Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Wahuni sio watu kmmkeDuu kama kwa mto Wami ulivyo mrefu na wakulunga wameweza kufungua engine basi ni hatari aisee....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wahuni sio watu kmmkeDuu kama kwa mto Wami ulivyo mrefu na wakulunga wameweza kufungua engine basi ni hatari aisee....
My love wangu 😍😍😍Jamani huenda hiyo Engine ilichomoka na ipo humo ndani,ama ilienda na maji.
Kama ni wezi watakua wamefungua basi ni hatari sana aisee, pole kwa Dada wa watu[emoji19]
Itakua hii engine ilitolewa mapema halafu fusso ndio likasukumwa mtoni wakijua kwamba hawataliopoa,kumbuka miaka ya nyuma kuna roli hapo wami watu waliuza sukari wakaweka magunia tupu wakasukumia roli mtoni,dereva anajua alilofanyaBaada ya Mkuu wa Majeshi kupeleka kikosi chake kulitoa lori lililo tumbukia mto Wami, lori limekutwa halina engine wahuni wamesha fanya mambo yao.
Wabongo sio watu wazuri.
Pongezi wa CDF kwa kufanikisha hilo japo kwa kuchelewa.
Hiyo injini na cabin zilichomoka. Hili naweza kulisema nikiwa na uhakika kabisa. Vilichomoka kwa sababu lori liligonga nyuma ya gari jingine na kuanguka urefu mkubwa. Pia ubovu wa lori unachangia. Injini na cabin vinaweza kuja kuonekana baadae sana, baada ya maji kupungua kabisa. Pale ni sehemu iliyo busy muda wote na siyo rahisi watu kupata muda wa kuzama ndani ya maji mpaka wafungue injini na kuitoa. BTW huyu mama alitakiwa alishtakiwe kwa kuweka gari bovu barabarani. Huu mlori wake unaonekana ulikuwa mbovu kabisa na uliungwa ungwa na na mafundi wa uchochoroni ndiyo maana breki zilifeli na injini kuchomoka kwa urahisi.Mkuu, ebu kwa akili ya kawaida jaribu kifikiria uzito wa Geabox na Engine. Kisha jiulize Cabin mbona haijatoka na chassis??
Kisha nikujibu tu kwamba bolts zinazo kamata Engine mauntain ni nne pekee zenye unene wa 16 millimeters.
Gearbox inaunganishwa na bolts 10 zenye unene wa 10 millimeters kutoka kwenye flyn wheel pamoja na pressure, inayo ungana na bell housing ya aluminum.
Sasa.....
Ile impact ya force plus weight kutoka kule juu darajani ingeweza kuhimili kuto kusambaa kwa gari lile...??
Hiyo injini na cabin zilichomoka. Hili naweza kulisema nikiwa na uhakika kabisa. Vilichomoka kwa sababu lori liligonga nyuma ya gari jingine na kuanguka urefu mkubwa. Pia ubovu wa lori unachangia. Injini na cabin vinaweza kuja kuonekana baadae sana, baada ya maji kupungua kabisa. Pale ni sehemu iliyo busy muda wote na siyo rahisi watu kupata muda wa kuzama ndani ya maji mpaka wafungue injini na kuitoa. BTW huyu mama alitakiwa alishtakiwe kwa kuweka gari bovu barabarani. Huu mlori wake unaonekana ulikuwa mbovu kabisa na uliungwa ungwa na na mafundi wa uchochoroni ndiyo maana breki zilifeli na injini kuchomoka kwa urahisi.
Kuna juhudi za kuliopoa gari zilizoshindwa ndo zilisababisha cabin na engine vinyofoke na kuzolewa na maji Hadi mbali na kwa uzito wa engine lazima imezama chini kwenye matope. Hakuna wa kujitwisha engine toka mtoni akapanda nayo juu bila crane.Usisahau kuwa dereva alinasa ndani ya cabin siku 2 so hsikusambaratika
Kuna video inaonesha jinsi gari lilivyokosa uelekeo na kutumbukia mtoni. Halikugonga gari jingine.Wameiba au imebaki chini kwenye maji wataiba wapeleka wapi sasa maana ujue ile gari kabla ya kudumbukia mtoni iligonga nyuma ya gari nyingine. Halafu je unayajua maji yanayotembea vizuri maana tusiongee
Ni kazi ya maji hiyo. Maji Yana nguvu Sana .Kuna basi lilisombwa na maji na matairi yote yalifunguliwa na spidi ya maji.Nilivyoona nikabaki nashangaa jamani watu Wana ujuzi..kitu kimetoka Kama scraper yaani
Una uhakika kama walisema alikuwa ndani ya cabin? Pia inaweza kuwa zile mishe mishe za mwanzoni za kutaka kulivuta gari zilisababisha injini na cabin kutengana. Bado nasisitiza huo m-lori ulikuwa mkweche sana. Kishindo cha kugonga lile gari jingine kwa nyuma na kutumbukia kwenye mto likiwa na uzito uliopitiliza + ubovu wa lori ulifanya kichwa kusambaa na injini na cabin kutengana na sehemu iliyotolewa.Dereva alitolewa ndani ya cabin siku 3 baadabya ajali..
Maskini..basi nikajua weziNi kazi ya maji hiyo. Maji Yana nguvu Sana .Kuna basi lilisombwa na maji na matairi yote yalifunguliwa na spidi ya maji.
Una uhakika kama walisema alikuwa ndani ya cabin? Pia inaweza kuwa zile mishe mishe za mwanzoni za kutaka kulivuta gari zilisababisha injini na cabin kutengana. Bado nasisitiza huo m-lori ulikuwa mkweche sana. Kishindo cha kugonga lile gari jingine kwa nyuma na kutumbukia kwenye mto likiwa na uzito uliopitiliza + ubovu wa lori ulifanya kichwa kusambaa na injini na cabin kutengana na sehemu iliyotolewa.
Da huu ni unyama wamemfanyia huyu mama na kumuongezea uchungu hawa wahuni .wito wangu kwa vyombo vya uchunguzi kamateni wote waliozama mara ya kwanza na kufunga boya kabla ya watu wazimamoto kufika ambao walithibitisha mwanzo mwili wa dereva hupo ndani ya maji kwenye gari watakua wanajua mchongo .nimeumia sana yaniBaada ya Mkuu wa Majeshi kupeleka kikosi chake kulitoa lori lililo tumbukia mto Wami, lori limekutwa halina engine wahuni wamesha fanya mambo yao.
Wabongo sio watu wazuri.
Pongezi wa CDF kwa kufanikisha hilo japo kwa kuchelewa.
View attachment 1486831
View attachment 1486827
Endelea kuamini hivyo. Lakini kuna siku maji yatapungua na pengine hivyo vitu vitaonekana.Alinasa ndani cabin.
Mnaongea hamyajui maji,nliona roli na kijiko vya mchina vimechukuliwa na maji....walivyozama korongoni walikuta maji yamefungua matairi pamoja na mkanda wa kijiko,maji yasikie tu ni nomaAisee msalaa sanaa...hapo mama kachezewa mchezoo!! Kama kuna walinzi walikuwa wanalinda usikuu imeishaa hiyooo na wale waliojaribu kuitoaa mara ya kwanzaa wanaweza kuwa wanahusika kwa asilimia 80
Mambo ya ushabiki wa mpira usiyalete kwenye mambo ya msingi hapa, Huwezi kuongea hivyo utadhania ulishuhudia tukio hilo!! Mambo kama haya ya ajari, mwanzoni inapotokea watu huendeshwa na dhana, ndio maana huwa kuna uchunguzi ili kubaini chanzo halisi!! Brake ku fail hadi gari liwe limechoka? Gari kama lilikuwa bovu toka lilipotoka hadi linapata ajari lilipita wapi?Hiyo injini na cabin zilichomoka. Hili naweza kulisema nikiwa na uhakika kabisa. Vilichomoka kwa sababu lori liligonga nyuma ya gari jingine na kuanguka urefu mkubwa. Pia ubovu wa lori unachangia. Injini na cabin vinaweza kuja kuonekana baadae sana, baada ya maji kupungua kabisa. Pale ni sehemu iliyo busy muda wote na siyo rahisi watu kupata muda wa kuzama ndani ya maji mpaka wafungue injini na kuitoa. BTW huyu mama alitakiwa alishtakiwe kwa kuweka gari bovu barabarani. Huu mlori wake unaonekana ulikuwa mbovu kabisa na uliungwa ungwa na na mafundi wa uchochoroni ndiyo maana breki zilifeli na injini kuchomoka kwa urahisi.
1. Siyo ajari. ni ajali. Kuandika ''ajari'' waachie watoto wa darasa la kwanza wanaojifunza kuandika.Mambo ya ushabiki wa mpira usiyalete kwenye mambo ya msingi hapa, Huwezi kuongea hivyo utadhania ulishuhudia tukio hilo!! Mambo kama haya ya ajari, mwanzoni inapotokea watu huendeshwa na dhana, ndio maana huwa kuna uchunguzi ili kubaini chanzo halisi!! Brake ku fail hadi gari liwe limechoka? Gari kama lilikuwa bovu toka lilipotoka hadi linapata ajari lilipita wapi?
Hilo Lori limeopolewa kwakuwa Mmiliki wake Yule Mama alionekana akilia Mitandaoni au? Je, na wenye Umasikini nao Wakilia hivi watasaidiwa?