Sidhani kama atakuwa na ujasiri wa kusimama mbele watanzanua tena.Sirro ajitafakari sana ni aibu kubwa kwake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama atakuwa na ujasiri wa kusimama mbele watanzanua tena.Sirro ajitafakari sana ni aibu kubwa kwake
Ushindi kwa watanzania wote wemaNi ushindi kwa wapenda demokrasia na aibu kwa serikali na jeshi la polisi
Mkuu kwanini wawajibishwe?..kwani hukumu imetolewa kuwa mbowe ameshinda kesi?...kumbuka kuna mtego mbowe kawekewa..mahakama ilimkuta na kosa kabla ya leo DPP hajaachia unyoyaChereko chereko zinapoendelea kufuatia kuachiwa huru Mh. Freeman Mbowe, kadhia hii isiishe bila fidia wala watu fulani fulani kuwajibika au hata kuwajibishwa.
Kwenye kadhia hii kuna watu wamepotezwa, watu wameteswa, utaratibu wa sheria umekiukwa, watu wamedhulumiwa, nk.
Yote haya ikiwa ni ufedhuli mkubwa uliopitiliza usioweza kuvumilika.
Asiachwe awaye yote kwa ukiukwaji wowote uliofanyika.
Kama mamlaka haichukui hatua, waovu hawa na waburuzwe mahakamani wao kama raia.
Ni watu wa ajabu sana
Kesi ya kujibu aliyoona Jaji ambayo DPP hakuiona ni ipi?🤣🤣🤣!Aibu Kwa Jaji Kwa maamuzi aliyofanya!Watu wamebumba ushahidi wakaja kuuleta mahakamani,kila mtu akaona ni ushahidi wa mchongo na hakuna kesi!Jaji akasukumwa kuamua kuwa Wana kesi ya kujibu!Kabla hawajaanza kujitetea DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi maana ushahidi alionao ni crap!
Jaji unajisikiaje huko uliko?Ungeyajua haya,Bado uamuzi wako ungekuwa watuhumiwa Wana kesi ya kujibu?
Team roho mbaya mnateseka sana. Hakukutwa na kosa alikutwa na Kesi ya kujibu.Mkuu kwanini wawajibishwe?..kwani hukumu imetolewa kuwa mbowe ameshinda kesi?...kumbuka kuna mtego mbowe kawekewa..mahakama ilimkuta na kosa kabla ya leo DPP hajaachia unyoya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kingai Je?List ya watu wa kuwajibika au kuwajibishwa ni ndefu
Jaji ni KIHIYO! hahahaKesi ya kujibu aliyoona Jaji ambayo DPP hakuiona ni ipi?🤣🤣🤣
Mkuu kwanini wawajibishwe?..kwani hukumu imetolewa kuwa mbowe ameshinda kesi?...kumbuka kuna mtego mbowe kawekewa..mahakama ilimkuta na kosa kabla ya leo DPP hajaachia unyoya
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo tena? Kabla ya yote na amlete Lijenje akiwa hai.Kingai Je?
URIO sijui kama jeshi litamuamini tena...
Kina kingai pia nafikiri ndio mwisho wa kupewa Operation za Michongo.. Wameonekana Zero kabisa..
Naamini kesi zote zikifuatiliwa kama ilivofuatiliwa hii ya mbowe,,Mahakama itabaki uchi sana
Mkuu kwanini wawajibishwe?..kwani hukumu imetolewa kuwa mbowe ameshinda kesi?...kumbuka kuna mtego mbowe kawekewa..mahakama ilimkuta na kosa kabla ya leo DPP hajaachia unyoya
Sent using Jamii Forums mobile app
Luteni Urio ... myetishaji wa Kingai .... puke
Ungesema haya Kama mngeshinda kesi
Kale malimao. Maganda yake yatakufaa sana. Kila mlichotaka kimekwama. Kesi ya mchongo imeangukia pua.
Wekeni matanga - mna msiba mzito!