Wahuni waiba engine ya lori lililotumbukia Mto Wami

Wahuni waiba engine ya lori lililotumbukia Mto Wami

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo sawa mamaeeee....itakuwa wamepita nayo huko chinii yanii khaaa
Sasa ulinzi uko pale pale kibin ya gari tena scania inachukuliwa ilivyo kubwa kuifungua na kuitoa tena kwenye maji na na kuna mamba nao walinzi mle kibin inaondoka wee unafikiri ni mlala hoi kama mimi na wewe naweza fanya hivyo bila mimi mwizi nisilindwe?
 
Sasa ulinzi uko pale pale kibin ya gari tena scania inachukuliwa ilivyo kubwa kuifungua na kuitoa tena kwenye maji na na kuna mamba nao walinzi mle kibin inaondoka wee unafikiri ni mlala hoi kama mimi na wewe naweza fanya hivyo bila mimi mwizi nisilindwe?
Aisee msalaa sanaa...hapo mama kachezewa mchezoo!! Kama kuna walinzi walikuwa wanalinda usikuu imeishaa hiyooo na wale waliojaribu kuitoaa mara ya kwanzaa wanaweza kuwa wanahusika kwa asilimia 80
 
Pale juu kulia kama unatoka tanga kuna kambi kubwaaa ya jeshi na pale pale mtoni pembeni kushoto kama unaenda kuna kituo cha polisi. Hivyo hao wezi nao wanaujuzi fulani.
Kingine huwezi jua mamba nao mle wamo

mamba wameanza lini kula chuma..au unataka kutuambia mamba waliifungua cabin na engine na kuondoka nayo........
 
Aisee msalaa sanaa...hapo mama kachezewa mchezoo!! Kama kuna walinzi walikuwa wanalinda usikuu imeishaa hiyooo na wale waliojaribu kuitoaa mara ya kwanzaa wanaweza kuwa wanahusika kwa asilimia 80
Hiyo ishu ni kubwa sana uchunguzi ukifanyika bila upendeleo kuna watu watafungwa kwa kuhusika
 
Mkuu, ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??

Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.

Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....

Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??
Mimi sijakuelewa. Hapa sasa unamaanisha injini imechomoka na kuzama majini au?
 
Kama ni kweli maneno yako Mkuu basi na walaaniwe hao wahuni,Sasa hapo tukimuita yule Bibi wa Kijaluo Awafanyie dawa waje Kunywa Maji ya Mtoni mtatulaumu kweli?Wahuni ebu rudisheni haraka Engine ya Dada wa Watu.
Wahuni hawa deal na mitandao
 
Kama ni kweli maneno yako Mkuu basi na walaaniwe hao wahuni,Sasa hapo tukimuita yule Bibi wa Kijaluo Awafanyie dawa waje Kunywa Maji ya Mtoni mtatulaumu kweli?Wahuni ebu rudisheni haraka Engine ya Dada wa Watu.
Walioiba watakuwa watoto wa dawa😁
 
Mimi nitakua wa mwisho kuamini hili kwasabu.... Ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??

Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.

Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....

Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??

Kuna uwezekano kuwa injini na gearbox ziling'oka kutoka na impact ya kugonga nguzo ya daraja na kudumbukia mtoni. Sitastaajabu kama wazamiaji wanaweza kuzipata majini wakiendelea na kuzitafuta.
 
Mkuu, ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??

Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.

Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....

Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??
Nami naungana na wewe, injini itakuwa imebaki ndani ya maji kutokana na impact
 
Back
Top Bottom