wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Sasa ulinzi uko pale pale kibin ya gari tena scania inachukuliwa ilivyo kubwa kuifungua na kuitoa tena kwenye maji na na kuna mamba nao walinzi mle kibin inaondoka wee unafikiri ni mlala hoi kama mimi na wewe naweza fanya hivyo bila mimi mwizi nisilindwe?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hapo sawa mamaeeee....itakuwa wamepita nayo huko chinii yanii khaaa