wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 25,190
- 27,434
Wee unafikiri ule ulinzi wa pale kuna kituo cha polisi na cha uokoaji alafu kibinza gari ilivyokuwa kubwa inaibiwa kabisa na mle kwenye maji kuna mamba pia lakini wameiba. Sasa hapo si mamba wameiba wakapewa na ulinzi kabisa?Kivipi yani Mkuu siku hizi mamba wanakula hadi chuma[emoji23][emoji23][emoji119]
Hapo kwenye mamba sio mamba hawa unaojua wewe ni mamba hawa hawa mamba.