bottom